Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Nchi hii ukiifuatilia kwa umakini utagundua Corona iliingia kipindi kile anakagua daraja la Ubungo akapitia moro, then Dodoma kwenye mawe then to Chato.
Kiashiria cha kutokuwepo kwa corona nchini ni mwenyekiti wa chama kuwa katika ofisi mbili ile ya Dodoma au Dar.
Asipokuwa katika ofisi hizo endelea kujua kuwa hali ni mbaya nawe kama una uwezo jichimbie ndani mpka bwana mkubwa akitoka chato nawe utoke.
Kiashiria cha kutokuwepo kwa corona nchini ni mwenyekiti wa chama kuwa katika ofisi mbili ile ya Dodoma au Dar.
Asipokuwa katika ofisi hizo endelea kujua kuwa hali ni mbaya nawe kama una uwezo jichimbie ndani mpka bwana mkubwa akitoka chato nawe utoke.