Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ya mada mkuu,naulizia alipo Nahodha wa chombo chetu.Hayo ya ajira tuyajadili simu nyingine.
Hatua ya kujifukizia mvuke sitaifanya maana inafanana na matendo ya ushirikina.Unadai [/]Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona[/I], je, umejitathmini wewe mwenyewe, fanilia, ndugu, jirani, na rafiki zako kiwango cha kuzingatia ushauri wa kinga dhidi ya maambukizi na kubadili tabia?
Je, ni hatua gani zaidi zichukuliwe na Serikali kutulinda na Corona?
Ushirikina tena, aloo. Haya ni maelezo na maelekezo ya mtaalamu.Hatua ya kujifukizia mvuke sitaifanya maana inafanana na matendo ya ushirikina.
Kapicha Tafadhali 🤔🤔🤔Hapa naandika kwa majonzi kwa kusikia jinsi Watanzania wenzetu wanavyougua Corona na wengine kupoteza maisha. Poleni nyote.
Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona.
Kuna wanaosema Nahodha wetu ni shujaa, mwenye uthubutu na tupo salama ilhali abiria tunaona hatari iliyopo mbele yetu.
Nahodha wetu tunaambiwa yupo mapumzikoni. Je, tukisema kajitosa baharini na kutuachia chombo kielee kwenda kuzama tunakosea?
Corona bila lockdown itatumaliza, ilikuwa Arusha, Dar na Zanzibar hatukuona haja ya lockdown eti tutakufa njaa. Sasa tuna wagonjwa mikoani na hakuna kinachoonekana kufanyika, hatujaamua bado kulock maeneo yenye wagonjwa.
Tunafahamu kuwa hakuna dawa, chanjo, vifaa tiba, maabara za uchunguzi na vifaa vya kujikinga hasa kwa watoa huduma za afya.
Tuamini kuwa tupo salama? Tuamini kuwa Nahodha hajajitosa na kuacha chombo katikati ya mawimbi makali?
Jamaa ni muoga na mwepesi wa kujificha kama mboni za macho.Kiongozi kashindwa kutetea jahazi.Kaonesha udhaifu wa hali ya juu kabisa.Kakosa la kufanya kabaki kujichimbia ndani.Kiongozi kashindwa kuongoza
Tumekosa imani nae hakika [emoji17]
Tumekosa imani nae.Kajilinda lakini si kwa wananchi wake waliompa dhamana ya kuwaongozaJamaa ni muoga na mwepesi wa kujificha kama mboni za macho.
kush and Wisdom
Nadhani atawafaa sana huko akiwa diwani wao!Haiwezekani aende kujificha Chato na kuacha majukumu yake ya msingi!Hadi kuapisha wateuliwa wake ameenda kuwaapishia Chato,katika umri wangu sijawahi kuona!
Kama anapapenda sana huko Chato na si kukimbia Corona basi mwaka huu achukue fomu agombee udiwani ili aishi huko moja kwa moja!
Naunga mkono hoja!