Vita ya Gaza: Uchumi wa Israel wasinyaa kuliko ilivyotarajiwa

Vita ya Gaza: Uchumi wa Israel wasinyaa kuliko ilivyotarajiwa

Hata kupigana asingethubutu,maana uchumi wake fake,ni WA kubustiwa na marekani na ulaya,ile ni military base yao mashariki ya kati
nyie mliachiwa na wakolon miundo mbinu mkaiharibu yote , sasa hv wachina wakolon wapya wanajenga tena ili wawanyonye tena , hamstuki ila mpo bize kuwaponda wanaosonga mbele
 
Ni marudio tu hayo. Hata WaTZ walikua wanakula chakula cha mifugo kipindi fulani wakati wa awamu ya mchonga na Wala hawakua katika vita.
Ulishawahi kisikia unga wa sembe wa YANGA?
Kuna jamaa wa wapalestina alikua analalamika kwamba wamerudishwa nyuma zaidi ya miaka 100 baada ya mashambulizi ya Oct 7
 
nyie mliachiwa na wakolon miundo mbinu mkaiharibu yote , sasa hv wachina wakolon wapya wanajenga tena ili wawanyonye tena , hamstuki ila mpo bize kuwaponda wanaosonga mbele
Mkoloni gani alituachia miundombinu!?..mwingereza aliacha barabara za lami mbili tu,hata dar-moro hapakua na lami
 
Mkoloni gani alituachia miundombinu!?..mwingereza aliacha barabara za lami mbili tu,hata dar-moro hapakua na lami
reli ya dar to moshi sio muundo mbinu ? je tang 1980s mpk 2015 kwann ilikuwa haifany kaz ? ni meli ngap zimekufa ? kabla ya 2015 ni meli ipi mlinunua au fufua ? viwanda vingap vimekufa sasa hv ?
 
reli ya dar to moshi sio muundo mbinu ? je tang 1980s mpk 2015 kwann ilikuwa haifany kaz ? ni meli ngap zimekufa ? kabla ya 2015 ni meli ipi mlinunua au fufua ? viwanda vingap vimekufa sasa hv ?
Hakuna kiwanda Cha mkoloni,mkoloni viwanda alijenga Kenya,reli ya dar-moshi alijenga kwa ajili ya kuleta kahawa bandarini dar,kahawa tinaileta bangarini kwa njia nyingine cheaper zaidi
 
Hakuna kiwanda Cha mkoloni,mkoloni viwanda alijenga Kenya,reli ya dar-moshi alijenga kwa ajili ya kuleta kahawa bandarini dar,kahawa tinaileta bangarini kwa njia nyingine cheaper zaidi
ila ww ni mpumbav , hili kundi lenu ndo ccmu wanufaika nalo , Magu alirudisha usafiri wa reli mwaka 2019 nlipata bahati kupanda nauli ilianzia tsh 16500 , na bus ilikuwa inaanzia Tsh 25000 je huon umuhimu wa reli ? mzigo unachajiwa ela karibu nusu ya ela utachajiwa kwenye gar za mizigo je huoni umuhimu wa reli ? je unajuwa kwann wakolon walikuwa na miradi mingi na yote ilienda vzr tu ila sisi kizaz cha leo , serikali yako imeshindwa kuendesha hata mashamba ya mkonge hapo Tanga , je unajuwa kwann ? TUNAITA KUWAELIMISHA WATU KAMA NYINYI HAMJUI KWANN DUNIAN KOTE RELI NDO NJIA NAMBA MOJA YA UCHUKUZ .

CCMU SIO DINI
 
ila ww ni mpumbav , hili kundi lenu ndo ccmu wanufaika nalo , Magu alirudisha usafiri wa reli mwaka 2019 nlipata bahati kupanda nauli ilianzia tsh 16500 , na bus ilikuwa inaanzia Tsh 25000 je huon umuhimu wa reli ? mzigo unachajiwa ela karibu nusu ya ela utachajiwa kwenye gar za mizigo je huoni umuhimu wa reli ? je unajuwa kwann wakolon walikuwa na miradi mingi na yote ilienda vzr tu ila sisi kizaz cha leo , serikali yako imeshindwa kuendesha hata mashamba ya mkonge hapo Tanga , je unajuwa kwann ? TUNAITA KUWAELIMISHA WATU KAMA NYINYI HAMJUI KWANN DUNIAN KOTE RELI NDO NJIA NAMBA MOJA YA UCHUKUZ .

CCMU SIO DINI
Umeniita mpumbavu kumbe wewe ndiye mpumbavu,reli haijengwi kwa ajili ya kusafirisha watu,ni hasara, mkoloni alijenga reli kusafirisha malighafi,serikali ilipewa masharti ya kuachana na biashara iache mikononi mwa watu,mashamba ya mkonge wamepewa watu akiwemo mo dewji,hakuna kiwanda kilichojengwa na mkoloni Tanzania, mwingereza Tanzania hakupapenda Sana Kama Kenya,viwanda alijenga kenya
 
Kiufupi Unafiki wa Qatar ndio wanainanga Israel kujifanya wasamalia wema kuwasaidia Hamas kwa kila kitu completly ndio Mastermind for Terrolism in this world nafasi ya Osama bin Laden kupotea.

Aljazeera ni Television from Qatar Government. na Ndio wanaoliport habari kichochezi kuliko vyomo vyote vya habari katika Dunia hii.. tatizo uongo ni mwingi mno hadi unawakinaisha watazamaji na aliyepewa kazi hiyoo ni

Marwan Bashara Mwarabu aliyezaliwa Nazareth Raia mwenye haki zote wa Israel kwa sasa anaishi nchini Qatar kwa Sasa ndio Jemedari Mkuu wa Media war against Israel, na hii ni kulipiza kifo cha kaka yake Azmi Bashara aliyefukuzwa Ubunge baada ya kunaswa akitoa habari za ushushu kwa Hezbollah akakimbia Israel na akagoma kurejea akisema hatopata hukumu ya haki..

Vichwa vya habri vyote vya kushangaza na uongo za maigizo ya watoto kuuwawa na wanawake ni from this mastermind msaliti..

Palestinians with disabilities face immense hardship in Gaza ...

Israel’s primary objective is to destroy ‘all of Palestine’: Hanan Palestinian artist from Gaza transforms war ruins | Al Jazeera

Palestinian boy drinks from puddle amid Gaza water crisis | Al .. Maigizo haya

Palestinian killed after Israel prevents medics from helping​

Israeli media: Coverage focuses on captives & not Palestinian
War on Gaza: Meta silencing Palestinian voices, says HRW

Israel-Gaza war: Fears of double standards in US, EU policies​

Israeli video trend mocks Palestinians’ suffering | Al Jazeera ..
'For Israel, Gaza is the greater challenge, West Bank is the
Why is Israel in European sport & Eurovision despite Gaza ...
Nowhere to run, nowhere to hide: Net closing in on the people ...
Israel’s primary objective is to destroy ‘all of Palestine’: Hanan

Mariam Barghouti: The media is complicit in Israel’s war on ...​

Gaza suffers from water crisis due to Israeli siege | Al Jazeera ...
People are getting sick because of Israel's war on Gaza | Al
Israel’s Automated Occupation: Jerusalem | Israel War on Gaza
Hamas defends attack on Israel | Al Jazeera Newsfeed
Israel’s ‘chilling disregard’ for life in occupied West Bank ...
Israel strikes to silence Palestinian media
Israel strikesPalestine tower during live Aljazeera report |AJ
Israeli attacks kill dozens of people across Gaza
Gaza goes dark as Israel expands military operations | Al .
No safe way to leave Gaza City: Al Jazeera correspondent
Gaza in ruins: Palestinian testimony of Israeli destruction
IsraIsrael’s war on Gaza: Relentless strikes as Palestinians fleeel-Gaza war: Why are culture and society targets? | UpFront
Palestinian statues torn down by Israeli forces | Al Jazeera
Israel’s assault on the last ‘safe zone’ in Gaza | The Listening
WWhat US media is missing in Israel’s war on Gaza...and why it ho controls the media message on the Israel-Palestine .

South Africa’s historic support for Palestine | Al Jazeera ...
Pal‘Battle of narratives’ continuing between Israel and the UNestinian children killed in Israeli attacks in Gaza | Al ...
Israel and US face growing isolation as deadly war in Gaza

“This is genocide, not war”: Gaza destruction sparks protests ...
“This is a criminal genocide:” Palestinian man begs for ..
US being humiliated by Israel
“Is this the war some of you are defending?” | Al Jazeera
Why is Israel targeting key UN agency UNRWA in Gaza? | The ...
Israeli forces target Palestinian paramedics | Al Jazeera .
Israeli ministers join rally calling for resettlement of Gaza | Al .
‘They want to kill the eyewitnesses’: Israel’s war on journalists Kumbe Aljazeera crew ndio magaidi
World condemns Israel’s war on Gaza as it marches for ...
Breaking News : Al Jazeera’s Samer Abudaqa killed in Israeli ...
Palestinian children killed in Israeli attacks in Gaza | Al ...
Palestinians speak of being stripped and abused by Israeli ..
UK students protest support for Israeli arms deals | Al Jazeera ...
Palestinian Red Crescent says Israeli forces deliberately killed ...
US ‘deeply troubled’ by photo of injured Palestinian | Al ...
Israel appears to have directly targeted Al Jazeera journalists ... -Walishawastukia kitambo wakiingia kingi wanawala vichwa
Weaponising water in Palestine | Israel War on Gaza
Qatar to ICJ: Israel carrying out “genocidal war” on people of . Ndio wao wenyewe
Two-month-old Palestinian boy dies of hunger amid Israel’s ...
In Gaza now, it’s worse than ethnic cleansing | Centre Stage

 
sukari imefika tsh. 5000 dar per kg, sijui huu mwaka kama chai itanyweka
 
Back
Top Bottom