Vita ya Gaza: Uchumi wa Israel wasinyaa kuliko ilivyotarajiwa

Vita ya Gaza: Uchumi wa Israel wasinyaa kuliko ilivyotarajiwa

Yesu BWANA WA MABWANA!! Jamaa alikufa kama wengine tu!! Ila Yesu !!! ANARUDI KAMA HAI!

Bwana wa mabwana kabebwa na shetani , karembusha macho kama kigori

1709055935738.jpeg
 
Thi
Bwana wa mabwana kabebwa na shetani , karembusha macho kama kigori

View attachment 2918468
hii ni just picha tu! Ambazo nyie msha uwa watu wengi tuu kwa kumchora jamaa yenu!! Mudy alioa mke wa MTOTO WAKE😭😭
Muhammad had legally adopted a son called Zayd bin Haritha and renamed him as Zayd bin Muhammad (Zayd son of Muhammad).

Zayd later married a gorgeous girl named Zaynab Bint Jahsh.

One very hot summer afternoon, Muhammad went to Zayd's house to meet him. Zayd was not at home. Muhammad knocked on the door.

Due to the heat, Zaynab was dressed skimpily. Thinking Zayd had returned, Zaynab didn't cover herself and opened the door.

Lo and behold, Muhammad saw his stunning daughter in law in a semi-naked state. Muhammad muttered “praise be to Allah who can move the heart of men”.

Muhammad was passionately smitten and decided to marry Zaynab. Muhammad ordered his son Zayd to divorce her so that he could marry Zaynab. Zayd obediently divorced her.

However there was a huge obstacle. Muhammad had established a father-in-law relationship with Zaynab. Arab culture regards a father-in-law as a father. Such a marriage was akin to incest. The society would be outraged and could cost Muhammad his prophethood.

Muhammad prayed to Allah for guidance.

Soon after, Allah sent a revelation banning and abrogating adoptions. Now Zayd was no longer his son and by default Zaynab no longer his daughter-in-law.

Muhammad received this revelation while enjoying the company of his child wife Aisha. Aisha laughed and said that “Allah surely hastens to fulfill your wishes and desires”. By now Aisha had realized that Muhammad was composing the revelations but attributing them to Allah.
 
Thi

hii ni just picha tu! Ambazo nyie msha uwa watu wengi tuu kwa kumchora jamaa yenu!! Mudy alioa mke wa MTOTO WAKE😭😭
Muhammad had legally adopted a son called Zayd bin Haritha and renamed him as Zayd bin Muhammad (Zayd son of Muhammad).

Zayd later married a gorgeous girl named Zaynab Bint Jahsh.

One very hot summer afternoon, Muhammad went to Zayd's house to meet him. Zayd was not at home. Muhammad knocked on the door.

Due to the heat, Zaynab was dressed skimpily. Thinking Zayd had returned, Zaynab didn't cover herself and opened the door.

Lo and behold, Muhammad saw his stunning daughter in law in a semi-naked state. Muhammad muttered “praise be to Allah who can move the heart of men”.

Muhammad was passionately smitten and decided to marry Zaynab. Muhammad ordered his son Zayd to divorce her so that he could marry Zaynab. Zayd obediently divorced her.

However there was a huge obstacle. Muhammad had established a father-in-law relationship with Zaynab. Arab culture regards a father-in-law as a father. Such a marriage was akin to incest. The society would be outraged and could cost Muhammad his prophethood.

Muhammad prayed to Allah for guidance.

Soon after, Allah sent a revelation banning and abrogating adoptions. Now Zayd was no longer his son and by default Zaynab no longer his daughter-in-law.

Muhammad received this revelation while enjoying the company of his child wife Aisha. Aisha laughed and said that “Allah surely hastens to fulfill your wishes and desires”. By now Aisha had realized that Muhammad was composing the revelations but attributing them to Allah.


Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana

LONDON: Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa: “Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.

Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu". Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo.

"DAILY NEWS" 25/6/84
 
Thi

hii ni just picha tu! Ambazo nyie msha uwa watu wengi tuu kwa kumchora jamaa yenu!! Mudy alioa mke wa MTOTO WAKE😭😭
Muhammad had legally adopted a son called Zayd bin Haritha and renamed him as Zayd bin Muhammad (Zayd son of Muhammad).

Zayd later married a gorgeous girl named Zaynab Bint Jahsh.

One very hot summer afternoon, Muhammad went to Zayd's house to meet him. Zayd was not at home. Muhammad knocked on the door.

Due to the heat, Zaynab was dressed skimpily. Thinking Zayd had returned, Zaynab didn't cover herself and opened the door.

Lo and behold, Muhammad saw his stunning daughter in law in a semi-naked state. Muhammad muttered “praise be to Allah who can move the heart of men”.

Muhammad was passionately smitten and decided to marry Zaynab. Muhammad ordered his son Zayd to divorce her so that he could marry Zaynab. Zayd obediently divorced her.

However there was a huge obstacle. Muhammad had established a father-in-law relationship with Zaynab. Arab culture regards a father-in-law as a father. Such a marriage was akin to incest. The society would be outraged and could cost Muhammad his prophethood.

Muhammad prayed to Allah for guidance.

Soon after, Allah sent a revelation banning and abrogating adoptions. Now Zayd was no longer his son and by default Zaynab no longer his daughter-in-law.

Muhammad received this revelation while enjoying the company of his child wife Aisha. Aisha laughed and said that “Allah surely hastens to fulfill your wishes and desires”. By now Aisha had realized that Muhammad was composing the revelations but attributing them to Allah.

‘Ujumbe wa Yesu’, huenda ni nukta muhimu zaidi kuizingatia. Kwa kuwa, kama Yesu hakuwa Mungu mwenye mwili, ila ni nabii wa Mungu, ujumbe aliouleta kutoka kwa Mungu ni kiini cha kazi yake.

Utiifu

Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo. Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:

"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ...
"
"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…"

Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’.

Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema:

“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.”

Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu.

Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema:

“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”
 
Unadhani bila ya hao mameberu wa magharibi kumsaidia mzayuni angekaa mpaka leo mbele ya wazee wa kazi Hamas? Thubutu.
 
Kuna nchi watatumia hii taarifa ili kuwakandamiza Raia wao, bora ungeisoma huko ulipoitoa na kukaa kimya aseee [emoji16]!.

Aisee, umeona mbali sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
‘Ujumbe wa Yesu’, huenda ni nukta muhimu zaidi kuizingatia. Kwa kuwa, kama Yesu hakuwa Mungu mwenye mwili, ila ni nabii wa Mungu, ujumbe aliouleta kutoka kwa Mungu ni kiini cha kazi yake.

Utiifu

Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo. Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:

"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ...
"
"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…"

Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’.

Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema:

“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.”

Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu.

Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema:

“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”
Yaani lete yaliomo kwenye kitabu chako!! Bibilia wewe aikuusu na walahukumu yako wewe itatokana na Quraan na sio Injili!! Lete yaliomo kwenye kitabu chako na sio cha hawa unaowaita MAKAFIR!
 
Kanisa aliloliacha Yesu lipo VATICAN ITALY
Sorry ..yesu halijui kanisa lolote wala hajaingiapo kanisani

“Matakwa ya Mungu” yamejumuishwa katika sheria za ufunuo mtakatifu ziliofundishwa na manabii kwa wafuasi wao. Kwa hiyo, utiifu kwa sheria ya Mungu ni msingi wa kuabudu. Quran inathibitisha haja ya utiifu kwa sheria ya ufunuo mtakatifu katika sura ya Al-Maaidah, aya 44.

مْ 􀑧 ن لَّ 􀑧 لَمُو اْ...، وَمَ 􀑧 ذِينَ أَسْ 􀑧 ونَ الَّ 􀑧 ا النَّبِيُّ 􀑧 "إِنَّا أَنزَلْنَا التَّوْرَاةَ فِيهَا هُدًى وَنُورٌ يَحْكُمُ بِهَ
يَحْكُم بِمَا أَنزَلَ اللّهُ فَأُوْلَئِكَ هُمُ الْكَافِرُونَ"

"Hakika Sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru, ambayo kwayo Manabii walionyenyekea Kiislamu…, Na wasiohukumu kwa aliyoteremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio makafiri." Al- Maaidah, aya 44.

Pia, Yesu ameripoti katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 19:16-17, kuwa alifanya utiifu kwa sheria ya ufunuo mtakatifu ambayo ndio ufunguo wa Peponi:

“Na tazama, mtu mmoja akamwendea akawaambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele?Akamwambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.”

Pia katika Mathayo 5:19, Yesu Kristo ameripotiwa kuwa amesisitiza utiifu mkali wa kuzitii amri kwa kusema,

“Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.”

Sheria ya Mungu inawakilisha mwongozo kwa wanadamu katika pande zote za maisha. Inafafanua zuri na baya kwa wanadamu na kuwapa wanadamu mfumo kamili unaosimamia mambo yao yote.

Muumba pekee ndiye ajuaye vizuri kipi kina manufaa kwa viumbe wake na kipi hakina.

Kwa hiyo, sheria ya Mungu inaamuru na kukataza matendo na vitu mbali mbali ili kuikinga roho ya mwanadamu, mwili wa mwanadamu, na jamii ya wanadamu isidhurike. Ili wanadamu watimize uwezo wa kuishi kwa wema, wanahitaji kumwabudu Mungu kwa kutii amri Zake.

Hii ndio iliyokuwa dini iliyoletwa katika ujumbe wa Yesu; kutii matakwa ya Mungu mmoja wa kweli kwa kutii amri zake.

Yesu aliwasisitizia wafuasi zake kuwa kazi yake haikuwa kutangua Sheria (Taurati) iliyopokelewa na Nabii Musa.

Akiwa kama Mitume iliyokuja baada ya Musa iliyoimarisha sheria, Yesu alifanya hivyo hivyo. Sura ya al-Maaidah, aya ya 46 ya Quran inaashiria kuwa Yesu ameimarisha Sheria ya Taurati katika ujumbe wake.

اهُ 􀑧 وْرَاةِ وَآتَيْنَ 􀑧 نَ التَّ 􀑧 هِ مِ 􀑧 يْنَ يَدَيْ 􀑧 ا بَ 􀑧 دِّقًا لِّمَ 􀑧 "وَقَفَّيْنَا عَلَى آثَارِهِم بِعَيسَى ابْنِ مَرْيَمَ مُصَ
الإِنجِيلَ فِيهِ هُدًى وَنُورٌ وَمُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ..."

"Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayosadikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati…" Al-Maaidah, aya 44.

Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza:

“Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.”

Hata hivyo, Paulo, aliyedai kuwa ni mwanafunzi wa Yesu, kimsingi ametangua sheria.

Katika waraka wake kwa Warumi, sura 7:6, ameeleza,

“Bali sasa tumefunguliwa katika Torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani ya andiko.”
 
Jamaaa alialishaaa sijui ni Kipindupindu😂akajifia zake na alisema kabla ajafa:MUDY AJUI NI MZIKI GANI MUNGU ORIGINAL ATAMPA KWA UONGO WAKE!!
Then the Prophet came to us and I (addressing the dead body) said, "O Abu As-Sa'ib, may Allah's Mercy be on you! I bear witness that Allah has honored you." On that the Prophet said, "How do you know that Allah has honored him?" I replied, "I do not know. May my father and my mother be sacrificed for you, O Allah's Apostle! But who else is worthy of it (if not 'Uthman)?" He said, "As to him, by Allah, death has overtaken him, and I hope the best for him. By Allah, though I am the Apostle of Allah, yet I do not know what Allah will do to me," By Allah, I will never assert the piety of anyone after him.

Upwekeshaji


Yesu amekuja akiwa ni Nabii, akiwaita watu wamwabudu Mungu peke yake. Kama walivyofanya manabii wa kabla yake. Mungu anasema katika sura An-Nahli 16:36 ya Quran:
"وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولاً أَنِ اعْبُدُواْ اللّهَ وَاجْتَنِبُواْ الطَّاغُوتَ..."
"Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani…" An-Nahli 16:36

Katika Luka 4:8, Shetani anamtaka Yesu amwabudu yeye, kwa kumuahidi mamlaka na utukufu wa ufalme wa dunia nzima,

“Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.”

Kwa hiyo kiini cha ujumbe wa Yesu kilikuwa ni kuwa Mungu pekee ndiye anayestahiki kuabudiwa na kuwa kumwabudu yeyote au chochote kandoni au pamoja na Mungu ni kosa.

Yesu sio tu, amewaita watu katika ujumbe wake lakini pia uliutekeleza na kuuonesha kwao kwa kusujudu katika sala na kumwabudu Mungu mwenyewe.

Katika Marko 14:32, inaeleza:

“Kisha wakaja mpaka bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa muda niombapo.”

Na katika Luka 5:16,

“Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.”

Yesu aliwaita wamwabudu Mungu mmoja wa kweli ambaye ni wa kipekee katika sifa zake.

Mungu hana sifa za viumbe zake, na hakuna kiumbe yeyote anayeshirikiana naye kwa sifa yoyote ile.

Katika Mathayo 19:16-17, pale mtu mmoja alipomwita Nabii Yesu ‘mwema’, akisema

“Na tazama, mtu mmoja akamwendea akawaambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele? Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja…"

Yesu alikana sifa ya ‘uungu wenye mipaka’ au ‘wema kamilifu’ kwa nafsi yake, na kuthibitisha kuwa sifa hii inamilikiwa na Allah peke yake.
 
Yaani lete yaliomo kwenye kitabu chako!! Bibilia wewe aikuusu na walahukumu yako wewe itatokana na Quraan na sio Injili!! Lete yaliomo kwenye kitabu chako na sio cha hawa unaowaita MAKAFIR!

Ni kweli mimi sikijui kitabu kinachoitwa Bibilia wala sijakionapo labda hicho ni kitabu chako wewe
 
Hawa jamaaa Wana Royalities kwenye kila the Best products katika Dunia hii.
Ata kwenye kila Iphone Israel anapata Mkwanja.Kwenye Best Dawa za Cancer , HIV pia......Israel wewe isikie tu! Hapo Walipo wanauwezo wa kupigana na ata nchi 10 kwa wakati mmoja.... kama sio hawa jamaa kuweka kambi zao na Millitary facilities kwenye makazi ya watu na hospital na misikitini wangeshakuwa awapo milele
Ndivyo unavyojidanganya??
Embu acha kuwa brainwashed kijana na story za alfulela hulela.
Hamas tu imetetemesha uchumi wake je angepigana na nchi kama Pakistan?
 
Screenshot_2024-02-28-10-39-43-48_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg


Hao ndio watoa habari??
Na wewe unasoma kabisa na unaamini Israel ni ya kwanza kutoa wanasayansi wabobezi??
Embu kafuatilie
- annual GDP ya Israel
-GDP per capita ya Israel
-Purchasing power parity ya Israel
-Industrial power/contribution of industrial goods world wide.

Halafu pia kaa ufikirie vita na Hamas imechukua miezi minne Israel ndani ya miezi miwili alishakatikiwa pesa,fedha za vita na silaha zote zilikua zikitolewa na USA and EU allies.
KAMA UNADAI ISRAEL INA NGUVU KULINGANA NA ARTICLE AMBAYO NI NON-FACTUAL ULIYOLETA basi Israel asingelipewa misaada ya silaha na fedha za kuendeshea vita with in 4 months of a dwarf war.
Kuwa mtu reasoning sio unaokota tu vitakwimu pasi na kuvidadavua.
 
Kidume ni Russia, ngoma iko vitani nyundo inaenda ya 3 lakini kama hakijatokea kitu vile.
hahaha hivi mnaandika mkubwa mmelewa au? Russia aliahidi kuichukua Ukraine within a month sasa huu mwaka wa tatu kwanini bado mnapigana? mmepoteza zaidi ya wanajeshi lakini Moja na nusu ya meli zenu zimezamishwa, rudini kwenu Ukraine hamuiwezi mnajitia hasara tuu
 
Mleta habari soma tena ulituletea acha uchawa, ndani ya hiyo habari mbona inasema Kwa ujumla uchumi wa Israel umekuwa Kwa 2%, au hujaona
 
hahaha hivi mnaandika mkubwa mmelewa au? Russia aliahidi kuichukua Ukraine within a month sasa huu mwaka wa tatu kwanini bado mnapigana? mmepoteza zaidi ya wanajeshi lakini Moja na nusu ya meli zenu zimezamishwa, rudini kwenu Ukraine hamuiwezi mnajitia hasara tuu
Ushajitoa ufahamu kuwa NATO+EU wote wanaisaidia Ukraine?
Na ushajisahaulisha kuwa infantry wa kimarekani na kiingereza walipenyekwa katika jeshi la Ukraine kuisaidia Ukraine?
Kiufupi RUSSIA KIDUME kwa mambo mawili;
-Hapigani na Ukraine pekeake anapigana na NATO nzima.
-Licha ya vikwazo vyote vya kiuchumi toka USA na EU Russia bado iko imara kiuchumi.
Komboeni Zaporizhia na maeneo ya Eastern Ukraine ndio muongee.
 

Muislam wa Kwanza ni Shetan(Jinn)
قُلْ أُوحِىَ إِلَىَّ أَنَّهُ ٱسْتَمَعَ نَفَرٌۭ مِّنَ ٱلْجِنِّ فَقَالُوٓا۟ إِنَّا سَمِعْنَا قُرْءَانًا عَجَبًۭا ١

Say, ˹O Prophet,˺ “It has been revealed to me that a group of jinn listened ˹to the Quran,˺ and said ˹to their fellow jinn˺: ‘Indeed, we have heard a wondrous recitation
72:1
 
Muislam wa Kwanza ni Shetan(Jinn)
قُلْ أُوحِىَ إِلَىَّ أَنَّهُ ٱسْتَمَعَ نَفَرٌۭ مِّنَ ٱلْجِنِّ فَقَالُوٓا۟ إِنَّا سَمِعْنَا قُرْءَانًا عَجَبًۭا ١

Say, ˹O Prophet,˺ “It has been revealed to me that a group of jinn listened ˹to the Quran,˺ and said ˹to their fellow jinn˺: ‘Indeed, we have heard a wondrous recitation
72:1
Ona ulivyo popoma.
Kama muislam wa kwanza shetani Mtume alitokea wapi??
Hiyo surah inaelezea namna mtume alivyotumwa akawasomee Qur'an majini ili watii na waufuate uislam.
Wapo waliotii na wapo walioasi na kuwa mashetani.
Na sisi dini yetu tunakubali Mungu kaumba viumbe vyote(ikiwemo majini) ila kuna jini mzuri na mbaya aliye jini mbaya ndio hubatizwa ushetani na kuwa shetani.
 
Back
Top Bottom