Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Ezekiel was to use the poop as fuel for his cooking fire. The symbolic purpose was to teach Israel that they too would eat unclean food, as the human excrement would defile the food
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ezekiel was to use the poop as fuel for his cooking fire. The symbolic purpose was to teach Israel that they too would eat unclean food, as the human excrement would defile the food
Unayapata kitabu gani maelezo hayo uliyoyaandika ?Ezekiel was to use the poop as fuel for his cooking fire. The symbolic purpose was to teach Israel that they too would eat unclean food, as the human excrement would defile the food
Limeteuliwa kwa ushoga? Maana ndiyo nchi inayoongoza kwa mashoga ulimwenguniTaifa teule la Mungu😒🚮
Kwenye hichi kitabu:Unayapata kitabu gani maelezo hayo uliyoyaandika ?
Pole sanaArchiological hiyo ilifanywa lini na wapi kwani kafiri haingii makkah na madina ??😛😛😛😛
hilo linatuhusu nini sisi watu wa Manzese aisee. wanajuana wenyewe hukohuko middle east.Takwimu rasmi zinaonesha GDP ya Israel imeshuka kwa 19% robo ya mwisho ya mwaka 2023. GDP ya Israel iliathiriwa moja kwa moja na kuzuka kwa mgogoro huo Octoba 07 mwaka jana, ilisema ofisi ya takwimu.
Wataalam wanasema takwimu hizo zilizotolewa jana na ofisi ya takwimu ya Israel ni mbaya zaidi kuliko ilivyotarajiwa.
Ofisi hiyo imesema vita hivyo imeshusha matumizi, safari na uwekezaji mwishoni mwa mwaka jana. Matumuzi ya watu yameshuka kwa 26.3%, uuzaji bidhaa nje umeshuka kwa 18.3% na kuyumba kwa 67.8% ya uwekezaji wa kudumu hasa kwenye majengo ya makazi.
======
Israel's economy shrank by far more than expected in the wake of conflict with Hamas in Gaza, according to official figures.
Gross domestic product (GDP) - a key measure of a country's economic health - fell by 19% on an annualised basis in the fourth quarter of 2023.
That is the equivalent of a fall of 5% between October and December.
GDP was "directly affected" by the outbreak of the conflict on 7 October, the Central Bureau of Statistics said.
Israel and Hamas have been at war after gunmen from the Palestinian group launched an unprecedented attack on Israel from Gaza - the deadliest in Israel's history.
About 1,200 people were killed during the attack. Hamas, which is considered a terrorist group by Israel, the US, the European Union and the UK, also took more than 250 men, women and children hostage.
An Israeli military campaign has followed, which has killed 29,000 people in the Palestinian territory, according to the Hamas-run health ministry there.
Why are Israel and Hamas fighting in Gaza?
What is GDP and how is it measured?
Experts said the data released on Monday by Israel's Central Bureau of Statistics was much worse than had been expected.
The median estimate in a Bloomberg survey of analysts was for an annualised decline of 10.5%.
The Central Bureau of Statistics said the war had sharply curtailed spending, travel and investment at the end of last year.
It said private spending dropped by 26.3%, exports fell by 18.3% and there had been a 67.8% slide in investment in fixed assets, especially in residential buildings. The construction sector suffered from a lack of labour, due to military call-ups and a reduction in Palestinian workers.
Meanwhile, government spending, mainly on war expenses and compensating businesses and households, jumped by 88.1%.
Despite the sharp drop in GDP between October and December, Israel's economy grew by 2% for the full year.
However, before the 7 October attacks, it had been expected to expand by 3.5%.
Liam Peach, emerging markets economist at Capital Economics, said the contraction of Israel's economy was "much worse than had been expected and highlights the extent of the hit from the Hamas attacks and the war in Gaza".
He said the country's growth outlook for 2024 "now looks likely to post one of its weakest rates on record".
Elsewhere, the conflict has affected trade. Houthi rebels, backed by Iran, have been targeting cargo ships on the Red Sea that are heading to the Suez Canal.
Egypt's President Abdel Fattah al-Sisi said on Monday that the attacks had cut Suez Canal revenue by between 40% and 50% this year.
The Red Sea is one of the world's most important routes for cargo - almost 15% of global seaborne trade usually passes through the area.
The Houthis have been carrying out strikes from bases in Yemen on ships which they claim are Israeli-owned, flagged or operated, or are heading to Israeli ports. However, the owners and operators of many vessels claim they have no links with Israel at all.
The US and the UK have carried out retaliatory strikes on Houthi targets in Yemen in turn.
But even before this, some of the world's largest shipping companies had stopped their vessels from passing through the strait.
BBC
Pole sana
Mungu wenu sio Mungu wetu! So akuna Shida yeyote ile! Majini ni Mashetani yaliotupwa nje ya Peponi(paradiso) nyinyi eti mnasali nayo!!! Qurani Imemtaja YESU Mara 100+ Mwamadi mara kumi azifiki!!! Mme copy Bibilia lakini watu wake amuwataki!Na Mnasali na Majini! Quran inakubali kuwa YESU atarudi Duniani!! Lakini amuwakubali watu wake😂. Ukristo aukubali Majini wala sio sehemu yao! Nyie Majini ni Wenzenu- MUNGU wenu sio MUNGU wa Wakristo
Mungu wenu sio Mungu wetu! So akuna Shida yeyote ile! Majini ni Mashetani yaliotupwa nje ya Peponi(paradiso) nyinyi eti mnasali nayo!!! Qurani Imemtaja YESU Mara 100+ Mwamadi mara kumi azifiki!!! Mme copy Bibilia lakini watu wake amuwataki!Na Mnasali na Majini! Quran inakubali kuwa YESU atarudi Duniani!! Lakini amuwakubali watu wake😂. Ukristo aukubali Majini wala sio sehemu yao! Nyie Majini ni Wenzenu- MUNGU wenu sio MUNGU wa Wakristo
Alhaa sio Mungu wake Wakristo!! Mtume aliuguwa akafa!! Na ameshuudia Yesu Kurudi Duniani!!!na Ametaja mama ake Yesu zaidi ya mara 100 kwenye Quraan! SALAAM MARIA UMEJAA NEEMA NA YESU MZAO WA TUMBO LAKO AMEBARIKIWA🙏
Jagina !! Nyie mnasali na Majini sisi Majini ni Laana na atujiusisi nao ata ! Quraan ina Injili, Zaburi na vitabu vingii tuu vya kwenye Bibilia!!!Mtume wenu watu walimkataaa yaani na mpaka leo Nyie ndo Tatizo Duniani!
Mtume alikuwa anapata Maono mpaka akivaa Chupi ya Mkewe!! Hapa lete haya inayokataa hii katuni
Mungu wa Waislam sio Mungu wa Wakristo!! Ni Mungu wawili tofauti. Mnasali na Mashetani(MAJINI) Mama ake Yesu Bikira maria Amemponda Shetani na Miguu yake
Mudy alikutana na kina papa msofe wa miaka hiyo wakampiga hela wakampa Kitabu kina mix ya Vitabu vya waisraeli, Wahindu na Wapagani wa Syria!! MAANA AJUI KOSOMA NA KUANDIKA!! Yesu alisema Kipofu akimwongoza Kipofu wote.....: Wataingia Shimoni😂Mudy ajui soma wala kuandika!! Wote mnaomfuata ni Vipofu
![]()
Did Prophet Mohammed have sex at the age of 53 with Aisha when she was 9 years old?
Answer (1 of 15): Yes Muhammad married Aisha at age of 9 when Muhammad was 49 and consummated marriage when he was 52 and Aisha was 9 year old at the time. There is no denial in this. Islamic texts clearly interoet this. Muslim apologists have know this very well. But deny and justify these thi...www.quora.com
JAG
Mosque of the Jinn - Wikipedia Majini ninMashetani! wakristo Awaendani na Mashetani!!! Nyie mnasali na Mashetani(majini) nyie Mtume wenu alitokewa na Mashetani na sio Mungu
Waulize wa Russia wenyewe usisubiri propaganda za putinKidume ni Russia, ngoma iko vitani nyundo inaenda ya 3 lakini kama hakijatokea kitu vile.
Usiqote Bibilia! Lete yaliomo kwenye Kitabu chako"Hapo mwanzo kulikuwa na Neno"
Huenda ‘ushahidi’ wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14,
“Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.”
Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana.
Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne.
Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: “Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.
Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.
Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa “neno” ni logos.
Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.
Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja.
Baadaye, Stoics analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.89F90 Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.
Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo.
Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita “mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu.”
Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani.
Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani. Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na ubishani,
Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.
Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika hiyo ibara ni “na Neno lilikuwa kwa Mungu,” lipo katika mtindo wa “definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika” batheos, Linalomaanisha “Huyo Mungu, au Mungu maalum”.
Hata hivyo, katika ibara ya pili “na Neno alikuwa Mungu”, neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika ibara lipo katika mtindo wa “indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika” tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu’.
Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, “Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine.”
Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja.
Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika’ linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu.
Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika 2 Wakorintho 4:4,
"ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu."
Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.