Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

yaani kutudanganya kwamba hii sio vita ya waislam na wasio waislam, wakati dunia nzima ya kiislam inawasapoti wapalestina kwa minajili ya dini na sio haki, unatifunga kamba hapo na humdanganyi mtu. hii ni vita ya kidini, na kinachotafutwa pale ni ardhi ya Waiosrael (ambao mmeelekezwa kuwaita mayahudi/mazayuni/makafiri) ambayo walipewa na Mungu, ongea koote ila ukweli ndio huo. ndio maana hata Israel amekuwa akiulinda msikiti wa al aqsa ambao hata Lebanon (washia) walitaka kuupiga kwa lengo kwamba dunia yote ichafuke kwasababu kwa waislam kuupora msikiri wa al aqsa na kujenga sinagogi la wayahudi ni kitu ambacho hata wewe bibi kizee hautakubali. kwa taarifa yako, wayahudi wataufuta ule msikiti, na watajenga palepale sinagogi la wayahudi kwasababu awali pale palikuwepo hilo sinagogi na waislamw alipovamia ndio walilivunja na kujenga ule msikiti. vita ni ya kidini pure.
 
Si kila asiye Muislam ni kafir daima. Mwenyezi Mungu "huutowa umauti kwenye uhai na huutowa uhai kwenye umauti".

Kafiri ni kama wewe usiyejijuwa uko wapi.
kwa mkristo wa kweli bora kuitwa kafir kuliko kuwa muislam, kwasababu bora hata kufa kuliko kuwa muumini wa dini ya kiislam. labda nimsaidie kujibu.
 
Na huko Uingereza pia.
 
Aise kila mtu na maisha yake.
Mbona huku kwetu ccm imetuteka nyara na hamsemi🤔.
Wamejimirikisha haki ya kutawala.
Kila anaekuwa tofauti nao,kesi zitamwandama mpaka ukoo mzima.

Wamejimirikisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama kinyume na katiba.
Haiwezikani,Mkuu wa Wilaya/Mkoa anaeteuliwa na rais kuwa m/kiti wa ulinzi na usalama wakati Hana mafunzo yoyote ya kijeshi.

Bora kule wanakipiga kuondoa unafiki.

Wale ni ndugu damudamu.
Kaini na Abeli.
So ni endless war.
 
Huo ni mtazamo wako, kama unampinga Mwenyezi Mungu mmoja basi wewe ni kafiri pia.

kauli yako tu inaonesha wewe ni kafiri.
Faizafox ,ukipata MUDA leta mada za ndoa ya kiislam mana nataka kuslimu
 
allah akbar...sisi Hamas tunaipeleka dunia kwenye WW3 kwa kupigania ardhi yetu,itoshe kusema sisi ni wamba sana
 
Kwanza, shika adabu yako kwa "name calling".
Wapi nimefanya name calling?

Unajua hata name calling ni nini kwa mujibu wa policy za JF?

Yaani unakataa heshima ya umri wako kuwa sasa wewe ni ajuza na si binti?

Kwahiyo wewe unaamini "uajuza" ni name calling?
Kama hauna dini, siyo tatizo letu. Ni lako.
Dini ni nini?

Nini faida ya dini ?

Dini zilikuwepo kabla ya binadamu au dini zilimkuta binadamu?

Huyo mungu wa walio na haki kama yupo mbona hajitokezi kuwatetea wenye haki ??
Kwenu hakuna mizimu?
Siamini katika chochote .

Una swali lingine?
 
Kwhiyo israel wengi hawamuamini mwenyezi mungu unamatatizo na mila na deturi za kiarabu ulizo lisishwa na JE WW UKIFA UNAKUWA MIONGONI MWA MABIKIRA 72 ATAKAYEPEWA OSAMA ANGALI UNAWATOTO 7 NA JE KWANINI MALAIKA WENU MPENDWA MUHAMADI ALIAMUA KUMUITA ISRAEL MTOA ROHO
 
Bi Faiza vipi unaendeleaje na maandamano huko Uingerezani ,kama vipi hamia kwa rafiki zako wa Houth🤣🤣🤣 ukale tambi huko mpaka upauke
 
Faiza foxy kumbe bongo wako ni mdogo kama chaja ya pini ndogo ya Nokia unaamini upuzi upuzi wa kwenye vitabu vya hadithi..........inasikitisha
 
Ni vita kama vita zingine. Vita vya Congo na hata vya sasa Sudan vimeua watu wengi kuliko hivyo.
 
akil za madrasaa hz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…