Waarabu wanawezaje? Sijawai sikia mgogoro wa waarab
Mpaka kanisa wataliuzaSadaka za wafia dini zinagombaniwa
Wazungu na wahindi kwanini wao huwa hawagombanii mali?Aftika ukiwa na mali ni balaa kubwa ukifa hata kwa mzee Mengi wananyukana kila siku....na mali zenyewe huishaa
Kwanini wahindi, wazungu na waarabu wakifa huwa hatusikii kufikishana mahakamani?Tatizo wengi wetu tunafikiri tuna siku nyingi za kuishi. Uhalisia maisha yetu ni mafupi na kifo kinaweza kutokea wakati wowote mara nyingi tusipotegemea.
Unaandika Womia na unau- update kila baada ya miaka mitatu, mitano. Ila huwaambia watoto wasije wakakutanguliza mbele ya haki kabla ya siku zako.
Kwa mzee Mengi ni tofauti,pale kwa mengi ni familia imeungana kufukuza panya kwenye ghala lao,k-lyn ni panyaAftika ukiwa na mali ni balaa kubwa ukifa hata kwa mzee Mengi wananyukana kila siku....na mali zenyewe huishaa
Warabu mfumo wa urithi upo wazi kabla hata mtu hajachuma mali😅 ndio maana shida huwa hamna kabisa.Waarabu wanawezaje? Sijawai sikia mgogoro wa waarab
Af kuna mpuuz anajifanya ooh kila mtu atafte mali zake. Siku akifa anaacha ugomviHizi Mali zitapukutika zote!
Watoto gani hawana akili namna hii?
Jmn mirathi muhimu sbb hujui kifo kitakukutaje!
[emoji848][emoji87]
Ina maana hata imani ya kikristo hawana wanagombania mzigo wa mamaAisee hadi hawa daah nilidhani wamegawana kwa amani
Yawa ja thurwa, Jakuogni ber go wiye mondo owinj lit en bende. Osando ji ahínya ! JakamagetaVita no vita,hizi mali zote zitamfuata mwendazake,
Ina maana hata imani ya kikristo hawana wanagombania mzigo wa mama
Hivi kweli mali zote hizo za mama bado unagombea udiwani kuna shida sio bure.
Waislamu waswahili wa Tanzania wao wanatumia kitabu kipi ni tofauti na hicho cha waarabu?.maana migogoro mwenye mali Akira huwa sio ya kitotoWarabu mfumo wa urithi upo wazi kabla hata mtu hajachuma mali😅 ndio maana shida huwa hamna kabisa.
Huwezi sikia watu wanagombea mali uarabuni sababu kitabu cha dini kimeshasema share ya mtu ni ipi.
Hahahahah waislamu wanafata katiba sio kitabu cha dini😅Waislamu waswahili wa Tanzania wao wanatumia kitabu kipi ni tofauti na hicho cha waarabu?.maana migogoro mwenye mali Akira huwa sio ya kitoto
Hakuna kugawa mali fanya kazi tumia kwa kadri unavyoweza waachie madeni tu kama wanakupenda watakulipia, kama sisi hatukuachiwa mali na wazee wetu na wewe kula tu hakuna kujibana wacha wakukumbuke kwa mazuri na mapenzi tu sio mali. Nawashauri acha kulimbikiza mali ishi maisha yako full usjinyime kula, kunywa usivimbiwe tu lakini enjoy mali zako ukiwa hai. Binadamu hawatakushukuru hata uwaachie Dar na bahari yake haitawatosha watataka na kaburi lako.Muwe mnagawa Mali Kwa watoto kila mwaka