Vita ya madhabahu: Pale falme mbili zinapotunishiana misuli

Vita ya madhabahu: Pale falme mbili zinapotunishiana misuli

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa na mpendwa wako
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama motisha wa kufanya vizuri zaidi
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama ishara njema kwa jambo zuri ulilofanya
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kwa nia ya kudumisha, undugu urafiki na ushirika wa kazi ama Kazini

Kinyume chake zawadi ni kitu kibaya mno pale kinapotolewa kama msaada wenye agenda ya siri ama nia ovu nyuma yake.. Kuna baadhi ya zawadi badala ya kufanyika baraka hufanyika balaa na kusababisha kila aina ya matatizo

Vyovyote iwavyo kuhusu zawadi.. Tambua zawadi ni deni
Ni deni la utu
Ni deni la wakati
Ni deni la nyakati
Ni deni la kitu/vitu
Ni deni la madhabahu...!

Gozbeth kapewa zawadi la mtumba akalipokea kwa furaha kubwa na kwa shukrani sana.. Lakini ilipofika usiku zawadi ikawa deni.. Na shida ilianzia hapo
Kwa mujibu wa 'mtumishi' aliyekuwa anamhudumia alisema jamaa alipewa ile Benz kwakuwa alienda na Harrier ya mkopo..
Logik hapo kwa kutumia common sense rahisi kabisa ni kumlipia mkopo au ni kumpa gari lingine huku lile akiendelea kudaiwa?

Kuna baadhi ya vitu watu hupewa kama zawadi lakini vimenenewa .. Na usiku ndotoni huletewa ujumbe wenye masharti ya kuweza kudumu na hiyo zawadi.. Maranyingi hayo masharti ni ya aibu na ya kudhalilisha utu..

kafara la moto
Pamoja na wengi kudhani kwamba kule kulichoma lile gari kulikuwa ni kick ama kuchanyikiwa.. Lakini ukweli ni kwamba kuna kitu dogo alichokutana nacho kuihusu zawadi ambacho kiliamsha mashetani ya mizimu yote! Wala asisingizie Mungu
Gozbeth kaingia kwenye mfumo wa nabii mwenye kashfa na tuhuma nyingi.. Lakini kabla hajapelekwa kibla kuna nguvu ikamgutua..
Sasa ni vita ya madhabahu kupitia falme za giza.. Je nani ataibuka kidedea ? Gozbeth au nabii?
Ogopa sana kafara la moto..!!!
 
Hilo Benz,Bora angenipa mimi nipigie misele hapa mjini huku naokota pisi kali.

Nalichukua mchana kweupeee peee na hakuna chochote kitanitokea.

Nikiwa natoka mishe zangu saa nane usiku, ndani ya ndinga langu, nikisikia sijui kama mzimu ananigusa kisogo nawasha bange halafu saundi la kutosha namsikiliza my niga Pac.

Imagine mzimu anajitokeza seat ya nyuma, wewe huna time nae, umewasha bange lako huku unasikiliza kalifonia love


View: https://youtu.be/kx458A28AXA?si=M_OQl3JfZePHXpVX
 
Hilo Benz,Bora angenipa mimi nipigie misele hapa mjini huku naokota pisi kali.

Nalichukua mchana kweupeee peee na hakuna chochote kitanitokea.

Nikiwa natoka mishe zangu saa nane usiku, ndani ya ndinga langu, nikisikia sijui kama mzimu ananigusa kisogo nawasha bange halafu saundi la kutosha namsikiliza my niga Pac.

Imagine mzimu anajitokeza seat ya nyuma, wewe huna time nae, umewasha bange lako huku unasikiliza kalifonia love


View: https://youtu.be/kx458A28AXA?si=M_OQl3JfZePHXpVX

Nikiwa natoka mishe zangu saa nane usiku, ndani ya ndinga langu, nikisikia sijui kama mzimu ananigusa kisogo nawasha bange halafu saundi la kutosha namsikiliza my niga Pac.😂
 
Mshana umeeleza kwa uchache ebu tupe maarifa zaidi kwann kachoma moto gari na inahusiana nn na kafara la moto
Moto huungaza mpaka vilivyo hai.. Kumbuka Sodoma na Gomorrah iliyeketezwa kwa moto

Zaidi soma
 
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa na mpendwa wako
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama motisha wa kufanya vizuri zaidi
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama ishara njema kwa jambo zuri ulilofanya
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kwa nia ya kudumisha, undugu urafiki na ushirika wa kazi ama Kazini

Kinyume chake zawadi ni kitu kibaya mno pale kinapotolewa kama msaada wenye agenda ya siri ama nia ovu nyuma yake.. Kuna baadhi ya zawadi badala ya kufanyika baraka hufanyika balaa na kusababisha kila aina ya matatizo

Vyovyote iwavyo kuhusu zawadi.. Tambua zawadi ni deni
Ni deni la utu
Ni deni la wakati
Ni deni la nyakati
Ni deni la kitu/vitu
Ni deni la madhabahu...!

Gozbeth kapewa zawadi la mtumba akalipokea kwa furaha kubwa na kwa shukrani sana.. Lakini ilipofika usiku zawadi ikawa deni.. Na shida ilianzia hapo
Kwa mujibu wa 'mtumishi' aliyekuwa anamhudumia alisema jamaa alipewa ile Benz kwakuwa alienda na Harrier ya mkopo..
Logik hapo kwa kutumia common sense rahisi kabisa ni kumlipia mkopo au ni kumpa gari lingine huku lile akiendelea kudaiwa?

Kuna baadhi ya vitu watu hupewa kama zawadi lakini vimenenewa .. Na usiku ndotoni huletewa ujumbe wenye masharti ya kuweza kudumu na hiyo zawadi.. Maranyingi hayo masharti ni ya aibu na ya kudhalilisha utu..

kafara la moto
Pamoja na wengi kudhani kwamba kule kulichoma lile gari kulikuwa ni kick ama kuchanyikiwa.. Lakini ukweli ni kwamba kuna kitu dogo alichokutana nacho kuihusu zawadi ambacho kiliamsha mashetani ya mizimu yote! Wala asisingizie Mungu
Gozbeth kaingia kwenye mfumo wa nabii mwenye kashfa na tuhuma nyingi.. Lakini kabla hajapelekwa kibla kuna nguvu ikamgutua..
Sasa ni vita ya madhabahu kupitia falme za giza.. Je nani ataibuka kidedea ? Gozbeth au nabii?
Ogopa sana kafara la moto..!!!
Eti nabii,kimzaha mzaha neno nabii lilianza tumika mwanzoni 2000,hata wakristu walipinga,lakini sasa wamekubali,limekubalika kwamba kuna manabii siku hizi,na wanachangisha pesa hatari
 
Nikiwa natoka mishe zangu saa nane usiku, ndani ya ndinga langu, nikisikia sijui kama mzimu ananigusa kisogo nawasha bange halafu saundi la kutosha namsikiliza my niga Pac.😂
Hakuna kitu mzimu,bange ni sawa na tumbaku tu, hakuna anayeiogopa
 
Moto huungaza mpaka vilivyo hai.. Kumbuka Sodoma na Gomorrah iliyeketezwa kwa moto

Zaidi soma
Kwahy gari aliyozawadiwa ilikuwa na walakini
 
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa na mpendwa wako
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama motisha wa kufanya vizuri zaidi
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama ishara njema kwa jambo zuri ulilofanya
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kwa nia ya kudumisha, undugu urafiki na ushirika wa kazi ama Kazini

Kinyume chake zawadi ni kitu kibaya mno pale kinapotolewa kama msaada wenye agenda ya siri ama nia ovu nyuma yake.. Kuna baadhi ya zawadi badala ya kufanyika baraka hufanyika balaa na kusababisha kila aina ya matatizo

Vyovyote iwavyo kuhusu zawadi.. Tambua zawadi ni deni
Ni deni la utu
Ni deni la wakati
Ni deni la nyakati
Ni deni la kitu/vitu
Ni deni la madhabahu...!

Gozbeth kapewa zawadi la mtumba akalipokea kwa furaha kubwa na kwa shukrani sana.. Lakini ilipofika usiku zawadi ikawa deni.. Na shida ilianzia hapo
Kwa mujibu wa 'mtumishi' aliyekuwa anamhudumia alisema jamaa alipewa ile Benz kwakuwa alienda na Harrier ya mkopo..
Logik hapo kwa kutumia common sense rahisi kabisa ni kumlipia mkopo au ni kumpa gari lingine huku lile akiendelea kudaiwa?

Kuna baadhi ya vitu watu hupewa kama zawadi lakini vimenenewa .. Na usiku ndotoni huletewa ujumbe wenye masharti ya kuweza kudumu na hiyo zawadi.. Maranyingi hayo masharti ni ya aibu na ya kudhalilisha utu..

kafara la moto
Pamoja na wengi kudhani kwamba kule kulichoma lile gari kulikuwa ni kick ama kuchanyikiwa.. Lakini ukweli ni kwamba kuna kitu dogo alichokutana nacho kuihusu zawadi ambacho kiliamsha mashetani ya mizimu yote! Wala asisingizie Mungu
Gozbeth kaingia kwenye mfumo wa nabii mwenye kashfa na tuhuma nyingi.. Lakini kabla hajapelekwa kibla kuna nguvu ikamgutua..
Sasa ni vita ya madhabahu kupitia falme za giza.. Je nani ataibuka kidedea ? Gozbeth au nabii?
Ogopa sana kafara la moto..!!!
Ni kweli dogo anaweza kushinda kama
anategemea madhabahu ya Mungu aliye hai. Ila alivyoichoma moto kafanya vizuri sana kiulimwengu wa roho.
 
Gari unaendesha huku unatekenywa,, ukiendesha gari jingine hamna shida Benz la nabii mazongi yanakutekenya huku yanakuchekea kwa sauti za ajabu,, aaah,, tia moto
Hahahaha😂
 
Back
Top Bottom