Vita ya marafiki ni kali sana kwenye mafanikio kuliko mtu baki

2.5 nduo uwaombe watu kirahis rahis hvyo no Ina Kaka angu Ni tajiri Kweli ila kunipa laki mbili lzm sijui itakuwa kalala wapi
Kwa ninavyojua matajiri si wengi wanaotoa hela haraka haraka ila watu wa kipato cha kati..milioni sio ishu.ila kingine nimenote nafkiri watu wamekua sensitive na hela sana...huezi kusema ni ubinafsi ila watu wanachunga sana pesa...
 
Utawachukia watu wote bure,si kila siku mtu ana pesa mkononi
wakati mwingine zinakuwa kwenye mzunguko.
Nikushauri usivunje undugu kwa kukataliwa kukopeshwa.
Mi nilidhani wamekufanyia roho mbaya ili mipango yako ikwame na ukapata habari.
 

Mimi sion kama wana vita na wewe, Ni kwamba wewe huna hela, na wao wamegoma kukupa, hatuna uhakika kama wanazo.

Hatutoi toi hela hovyo kwa marafiki kuepuka hisia kama zako, kama wewe unawapa hovyo wewe ni fala, wao hawatoi hovyo.

Sidhani kama wana ubaya wa kiwango hicho, ni kwamba wewe unatakasaada ambao ni labda hawana au hawataki, ni utashi na huyari yao.
 
Utawachukia watu wote bure,si kila siku mtu ana pesa mkononi
wakati mwingine zinakuwa kwenye mzunguko.
Nikushauri usivunje undugu kwa kukataliwa kukopeshwa.
Mi nilidhani wamekufanyia roho mbaya ili mipango yako ikwame na ukapata habari.
Inawezekana mkuu ila kuna vitu nitapunguza kwenye urafiki wetu...siezi vunja urafiki...
 
Yaap hii ni kweli hadi moyoni...hasa hapo kwenye ufala
 
No one is your friend, hata mkeo, ila wake zetu wakiwa na watoto wetu tunaweza poteza hela kwao tusijali.

Hii dunia ndugu yangu, acha kabisa, watu wabaya sana sana sana, nina maradiki, ila ni wa kuchoma nyama tu.
Ni kweli mkuu kuna watu wana style yao ya kuishi...ni ngumu kukuta an urafiki wa karibu na mtu...nakunywa nao nakula lkn kila kitu chake ni private.!!!
 
Kamooooooooooooooni 😄😄
 
Ehh kumbe jf maskini ni mimi tu aloooo weee
 
Mkuu siku zote ukimsaidia mtu usitegemee chochote in return yesu aliponya watu wengi ila ni mmoja tu ndio aligeuka nyuma move on mkuu hata mimi asilimia kubwa ya watu niliowachangia kwenye harusi zao mimi hawakunichangia na mpaka leo nawasiliana nao ila nimejifunza kitu kutoka kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…