maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
- Thread starter
-
- #101
Wewe umenielewa sana, halafu kuna kitu sijakisema kabisa wakati nawafata nilikua naona viashiria flani hv kwamba wanawezaSasa si ndio maana ameumia kwasababu yeye ameshaliwa sana, lakini yeye hajawala wenzie, ilipokuja muda wa yeye kuwala wenzie wakamtosa...
Sa Itakuaje?boramimi rafkiyangu niwewe tuu mkewangu kipenzi
Hii NIMEICHUKUA.Pia chukua hii, usipende kutegemea msaada wowote ule kutoka kwa mtu yeyote yule. Pokea msaada unaokuja wenyewe bila wewe kuutafuta. Ukiishi hivyo hakuna kenge itakusumbua hapa mjini.
Ukitaka kuwa salama jaribu kusaidia tu kile unachoweza ili usiingie kwenye kudai watu! Hommie akija anataka kukukopa 20k , mpe 5k halafu mwambie sikudai!! Kama huna umamwambia ukweli wako kuwa huna .Ni kweli hii nimejifunza halafu boss...msaada na deni ni sawa...au msaada na kukopeshana?
unaanguka, unaumia na hakuna wa kukujali. Wewe ndio msaada wako pekee usiposhtuka ukaendelea na mapambano hakuna atakaefanya hivyo kwa ajili yako.Ni kweli kabisa mkuu, ukiwa unatafuta unapitia mengi sana kuna muda unaanguka, unaumia na hakuna wa kukujali. Wewe ndio msaada wako pekee usiposhtuka ukaendelea na mapambano hakuna atakaefanya hivyo kwa ajili yako.
Kama ninayo nampa hela ambayo ipo ndani ya uwezo wangu hata asiporudisha sina shida naye kwa mfano akiomba elfu 20 unaweza ukampa elfu 5.Ok mkuu sa hv vp wakikuomba msaada wa fedha au shida inakuaje..umesamehe ukamove on au umekausha tu!
Ndio maisha ya mwanaume yalivyounaanguka, unaumia na hakuna wa kukujali. Wewe ndio msaada wako pekee usiposhtuka ukaendelea na mapambano hakuna atakaefanya hivyo kwa ajili yako.
🤝🤝🤝 NAKAZIA
Kesho uhakika mkuu Tuombeane kaka....mkuu hangaikia dili lako litiki. au lishatiki?
Sawa mkuu haina nomaUkitaka kuwa salama jaribu kusaidia tu kile unachoweza ili usiingie kwenye kudai watu! Hommie akija anataka kukukopa 20k , mpe 5k halafu mwambie sikudai!! Kama huna umamwambia ukweli wako kuwa huna .
Nina uhakika na ushahidi..mpaka nikawa nahisi wanapigiana simu nn!Kama unahakika pesa hio walikuwa au wanauwezo nayo, basi inabidi uadjust hio friendship hasa kipengele cha msaada na pesa kwa marafiki. Punguza huruma kwao, urafiki ni kufaana na sio ufae wewe tu.
Kuna mmoja ana shughuli karibuni hv...na mm ni mtu wa muhimu sana sitalipiza ila ataingia gharama kistyle sitamkomoa no ila nauli..pa kulala atahusika..nirudishe na mm fadhila kistyleKama unahakika pesa hio walikuwa au wanauwezo nayo, basi inabidi uadjust hio friendship hasa kipengele cha msaada na pesa kwa marafiki. Punguza huruma kwao, urafiki ni kufaana na sio ufae wewe tu.
Tutaanza usiku...roho ngumu naanzia kwako..sitakua nayo mkuu..ila kuna mtu anakopesha ntakupeleka ppoa rafkiyangu.mambo yakitiki naomba unikopeshe milioni tatu
Naamini...miaka miwili nyuma sikua na ndogo ya kumilik pesa ila Sasa hivi Nina machawa....hahahUnaamini hii! Mi naamini maisha yangu naeza yageuza mda wowote..kuna watu wanalazimisha maisha na yanaenda
Unaonekana una roho nzuri sana.Tutaanza usiku...roho ngumu naanzia kwako..sitakua nayo mkuu..ila kuna mtu anakopesha ntakupeleka p
Limeshasahau, alafu anashau haraka masta. Me huwa nabadilisha namna nnavyodili na ishue zao ili twende sawa.Hakukumbuka fadhila kwa ajili ya dem...halafu...kweli watu wanakufundisha kuwa na roho mbaya...wakati we huna
Mkuu acha wamegoma kabisa..nikawapa option nyingine wakagoma shida ni kwamba mwaka jana waliingiza hela then hiyo document nikawasumbua nayo sana maana sikuona ishu mpunga si nilishapataKatika huo mpunga mrefu ungewaambia wakupe kidogo upate hiyo code ili wakate kwenye mpunga wako.