Vita ya marafiki ni kali sana kwenye mafanikio kuliko mtu baki

Vita ya marafiki ni kali sana kwenye mafanikio kuliko mtu baki

Huku mtaani elimu yake ni ngumu sana..nitaleta thread ya jamaa yangu kaacha kazi ana 1.3b ni uhakika hilo na hana hata mwaka na miezi miwili trend yake utalia amemaliza viwanja karibia vyote na cash hana...
Ahaha elimu mtaa ni ngumu sana…
 
Huku mtaani elimu yake ni ngumu sana..nitaleta thread ya jamaa yangu kaacha kazi ana 1.3b ni uhakika hilo na hana hata mwaka na miezi miwili trend yake utalia amemaliza viwanja karibia vyote na cash hana...
Noma sana aisee, nomaaaa
 
Huyu katapeliwa tayari, yaani ufanye kazi ila kabla ya malipo tena unatakiwa ulipie document?
Bro hujaelewa hata nilichokiandika ukitumia akili utaelewa baadae ntafungua code...utaelewa kaka mm wa mjini sana sitapeliwi hata tone kwa namna yoyote...niamini...
 
Ni kweli ila jana kuna uzi nimeusoma kuna membere analalamika Mama yake na mdogo wake wanamuonea wivu maendeleo yake sana usearch huo uzi utauona...

Ila nimekuelewa tajiri.
Am workin' on it!
Thanks
Ushauri wangu usiwasaidie watu kuwapenda nooo.wasaidie kuwacontrol kuwa katili tumia udhaifu wao wa kushindwa kuweka akiba na kutafuta hela kwa manufaa yako .kamwe usimsaidie mtu bila kujua ww utapata nn mm kuna bro alikuwa ananichukia kinondoni bar kiasi cha kuniharibia jina kila mahali .nkasema huyu hanijui.nifatilia nkagundua ana maisha magumu sana nlivizia siku kodi ya nyumba imemfika koon kapewa siku tatu asepe.nkampigia na kumuita nkamwambia kaka tupunguze haya magomvi ya utani baa wenzio wanalewa wanakusema kodi imekuishia badala wakusaidie nkamuuliza unadaiwa sh ngap akanambia laki na nusu .nkampa laki na nusu nkamwambia hii kalipe nkampa.nkampeleka hadi kwake njian nkampitisha duka la jumla nkampa 70 anunue stock ya msosi kwake .tukaenda akalipa akaacha na mazaga .jamaa kufika baa nkampiga konyag kubwa asee alinisimulia alivokuwa ananichukia machozi yakimlenga .Sasa hivi amegeuka chawa wangu hata nimwambie funguo hii kaniletee dafu kigamboni saa nane usiku ataenda .maana yake nilimsaidia
1.kumhonga asiniharibie jina
2.hana kazi nimepata cheap labour wa kumtuma kunyeshewa na mvua .Leo yupo kigamboni anakagua kiwanja changu kama maji hayaja kiaharibu
Hao wote unapowasaidia do it for u not them ila ukiona haikusaidiii vunja urafiki
 
Huku mtaani elimu yake ni ngumu sana..nitaleta thread ya jamaa yangu kaacha kazi ana 1.3b ni uhakika hilo na hana hata mwaka na miezi miwili trend yake utalia amemaliza viwanja karibia vyote na cash hana...
Noma sana yan, nna uhakika hii ni dar aisee, dar ni noma sana mkuu watu wengi wanapata hela ila hazijai vijana wapo moto sana, how comes 1.3B mtu anaisambaratisha within a year, hatari sana
 
Unataka niweke hadharani nikuoneshe Bank statements na financial status zangu humu za Swiss bank, Swiss Credit, HSBC na Deutsch bank? Ma offshore tax haven huko. Niziweke hadharani?

Nikuwekee humu hadharani mkataba nilioingia wa miaka 10 na price water coopers katika maswala ya kunishauri kulipa kodi na auditing? Niweke hapa stocks zangu lukuki Amazon, Microsoft na Tesla?
We jamaa una ushamba flani hivi
 
Back
Top Bottom