toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Ahaha elimu mtaa ni ngumu sana…Huku mtaani elimu yake ni ngumu sana..nitaleta thread ya jamaa yangu kaacha kazi ana 1.3b ni uhakika hilo na hana hata mwaka na miezi miwili trend yake utalia amemaliza viwanja karibia vyote na cash hana...