Vita ya Ukraine na Urusi: Mwisho wa zama za vifaru umefika

Watu wanafkr kuwa hatupati habar Kwa usahihi, wakat each progress tunajua...Kwa sasa Urusi kuikalia Ukraine haitakuwa rahsi
 
Daah mkuu huu muda nasubiri tangu siku ya Tatu ile tuliyoambiwa tutakuwa tumechua kyv Ila wapi mwezi sasa.
Aibu yetu hii
 
Hahaaa!!tena kombola lenyewe lina uzito wa kilo 12 tu, ambalo mtumiaji anafundishwa kulitumia ndani ya dk.20 tu.
 
Russia anadharirika sana. Hii vita imemuexpose na maadui zake wapo wanachukua notes
Wanachukua notes ,wakati raia wa uKraine wanakufa,Ukraine inabomolewa,Rais Yuko chumbani nyumba inawaka moto,anaomba msaada kwa majirani,majirani hawataki kumsaidi.
NATO imedhalikika sana.
Mbona walipiga Yugoslavia,wanashindwa Nini kuipiga Urusi?.
 
Hiyo ya ground forces za russia kushindwa utaambiwa ni uzushi, watu wamejitoa ufahamu kabisa kuweza kuamini kila kitu positive kuhusu russia.

Russia hata mimi niliiamini mno ktk nyanja ya vita ila hapa walipofikia ninaona kabisa kuna kitu hakijakaa sawa kwao. Pasipo masilaha makubwa ya nuclear, naamini UK/German/France zina uwezo kabisa wa kumweka russia chini.
 
Samahani mkuu una taaluma ya engineering field au ? ..
 

Kaka umekosa sana sana, umekosa wewe, umekosa sana, usifananishe german ama uk na vitu vya kijinga russia, kama vikombora tu vya uk alivyotuma ndio vimekula vichwa vyoote vya vifaru pale je wangelikuwa ulingon face to face ingekuaje? Russia zero saana na ile zana yake atakaeingilia wakat wanaume wanapeleka silaha daily, alafu pro russia zero saana kama russia wanyewe hapo wanasema eti kwa nn nato haitii mguu, ww unajua mafunzo anatoa nan kule, unadhan ugum woote ni jeshi la ukrain lile, inteligence, ulinzinwa rais wao anapost video tuu russia na tech yoote ungekuta kashamuua lakin waap sasa waingie mara ngap
 
You sound irrational and emotionally pre occupied.. Your ideas are of personal basis , wewe ndo unaijua sana urusi
 
Wanachukua notes ,wakati raia wa uKraine wanakufa,Ukraine inabomolewa,Rais Yuko chumbani nyumba inawaka moto,anaomba msaada kwa majirani,majirani hawataki kumsaidi.
NATO imedhalikika sana.
Mbona walipiga Yugoslavia,wanashindwa Nini kuipiga Urusi?.
Pia Russia anaipiga Ukrain huku ana ilaumu Us why asi ivamie Us?
 
Pia Russia anaipiga Ukrain huku ana ilaumu Us why asi ivamie Us?
Anasema ana long range missile , si aipige new York moja moja , kama umejua chanzo cha tatizo , si Bora upambane moja Kwa moja na chanzo cha tatizo
 
Ha ha ha ha ha

Ni kweli kaka nimekosa kuifananisha German na UK na vitu vya ajabu ajabu.
 
Wanachukua notes ,wakati raia wa uKraine wanakufa,Ukraine inabomolewa,Rais Yuko chumbani nyumba inawaka moto,anaomba msaada kwa majirani,majirani hawataki kumsaidi.
NATO imedhalikika sana.
Mbona walipiga Yugoslavia,wanashindwa Nini kuipiga Urusi?.
Teh teh,vipi mmefik wapi kuretreat? Tuliwaambia Kyiv pamoto,mkavimbisha vichwa,nini kimewakuta sasa,kulikoni mnapakimbia tena,mnatia aibu hadi kuiba washing machines na toys za watoto [emoji1787]
 
Wamarekani wa buza mtakuja na kila postView attachment 2160989
hapa ndo utajua nani kapigwa ukiondoa hizo propaganda za western
Hu uzi sijausoma wote, niliona umejaa uongo mwingi sana and hence nikaona nijikite kwa wachangiaji, nimefika hapa ndio sasa nimeelewa kuna watu wapo so brainwashed na vyombo vya habari vya magharibi, eti Urusi kachapika.....! Urusi hi hi au Urusi ya Buza. Kwa ufupi hata USA wenyewe wanajiuliza, why Urusi hataki kuingia Kyivi hadi sasa ilihali jamaa uwezo anao? Ana nia tofauti na walioijua before? Thank kwa kuweka record vizuri mkuu
 
Alijua nn kipo nyuma ya Ukraine na alijua wanataka kwanza kujua uwezo wake wa silaha kisha ndo wajue wanamtandika vipi? Mwezao katumia silaha za 2010 kushuka chini mpaka sasa, hajagusa silaha hata moja ya 2010 kuoanda juu, wangejikologa wajiingize kichwa kichwa ndo wangejua jeshi la 2 kwa ubora duniani ni lipi? Jasusi ni jasusi tu, wengine wapiga porojo za siasa ndo mana jamaa muda wote yuko hatua 1 mbele yao, leo wanalalamika wenyewe kwamba vikwazo havifanyi kazi wakati wameweka wenyewe. Mwezao alikua anajua akifanya hivi watafanya vile nitafanya hivi, wao bila kuwaza wakakurupuka tu vikwazo vikwazo, muda ni mwalimu mzuri utatuambia nani ataomba pooh hapa Jasusi ama wao?
 
Mwanaume mmoja kapigana na watu 30 na bado wameshindwa kumzuia qsipige zile sehemu muhimu alikua kalenga kupiga
 
Unachoshindwa kuelewa ni kwamba hakuna kifaru chochote duniani kinachoweza kutoboa mbele ya anti- tank weapons.fatilia vita vyote duniani kama kuna kifaru kilifanya vizuri zidi ya Anti- tank weapons
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…