Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misaada gani hiyo kwa mfano! There is no free lunch in the western world! Mabenberu hutoa kamsaada kaduchu kasikokuwa na tija kama chambo ya kuingia kwenye mikopo ya "masharti nafuu" halafu hayo yanayodaiwa kuwa masharti nafuu hata wabunge ambao ni wawakilishi wetu hawawezi kuyajua!! Hakuna mkopo wenye masharti nafuu, ni maumivu kwa kwenda mbele. Ukitaka kujua ni maumivu uliza kila mwaka tunatenga sh ngapi za kulipia madeni!!kumbuka hata sisi wanatupa misaada mbona hatukatai?
Taarifa kama hizi hutoziona kwenye vyombo vya habari vya nchi za magharibi.Serikali zinaanguka chaliii. Watawala wasifanye mchezo na vita hii
I am pro Putin; but the resignation of Johnson's 2 senior ministers has nothing to do with the ongoing war in Ukraine.Boris Johnson wakwanza kuangushwa
PhD holder huyo mkuu tulisoma naye Yale. Sema hapendi show off tuHebu tuwekee na CV yako hapa ili tujue tunajadili na mtu wa aina gani!
Ee bwana. Kwa hiyo zile sehemu ambazo Urusi imeziteka majimbo kadhaa na majeshi ya Ukraine kukimbia ni uongo sioTena Russia wamesema wanasubiri kura ya maoni ya lile jimbo la Mashariki (wakikubali kujitenga na Ukraine, watakuwa wamefanikiwa lengo lao, wataacha kupigana), lakini ukweli Urusi mambo yapo shingoni, anatafuta mlango wa kutokea bila aibu.
Ni vigumu sana Russia yenye uchumi dhaifu kiulinganifu, kuwashinda wenzake wengi wenye uchumi mzuri, walioungana.
Ndege za Urusi zilizotunguliwa, zimeonekana kutumia GPS za kawaida za kusafiria kutokana na kutokuwa na uwezo wa kifedha kuhudumia ndege zake za kivita. Kwa sasa ndege zake kila zikiruka zinadunguliwa. Wamebakia tu kurusha makombora, lakini siyo kuruka angani kama mwanzo.
Ukisikiliza propaganda za upande fulani unaweza fikiri warusi wamefurushwa na sasa vita inapiganiwa ndani ya mipaka ya Urusi.Ee bwana. Kwa hiyo zile sehemu ambazo Urusi imeziteka majimbo kadhaa na majeshi ya Ukraine kukimbia ni uongo sio
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kama anapigana na NATO na bado anawapelekea moto. Tumuiteje sasa? Tutafute jina lingine ikibidinimeuliza tu kuwa si tulikubaliana Russia ni superpower ?
UKRAINE imechangia pakubwaI am pro Putin; but the resignation of Johnson's 2 senior ministers has nothing to do with the ongoing war in Ukraine.
Wapumbavu hao. Vikwazo wameweka wenyewe, wanalalama nini sasa!
Yametimia, Boris Johnson is more!! Anaefuata ni Biden na kufuatiwa na Scholz, labda wabadilike. Kaka hizo nyingine ni sababu TU, lakini kilichomg'oa kikubwa ni vita ya Ukraine. Maisha ni magumu kwa wananchi, wameahindwa kuamini kuwa wanalazimika kuishi maisha magumu hivyo kwasababu ya waukraine. Walidhani Boris anawadanganya, Sasa wakichanganya na uongo wake mwingine kuhusu COVID-19 na uteuzi wa Chris kuwa Waziri na chupli kwenye Brixit issues basi hawana hamu nae.I am pro Putin; but the resignation of Johnson's 2 senior ministers has nothing to do with the ongoing war in Ukraine.
Haya mtafute Boris Johnson kama utampata Sasa hivi ule mtaa wa numba 10. Utabiri wangu unatumia. Huhitaji kuwa na PhD kujua kitakachowakumbaPhD holder huyo mkuu tulisoma naye Yale. Sema hapendi show off tu
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Vikwazo walivyomwekea Russia vimegeuka silaha ya maangamizi dhidi ya walioviweka. 😆😆Yametimia, Boris Johnson is more!! Anaefuata ni Biden na kufuatiwa na Scholz, labda wabadilike.
Miaka yote na mara zote raia wa chi za Magharibi walikuwa hawajui sera zao za mambo ya nje kwakuwa kila siku siagi Yao haipungui kwenye mafriji. Mara hii watawala wao wamekosea na kusababisha wananchi wagundue uhovyo wa sera zao za mambo ya nje. Hawaamini kama shida ya Ukraine ni hao pia na inawahusu.Vikwazo walivyomwekea Russia vimegeuka silaha ya maangamizi dhidi ya walioviweka. 😆😆
George Galloway alisema Putin ni smart mara 10 zaidi ya Biden na hao vibaraka wake wengine.