Wewe nae kibaraka wa wamagharibi tu, hivi unadhani ulaya magharibi na marekani zinafurahi urusi kutegemewa kwa kiasi kikubwa kwenye nishati ya gesi na mafuta? US anataka kuitawala dunia, ameshafanikiwa kwa kiasi kikubwa mno, ndio maana ulaya magharibi yote(umoja wa ulaya) wanakubaliana na kila marekani anachotaka, Japan, Korea ya kusini, Australia, Canada...zote hizi hazimpingi mmarekani kwa lolote.
Urusi ana resources za kutosha sana, vikwazo alivyopigwa ingekuwa nchi yoyote, na hasa ingekuwa nchi ya kiafrika hadi leo hii uchumi ungekuwa umeanguka mazima, mkate ungeuzwa hata 200,000, lakini utegemezi was ulaya kwa urusi ndicho mmarekani hakipendi.