Vita ya Ukraine; Waafrika tuamke, ni ubeberu wa Magharibi dhidi ya walimwengu

Vita ya Ukraine; Waafrika tuamke, ni ubeberu wa Magharibi dhidi ya walimwengu

bahati nzuri UMEHISI kuwa siwajui, nilidhani UNAJUA kuwa siwajui.
Acheni porojo,lisheni wana wenu Ngano si Ugari kila siku ili wawe na walaghu akili ya kupambanua mambo.
katika huo unaouita ubeberu Nchi za watu wenye akili zinapiga hatua. S/Korea, China, Malaysia, Ufiripino, Vietnam the list goes hawa hawapo Jupiter, wapo hapa hapa ndani ya dunia ya Beberu na wanapiga hatua kila uchao. nyie bakini hapo hapo na kudhani kuna watu wanapanga njama za kuwaondolea nguvu za kiume ilimsiazilianae kama bata.
Leo Ukraine imechakaa kwasababu ya mabomu ya Urusi vita ikiisha leo baada ya miaka 5 Ukraine itakuja kuchangia kwenye bajet ya nchi yako na kukujengea vyoo mashuleni.
mmekaa kulia Lia ubeberu ubeberuuu.
fool and ungrateful animal.
Ok nimekuelewa mentality yako. Naona kama vile mzungu wa unga. Ukivaa kidani cha dhahabu shingoni na pete vidole kote.. unajiona inatosha umeukata mwenyewe umaskini 😂😂. Kama nakosea sorry bro🙏
 
niende zangu wapi? hiyo mamlaka umeitoa wapi? hata Melo tu hawezi niambia hivyo wala nifukuza. hata nikipigwa ban nitavist as Guest.
wakunizuia nisiione Jf ni Mabeberu tu kwasababu internet ni yao na saver za Jf ni zao wakizima ndiyo itakuwa mara yangu ya mwisho kuiona Jf sio wewe choka mbaya mwenzangu.
'Kwenda zako' mbona poa tu mkuu? Naona unaovereact.
 
Wewe nae kibaraka wa wamagharibi tu, hivi unadhani ulaya magharibi na marekani zinafurahi urusi kutegemewa kwa kiasi kikubwa kwenye nishati ya gesi na mafuta? US anataka kuitawala dunia, ameshafanikiwa kwa kiasi kikubwa mno, ndio maana ulaya magharibi yote(umoja wa ulaya) wanakubaliana na kila marekani anachotaka, Japan, Korea ya kusini, Australia, Canada...zote hizi hazimpingi mmarekani kwa lolote.

Urusi ana resources za kutosha sana, vikwazo alivyopigwa ingekuwa nchi yoyote, na hasa ingekuwa nchi ya kiafrika hadi leo hii uchumi ungekuwa umeanguka mazima, mkate ungeuzwa hata 200,000, lakini utegemezi was ulaya kwa urusi ndicho mmarekani hakipendi.
unataka kusema kwamba wingi wa resources zake ndiyo chanzo cha kuwekewa vikwazo? hii sababu na Putin anaijua ama ni wewe tu? kwa hiyo sababu ya kuivamia Ukraine ni pumbao tu ila sababu kuu ni resources?.

Yeye Putin anasema Ukraine ni kitisho cha Urusi, wewe unasema resources za Urusi ndiyo chanzo cha kitisho cha chake. sasa ninaomba unishauri, nikuamini wewe ama Putin?.
na zaidi kuhusu kuporomoka kwa uchumi wa Urusi ni jambo linalohitaji muda. Zimbabwe haiku fika hapo for a month it took a many years na si sahihi kudhani Urusi itashuka hadi kufika Levo ya Zimbabwe.
 
Magharibi ndio wamevamia Ukraine?chanzo cha yote ni nani kama sio Russia!!
Ukraine ni nchi huru ina maamuzi yake kuchagua upande wowote amechukua crimea na sasa hivi anataka kuchukua donbas huyu jamaa ana ubabe wa kizamani sana,kila nchi ikiamua kuvamia maeneo ya wengine duniani hapatakalika
Kwanini pasikalike ilivamiwa IRAQ SYRIA LIBYA VIETNAM JAPAN nabado pakakalika vyema tuu
UKRAINE anatakiwa apelekewe moto mpaka aelewe yakwamba yeye ni nani na RUSSIA ninani
 
Wewe nae kibaraka wa wamagharibi tu, hivi unadhani ulaya magharibi na marekani zinafurahi urusi kutegemewa kwa kiasi kikubwa kwenye nishati ya gesi na mafuta? US anataka kuitawala dunia, ameshafanikiwa kwa kiasi kikubwa mno, ndio maana ulaya magharibi yote(umoja wa ulaya) wanakubaliana na kila marekani anachotaka, Japan, Korea ya kusini, Australia, Canada...zote hizi hazimpingi mmarekani kwa lolote.

Urusi ana resources za kutosha sana, vikwazo alivyopigwa ingekuwa nchi yoyote, na hasa ingekuwa nchi ya kiafrika hadi leo hii uchumi ungekuwa umeanguka mazima, mkate ungeuzwa hata 200,000, lakini utegemezi was ulaya kwa urusi ndicho mmarekani hakipendi.
Sio nchi za AFRIKA
VIKWAZO alivyogongwa RUSSIA kama lingepigwa taifa lolote jengine hapo ULAYA jengine lolote hapo ULAYA now days wangekua wanataftana tena chini ya mwezi mmoja
RUSSIA kama kaweza kutoboa sasa basi ndio imekula kwao
Njia pekee ambayo ni nyepesi lakini gharama zake kubwa zakuiangusha RUSSIA nikuingia vitani na MOSCOW moja kwamoja
Sasa shida inakuja nani atamgunga paka kengeleeee !!!??
 
unataka kusema kwamba wingi wa resources zake ndiyo chanzo cha kuwekewa vikwazo? hii sababu na Putin anaijua ama ni wewe tu? kwa hiyo sababu ya kuivamia Ukraine ni pumbao tu ila sababu kuu ni resources?.

Yeye Putin anasema Ukraine ni kitisho cha Urusi, wewe unasema resources za Urusi ndiyo chanzo cha kitisho cha chake. sasa ninaomba unishauri, nikuamini wewe ama Putin?.
na zaidi kuhusu kuporomoka kwa uchumi wa Urusi ni jambo linalohitaji muda. Zimbabwe haiku fika hapo for a month it took a many years na si sahihi kudhani Urusi itashuka hadi kufika Levo ya Zimbabwe.
Huenda hujaelewa hoja yangu mkuu.

*Kwanza tujue kwa nini Russia amefanya operation ya kijeshi?

*Nani amekuwa akichochea hizi nchi hadi kuingia katika hali hiyo?

*Sababu/maslahi ya huyo mchochezi ni nini?

*Aftermath ya mgogoro huu, nani anafaidika na nani anapoteza?
 
Kwanini pasikalike ilivamiwa IRAQ SYRIA LIBYA VIETNAM JAPAN nabado pakakalika vyema tuu
UKRAINE anatakiwa apelekewe moto mpaka aelewe yakwamba yeye ni nani na RUSSIA ninani
Libya,iraq,Syria wamechukuliwa ardhi zao?
Crimea wamechukua kinguvu na Sasa hivi wanataka wachukue donbas kinguvu.
Nakwambia kila mtu akitaka achukue ardhi ya mwenzake hapatakalika ni sawa sawa Tanzania achukue burundi,Rwanda na malawi
 
Huenda hujaelewa hoja yangu mkuu.

*Kwanza tujue kwa nini Russia amefanya operation ya kijeshi?

*Nani amekuwa akichochea hizi nchi hadi kuingia katika hali hiyo?

*Sababu/maslahi ya huyo mchochezi ni nini?

*Aftermath ya mgogoro huu, nani anafaidika na nani anapoteza?
.
hayo yameshajadiliwa sana hapa shida kuna upande wanaona Urusi ni an angels nation hawawezi fanya makosa na hata wakikosea majibu ni mbona US alifanya hivi na vile.

Turudi tulipoishia, ni nani kati yako na Putin anatoa sababu za kweli?.
nimekutaka unichagulie wa kumuamini, nikuamini wewe ama Putin?.
 
Unanionea
Mkuu sijui nakuonea kwenye lipi mimi sio moderator ....Lakini ukweli ndio huo ulioandikwa.
Hizi siasa za kimataifa zinakutaka uwe mdadisi na kufuatilia mienendo ya wanasiasa na matajiri wa ulimwengu ili wasikushangaze.

Ukitaka kuuelewa vizuri mgogoro huu, anza na historia ya kumalizika kwa vita vikuu vya pili vya Dunia, kuundwa kwa muungano wa kisovoeti, kuundwa kwa NATO na mwisho kuanguka kwa muungano huo wa kisovoeti na hasa hatua ya kuuvunja ukuta wa Berlin....

Fanya hiyo homework at leisure bila kuchagua upande utajifunza mengi..... Kila la kheri mkuu !.
 
Urusi ni nchi inayomiliki eneo kubwa sana katika Dunia hii kuliko nchi nyingine yoyote. Himaya ya Urusi imeenea hadi kwenye eneo la ardhi iliyoko katika ncha ya kaskazini ya Dunia hii.

Maliasili iliyoko kwenye eneo lote linalomilikiwa na Urusi ni mali ya warusi na hili haliwafurahishi mabeberu wa Magharibi.

Ili kupora mali za Urusi ni kuuvunja muungano wa kisovoeti kwanza na mkakati huo ulishaanza kutekelezwa tangu mwaka 1989. Poland ndio nchi kibaraka inayotumika kuisambaratisha Urusi, Tatizo ni kuwa Poland iliishajiunga na NATO kitambo, hivyo haiwezi kuichokonoa Urusi moja kwa moja maana NATO itahusika, ndio maana nchi za Magharibi zimetafuta nchi nyingine kibaraka (Ukraine) itumike kuleta chokochoko itakakayofanikisha lengo lao.
Mkuu; Ukraine ilivamiwa na Urusi ss iweje Ukraine ilileta chokochoko?
 
Kinachoendelea sasa ni nchi mbalimbaki kuanzisha namna ya kufanya biashara ya kimataifa kwa kutumia fedha tofauti na kuweka akiba zao kwenye fedha tofauti na dola ya Kimarekani.
Marekani ina financial markets kubwa na zenye nguvu duniani, ukizingatia na uchumi mkubwa ilionao. Pia, ndiyo nchi inayoongoza kwa kununua bidhaa duniani ambapo inapelekea biashara nyingi kufanyika kwa dola kuliko sarafu nyingine yeyote duniani.

Kwa sababu hizo kadhaa, dola itaendelea kuwa reserve currency kubwa duniani.

Nchi haziwezi tu kuanzisha utaratibu mwingine ghafla. Nchi zinahitaji kufanya biashara kimataifa kwa urahisi na ufanisi zaidi. Hivyo, zinahitaji kutumia sarafu yenye nguvu zaidi (dominant) katika soko kwaajili ya manunuzi ya nje, ambayo kwa sasa ni dola ya Kimarekani.
 
Mbunge wa bunge la Germany mwenyewe na wabunge wenzake wanajua khs uchokozi wa USA,Cha ajabu Wamarekani wa ukerewe humu JF wanabisha bisha ujinga.
Screenshot_20220326-014101.jpg
 
Libya,iraq,Syria wamechukuliwa ardhi zao?
Crimea wamechukua kinguvu na Sasa hivi wanataka wachukue donbas kinguvu.
Nakwambia kila mtu akitaka achukue ardhi ya mwenzake hapatakalika ni sawa sawa Tanzania achukue burundi,Rwanda na malawi
SYRIA kuna upande kule kama sijakosea wanasema kwenye milima ifrati cjui
Kule US wameigawa nchi wanajibebea tu wese la watu
Usione kubeba sehem ya nchi nijambo jepesi lazma kwanza uwe na nguvu yakijeshi na kiuchumi usiache na nguvu za kiintelijensia nk ili uweze kuzimanage hizo sehem baada yakuzikwapua
Nandio maana ukaona baada ya CRIMEA kuondoka kumekua kama hakujatokea jambo maisha yanaenda
Kuhusiana na UKRAINE hawa jamaa watake au wasitake wapende au wasipende lazima ukanda wa mashariki huko kwa DON BASS ODESSA nk iwe jua ama mvua kwa amani ama kwadamu kumwagika kama unavyona sasa lazima ile sehemu RUSSIA atapita nayo yaani lazima nisuala la muda tuuu
Pia hata ARGENTINA ilibebewa eneo lao na waingereza la fallkland namaisha yakaendelea
Haya mambo sio mazuri ila hayatakaa yaishe tuwe wapole tu kwakweli
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Mkuu; Ukraine ilivamiwa na Urusi ss iweje Ukraine ilileta chokochoko?
Kuvamiwa kwa Ukraine kunatokana na mipango ya siri inayoendeshwa na watu wachache kwenye Serikali ya Ukraine, wanaoshabikia nchi za magharibi na kuachana kabisa na unasaba wa asili na Urusi. Kimsingi ni ndugu wawili wa damu wanaogombanishwa na nchi za magharibi.
Hii mipango ya siri tunaweza kuifananisha na ile iliyofanywa na Poland hadi kujiunga na EU na NATO. Kama ukifuatilia mwenendo wa Ukraine utaona kuwa wanafuata nyayo zile zile za Poland, isipokuwa Ukraine wanawaua sana raia wabishi wanaozungumza kirusi huko Donbas na Rugantsk kimya kimya.
 
Mkuu sijui nakuonea kwenye lipi mimi sio moderator ....Lakini ukweli ndio huo ulioandikwa.
Hizi siasa za kimataifa zinakutaka uwe mdadisi na kufuatilia mienendo ya wanasiasa na matajiri wa ulimwengu ili wasikushangaze.

Ukitaka kuuelewa vizuri mgogoro huu, anza na historia ya kumalizika kwa vita vikuu vya pili vya Dunia, kuundwa kwa muungano wa kisovoeti, kuundwa kwa NATO na mwisho kuanguka kwa muungano huo wa kisovoeti na hasa hatua ya kuuvunja ukuta wa Berlin....

Fanya hiyo homework at leisure bila kuchagua upande utajifunza mengi..... Kila la kheri mkuu !.

Hakuna kitu. kasomea Allegory in the cave then utakuja nishukru.
 
Kuvamiwa kwa Ukraine kunatokana na mipango ya siri inayoendeshwa na watu wachache kwenye Serikali ya Ukraine, wanaoshabikia nchi za magharibi na kuachana kabisa na unasaba wa asili na Urusi. Kimsingi ni ndugu wawili wa damu wanaogombanishwa na nchi za magharibi.
Hii mipango ya siri tunaweza kuifananisha na ile iliyofanywa na Poland hadi kujiunga na EU na NATO. Kama ukifuatilia mwenendo wa Ukraine utaona kuwa wanafuata nyayo zile zile za Poland, isipokuwa Ukraine wanawaua sana raia wabishi wanaozungumza kirusi huko Donbas na Rugantsk kimya kimya.
Oh! Umenitoa ujinga.
 
Back
Top Bottom