Vita ya Ukraine; Waafrika tuamke, ni ubeberu wa Magharibi dhidi ya walimwengu

Vita ya Ukraine; Waafrika tuamke, ni ubeberu wa Magharibi dhidi ya walimwengu

Urusi ni nchi inayomiliki eneo kubwa sana katika Dunia hii kuliko nchi nyingine yoyote. Himaya ya Urusi imeenea hadi kwenye eneo la ardhi iliyoko katika ncha ya kaskazini ya Dunia hii.

Maliasili iliyoko kwenye eneo lote linalomilikiwa na Urusi ni mali ya warusi na hili haliwafurahishi mabeberu wa Magharibi.

Ili kupora mali za Urusi ni kuuvunja muungano wa kisovoeti kwanza na mkakati huo ulishaanza kutekelezwa tangu mwaka 1989. Poland ndio nchi kibaraka inayotumika kuisambaratisha Urusi, Tatizo ni kuwa Poland iliishajiunga na NATO kitambo, hivyo haiwezi kuichokonoa Urusi moja kwa moja maana NATO itahusika, ndio maana nchi za Magharibi zimetafuta nchi nyingine kibaraka (Ukraine) itumike kuleta chokochoko itakakayofanikisha lengo lao.
huwez kusumbuliwa km hutak kuwa tishio kwa wengine , jiuliz kwann wazung hawamkubali mrusi jirani na ndugu yao kbs ila wanajenga ukaribu na taifa la mbali kbs ( usa ) ukiona hivyo juwa una ttzo so marekebisho ni kitu muhimu
 
bahati nzuri UMEHISI kuwa siwajui, nilidhani UNAJUA kuwa siwajui.

Acheni porojo,lisheni wana wenu Ngano si Ugari kila siku ili wawe na walaghu akili ya kupambanua mambo.

katika huo unaouita ubeberu Nchi za watu wenye akili zinapiga hatua. S/Korea, China, Malaysia, Ufiripino, Vietnam the list goes hawa hawapo Jupiter, wapo hapa hapa ndani ya dunia ya Beberu na wanapiga hatua kila uchao. nyie bakini hapo hapo na kudhani kuna watu wanapanga njama za kuwaondolea nguvu za kiume ilimsiazilianae kama bata.

Leo Ukraine imechakaa kwasababu ya mabomu ya Urusi vita ikiisha leo baada ya miaka 5 Ukraine itakuja kuchangia kwenye bajet ya nchi yako na kukujengea vyoo mashuleni.

mmekaa kulia Lia ubeberu ubeberuuu.

fool and ungrateful animal.
hizi ni fikra zangu kbs
 
Magharibi ndio wamevamia Ukraine?chanzo cha yote ni nani kama sio Russia!!
Ukraine ni nchi huru ina maamuzi yake kuchagua upande wowote amechukua crimea na sasa hivi anataka kuchukua donbas huyu jamaa ana ubabe wa kizamani sana,kila nchi ikiamua kuvamia maeneo ya wengine duniani hapatakalika
hlf kuna mpuuz kutokea dona country anashabikia wkt nch yake haiwez kuunda hata nchale
 
niende zangu wapi? hiyo mamlaka umeitoa wapi? hata Melo tu hawezi niambia hivyo wala nifukuza. hata nikipigwa ban nitavist as Guest.
wakunizuia nisiione Jf ni Mabeberu tu kwasababu internet ni yao na saver za Jf ni zao wakizima ndiyo itakuwa mara yangu ya mwisho kuiona Jf sio wewe choka mbaya mwenzangu.
hahahahaaaaaa
 
Yataongelewa mengi ila nchi za IMPERIALISTS haziwezi kukubali kubadilisha mentalities zao zinazokwenda DEEP DOWN katika WHITE SUPREMACISM.

Putin yuko sahihi. Kama wengine wamekubali kupigishwa magoti...YEYE AMEKATAA.
nan alimpigisha magoti?
 
Mkuu, hili ni jukwaa la kujadili na mtoa hoja ameleta hoja ambayo iko kwenye chati sasa hivi. Kuijadili ni halali ya kila mwanachama wa jukwaa hili aliye na facts zinazochangia kuwepo kwa mgogoro ambao upo kwa miaka zaidi ya nane, Sasa wewe unapoona mawazo ya watu wengine kuwa ni porojo, huwatendei haki waliochangia. Cha msingi wewe changia kwa kuweka hoja zako kinzani ili zichambuliwe, kukataza watu wasichangie eti ni porojo za vijiweni siyo haki wala sio sawa.
point of correction ; sio mgogoro bali ni uonevu uliomud kwa takriban miaka 8

mmoja hajawai kuwa threat kwa mwenzie
 
Wewe nae kibaraka wa wamagharibi tu, hivi unadhani ulaya magharibi na marekani zinafurahi urusi kutegemewa kwa kiasi kikubwa kwenye nishati ya gesi na mafuta? US anataka kuitawala dunia, ameshafanikiwa kwa kiasi kikubwa mno, ndio maana ulaya magharibi yote(umoja wa ulaya) wanakubaliana na kila marekani anachotaka, Japan, Korea ya kusini, Australia, Canada...zote hizi hazimpingi mmarekani kwa lolote.

Urusi ana resources za kutosha sana, vikwazo alivyopigwa ingekuwa nchi yoyote, na hasa ingekuwa nchi ya kiafrika hadi leo hii uchumi ungekuwa umeanguka mazima, mkate ungeuzwa hata 200,000, lakini utegemezi was ulaya kwa urusi ndicho mmarekani hakipendi.
uchumi hauanguki kwa mwez mmoja
 
Hebu jiulize kwanza kama vijiweni unaweza kupata story kama hii.

Hivi unajua au hujui kama ni dola ya kimarekani tu inakubalika kwenye biashara ya mafuta? Unafikiri ni nchi zote zenye mafuta zinaridhika na nguvu ya dola ya kimarekani kwenye biashara ya mafuta?

Kitu kama hujui acha dharau kujifanya ni habari za vijiweni. ...Badala yake tafuta kujua. Kwenye dola ya kimarekani upo unyojaji na ubeberu mkubwa. Hizi ndio unaona habari za vijiweni? Google upate kujua acha dharau.
unyonyaji utakuwepo tu hata Russia ikiwa super power , so siding yourself is a foolish idea
 
Magharibi ndio wamevamia Ukraine?chanzo cha yote ni nani kama sio Russia!!
Ukraine ni nchi huru ina maamuzi yake kuchagua upande wowote amechukua crimea na sasa hivi anataka kuchukua donbas huyu jamaa ana ubabe wa kizamani sana,kila nchi ikiamua kuvamia maeneo ya wengine duniani hapatakalika
Ujue nato ilianzishwa baada ya vita vya pili vya dunia kwa lengo la kuidhibiti urusi kijeshi. Urusi baada ya kusambaratika soviet union imekua inapinga waliyokua washirika wake kwenye warsaw pact kuingia nato. Hii ni kutokana na hofu ya urusi nato kukaribiana mipaka na nchi yao. Kumekuepo makubaliano na nato kwamba nchi iliyokua ndani ya soviet union kama ukraine isiingie nato lakini nato wamekua hawaheshimu wala kujali matakwa ya kiusalama ya urusi. Nchi za nato zimejiingiza ukraine kiasi cha urusi kutishika kwa usalama wake ndio sababu ya mgogoro hadi kuivamia nchi hiyo.
 
Ujue nato ilianzishwa baada ya vita vya pili vya dunia kwa lengo la kuidhibiti urusi kijeshi. Urusi baada ya kusambaratika soviet union imekua inapinga waliyokua washirika wake kwenye warsaw pact kuingia nato. Hii ni kutokana na hofu ya urusi nato kukaribiana mipaka na nchi yao. Kumekuepo makubaliano na nato kwamba nchi iliyokua ndani ya soviet union kama ukraine isiingie nato lakini nato wamekua hawaheshimu wala kujali matakwa ya kiusalama ya urusi. Nchi za nato zimejiingiza ukraine kiasi cha urusi kutishika kwa usalama wake ndio sababu ya mgogoro hadi kuivamia nchi hiyo.
Kwanini Russia asisambaratishe nato kama Soviet Union ilivyosababishwa kuvunjika?
 
bahati nzuri UMEHISI kuwa siwajui, nilidhani UNAJUA kuwa siwajui.

Acheni porojo,lisheni wana wenu Ngano si Ugari kila siku ili wawe na walaghu akili ya kupambanua mambo.

katika huo unaouita ubeberu Nchi za watu wenye akili zinapiga hatua. S/Korea, China, Malaysia, Ufiripino, Vietnam the list goes hawa hawapo Jupiter, wapo hapa hapa ndani ya dunia ya Beberu na wanapiga hatua kila uchao. nyie bakini hapo hapo na kudhani kuna watu wanapanga njama za kuwaondolea nguvu za kiume ilimsiazilianae kama bata.

Leo Ukraine imechakaa kwasababu ya mabomu ya Urusi vita ikiisha leo baada ya miaka 5 Ukraine itakuja kuchangia kwenye bajet ya nchi yako na kukujengea vyoo mashuleni.

mmekaa kulia Lia ubeberu ubeberuuu.

fool and ungrateful animal.
Waambie hao mamburura wamekariri Sera za kijamaa
 
Wewe nae kibaraka wa wamagharibi tu, hivi unadhani ulaya magharibi na marekani zinafurahi urusi kutegemewa kwa kiasi kikubwa kwenye nishati ya gesi na mafuta? US anataka kuitawala dunia, ameshafanikiwa kwa kiasi kikubwa mno, ndio maana ulaya magharibi yote(umoja wa ulaya) wanakubaliana na kila marekani anachotaka, Japan, Korea ya kusini, Australia, Canada...zote hizi hazimpingi mmarekani kwa lolote.

Urusi ana resources za kutosha sana, vikwazo alivyopigwa ingekuwa nchi yoyote, na hasa ingekuwa nchi ya kiafrika hadi leo hii uchumi ungekuwa umeanguka mazima, mkate ungeuzwa hata 200,000, lakini utegemezi was ulaya kwa urusi ndicho mmarekani hakipendi.
Tena kibaraka haswaaa.....😍
 
Wewe nae kibaraka wa wamagharibi tu, hivi unadhani ulaya magharibi na marekani zinafurahi urusi kutegemewa kwa kiasi kikubwa kwenye nishati ya gesi na mafuta? US anataka kuitawala dunia, ameshafanikiwa kwa kiasi kikubwa mno, ndio maana ulaya magharibi yote(umoja wa ulaya) wanakubaliana na kila marekani anachotaka, Japan, Korea ya kusini, Australia, Canada...zote hizi hazimpingi mmarekani kwa lolote.

Urusi ana resources za kutosha sana, vikwazo alivyopigwa ingekuwa nchi yoyote, na hasa ingekuwa nchi ya kiafrika hadi leo hii uchumi ungekuwa umeanguka mazima, mkate ungeuzwa hata 200,000, lakini utegemezi was ulaya kwa urusi ndicho mmarekani hakipendi.
Baada ya miezi miwili urudi hapa , Urusi amejichanganya mwenyewe
 
Kwanini pasikalike ilivamiwa IRAQ SYRIA LIBYA VIETNAM JAPAN nabado pakakalika vyema tuu
UKRAINE anatakiwa apelekewe moto mpaka aelewe yakwamba yeye ni nani na RUSSIA ninani
unajua maana ya kuvamia kwanz
 
Sio nchi za AFRIKA
VIKWAZO alivyogongwa RUSSIA kama lingepigwa taifa lolote jengine hapo ULAYA jengine lolote hapo ULAYA now days wangekua wanataftana tena chini ya mwezi mmoja
RUSSIA kama kaweza kutoboa sasa basi ndio imekula kwao
Njia pekee ambayo ni nyepesi lakini gharama zake kubwa zakuiangusha RUSSIA nikuingia vitani na MOSCOW moja kwamoja
Sasa shida inakuja nani atamgunga paka kengeleeee !!!??
wenzio wanafikir zaid yako , hufikir kesho wenzio wanawazia mwakan so hamfanan akil , now washamrudisha Putin nyuma
 
Huenda hujaelewa hoja yangu mkuu.

*Kwanza tujue kwa nini Russia amefanya operation ya kijeshi?

*Nani amekuwa akichochea hizi nchi hadi kuingia katika hali hiyo?

*Sababu/maslahi ya huyo mchochezi ni nini?

*Aftermath ya mgogoro huu, nani anafaidika na nani anapoteza?
ebu jikite kweny uhalisia na sio hoja za kufikirika , nan kamvamia mwenzie ?
 
Back
Top Bottom