Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Nyuma ipi wakati komedian analia mumpelekee silaha na kufunga anga lake maana kukwapuliwa kwa MAURIOPOL nikuanguka kwaeneo kubwa la UKRAINEwenzio wanafikir zaid yako , hufikir kesho wenzio wanawazia mwakan so hamfanan akil , now washamrudisha Putin nyuma
NATO ikamsaidie UKRAINE iache kulialia nakutafta sababu zisizo maana wala msingi !!!