Vita ya Ukraine; Waafrika tuamke, ni ubeberu wa Magharibi dhidi ya walimwengu

huwez kusumbuliwa km hutak kuwa tishio kwa wengine , jiuliz kwann wazung hawamkubali mrusi jirani na ndugu yao kbs ila wanajenga ukaribu na taifa la mbali kbs ( usa ) ukiona hivyo juwa una ttzo so marekebisho ni kitu muhimu
 
hizi ni fikra zangu kbs
 
hlf kuna mpuuz kutokea dona country anashabikia wkt nch yake haiwez kuunda hata nchale
 
hahahahaaaaaa
 
Yataongelewa mengi ila nchi za IMPERIALISTS haziwezi kukubali kubadilisha mentalities zao zinazokwenda DEEP DOWN katika WHITE SUPREMACISM.

Putin yuko sahihi. Kama wengine wamekubali kupigishwa magoti...YEYE AMEKATAA.
nan alimpigisha magoti?
 
point of correction ; sio mgogoro bali ni uonevu uliomud kwa takriban miaka 8

mmoja hajawai kuwa threat kwa mwenzie
 
uchumi hauanguki kwa mwez mmoja
 
unyonyaji utakuwepo tu hata Russia ikiwa super power , so siding yourself is a foolish idea
 
Ujue nato ilianzishwa baada ya vita vya pili vya dunia kwa lengo la kuidhibiti urusi kijeshi. Urusi baada ya kusambaratika soviet union imekua inapinga waliyokua washirika wake kwenye warsaw pact kuingia nato. Hii ni kutokana na hofu ya urusi nato kukaribiana mipaka na nchi yao. Kumekuepo makubaliano na nato kwamba nchi iliyokua ndani ya soviet union kama ukraine isiingie nato lakini nato wamekua hawaheshimu wala kujali matakwa ya kiusalama ya urusi. Nchi za nato zimejiingiza ukraine kiasi cha urusi kutishika kwa usalama wake ndio sababu ya mgogoro hadi kuivamia nchi hiyo.
 
Kwanini Russia asisambaratishe nato kama Soviet Union ilivyosababishwa kuvunjika?
 
Waambie hao mamburura wamekariri Sera za kijamaa
 
Tena kibaraka haswaaa.....😍
 
Baada ya miezi miwili urudi hapa , Urusi amejichanganya mwenyewe
 
Kwanini pasikalike ilivamiwa IRAQ SYRIA LIBYA VIETNAM JAPAN nabado pakakalika vyema tuu
UKRAINE anatakiwa apelekewe moto mpaka aelewe yakwamba yeye ni nani na RUSSIA ninani
unajua maana ya kuvamia kwanz
 
wenzio wanafikir zaid yako , hufikir kesho wenzio wanawazia mwakan so hamfanan akil , now washamrudisha Putin nyuma
 
ebu jikite kweny uhalisia na sio hoja za kufikirika , nan kamvamia mwenzie ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…