Vita ya Ukraine; Waafrika tuamke, ni ubeberu wa Magharibi dhidi ya walimwengu

Libya,iraq,Syria wamechukuliwa ardhi zao?
Crimea wamechukua kinguvu na Sasa hivi wanataka wachukue donbas kinguvu.
Nakwambia kila mtu akitaka achukue ardhi ya mwenzake hapatakalika ni sawa sawa Tanzania achukue burundi,Rwanda na malawi
haelew huyo mkuu
 
Baada ya miezi miwili urudi hapa , Urusi amejichanganya mwenyewe
Sawa mkuu, Ila Biden alisema anataka Ruble iwe rubble...naona hadi saivi hajafanikiwa. Inachukua nguvu nyingi sana kuangusha mataifa makubwa, na hadi taifa kubwa lianguke ni lazima kuna athari kubwa kwa mataifa mengine mengi tu.

Usiyachukulie mataifa makubwa for granted.
 
ebu jikite kweny uhalisia na sio hoja za kufikirika , nan kamvamia mwenzie ?
Nimekupa maswali badala ya kunijibu unataka nijikite kwenye uhalisia, upi?
Root cause ni nini hasa?
 
Kwanini Russia asisambaratishe nato kama Soviet Union ilivyosababishwa kuvunjika?
Umoja wa kujihami wa urusi na nchi za kikomunisti ukiitwa warsaw pact walijifuta kwa maelewano nato nayo ijifute. Kama kawaida ya nchi za kibepari ikawa wamewalaghai warsaw pact. Nato ikabakia kwa lengo la kuidhibiti urusi kwamba idhoofike kabisa kijeshi na kiuchumi idhibitiwe na nchi za kibepari. Putin alivyoingia urusi ikaendelea na kuimarika kiuchumi na kijesji tofauti na malengo ya nato kuidhibiti.
 
sijajua kuna uhusiano gan na uvamiz wa ukraine ! kwa hoja yako nlitegemea Urusi awavamie mabeberu na sio Ukraine
 
Nimekupa maswali badala ya kunijibu unataka nijikite kwenye uhalisia, upi?
Root cause ni nini hasa?
weka hoja zinazoonekana na sio hoja za kufikirika , hii ni vita kamili sio cold war so humu tunahitaji reality sio simuliz za abunuas
 
wanatuma maombi wao wenyewe kujiunga na NATO na sio NATO inatuma maombi kwao , sababu kubwa ni Uonevu wa Urusi dhidi ya majirani zake , nchi za NATO haziingiliani kisiasa , cha zaid wanahakikisha misingi ya demokrasia inalindwa kwa kila mshirika wa NATO
 
Kama tuna taka maendeo west natufaa ila kama tuna taka umaskin basi tumfate Russia.
 
Bro kama nchi tume ushi kwenye mifumo yote miwili .usinambie tuludi kwenye kupanga foreni ya kununua sukali . Na nchi kuwa chini ya kikundi Cha watu wachache ndo hivo inavyo taka?
 
Sasa Kwa miaka yote tulio tumia ujamaa umetufikisha wap kama nchi ona wenzetu Kenya ,ona south Korea ona singapole ona nchi za ulaya magharibi haya fananisha na nchi za ulaya mashariki zile zilokuwa chini ya Urussi, haya angalia china Kwa ndani miaka 30 walivyo Fanya maajabu Kwa kutumia mfumo wa kibepari .shame on you bro unadhani tupo miaka 1970s saiv.
 
you guys hizi porojo hazisaidii kitu, dunia ilishahama uko kwenye hizo dhama za kuporana kwa nguvu rasimali.
wenzenu wanapiga hatua kwa kuwekeza kwenye tafiti na kuuza technolojia nyie mmejaliwa kupiga domo tu et wanaiba rasimali!!.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana 🚮🚮🚮
 
Utakataaje mabeberu wakati huna kitu,wanakupa misaada mpaka ya chandarua,condom,huyo Russia anakupa nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…