Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

Kauli ya kuseme sisi Waislamu, umeitolea wapi, umeipata kwa nani? Usilete udini katika hili, hakuna tamko la waislam, hapa kila mmoja yupo upande aoona ni sahihi kwa mtazamo wake, hakuna hata mmoja anaepigana kwa ajili ya uislam baina ya hao.

Haya kule yemen wanagombana na saudi arabia mbona majority wanaunga mkono vikosi vya yemen na sio saudia ilipo makkah kabisa!?
 
Sema hii ngoma sijui inapeleka wapi dunia ....
 
Ina maana uonevu wa Marekani huko Libya ndio una halalisha uonevu wa Urusi kwa Ukraine?

Putin ni mgonjwa wa akili, ila vikwazo vikali vya kiuchumi vitamnyoosha yeye na genge lake la wahuni
Sijasema ni halali, ila wasianze kujidai kumsema mrusi wakati wao walishafanya karibia mara 20 zaidi ya anachokifanya mrusi..

Toa boriti jichoni kwako ndio uhamie kwa mwenzio.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1258][emoji635] US intelligence agencies offer Biden options for a "large-scale cyber attack" against Russia - NBC
 
Putin amerukwa na akili....

Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..

Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.

Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Ohooo! Kama sisi huku tumekataa kutawaliwa na CCM kwa muda mrefu na bado tunatawaliwa sembuse Putin?
 
Putin ni kichaa aliyekabidhiwa rungu, anahitaji kutulizwa na Warusi timamu.
 
Kuna watu waridhani Putin anaiogopa NATO na waliomba avamie sasa kavamia, sijui mtapitaje hapa.

Kwa kifupi media zilizo Africa, Ulaya na america taarifa mnazipata moja kwa moja kwa kingereza au kifaransa muda mwingine hata kwa kiswahili.

Ila nauhakika kuna watu hawajui kama china alishatangaza yupo na urus, pamoja na north korea wapo pamoja kwa shida na raha.

Na moja kubwa kuna makampuni ya marekani yamewekewa vikwazo china ni siku tatu nne nyuma ila watu hawajui kama wanachaguliwa taarifa za kusikia.

"Mwisho russia sababu anazo, nguvu anayo na uwezo anao ".

Mpaka putin kaamua ndio mjue marekani wamevunja mikataba kupitiliza zaidi ya miaka kumi russia kavumilia na marekani anajifanya superpower kwa superpower mwenzake wakati ile ni ardhi ya mrusi subir muone hlf bado madude ya kiduku.

Kwa asiyejua na anaesikiliza media za magharibi lazima amchukie Putin na amuone dictator ila ukimfatilia unajua dunia bila yeye dunia itafika mwisho haraka sana.

Long live Vladimir Putin Chuma.
Tulia mkuuView attachment 2130129View attachment 2130130
Screenshot_2022-02-24-18-04-55-693_com.instagram.android.jpg
 
Putin amerukwa na akili....

Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..

Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.

Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Uko sahihi katika hilo,ila marekani amekuwa akitumia njia hiyo hiyo ya kishambilia Kwa kisingizio Cha tishio Kwa nchi yake.....mbona huwa hatuoni hizi kelele? Unafiki wa international community ndiyo imetufikisha hapa
 
War -update

Mji wa Hostomel umeangukia kwenye mikono ya Warusi.upo umbali wa km 36 kutoka mji mkuu wa ukraine
Huyu Rais wa Ukraine andelee kubembeleza meza ya mazungumzo na Putin la sivyo ataibika vibaya sana!

Aombe wazungumze ailinde heshima ya nchi yake na heshima yake.
 
Back
Top Bottom