Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

Dunia ya wastaarabu hawapendi Vita my foot , ilikuaje kuaje mpaka Libya nchi ikiyokuwa imenyanyuka kiuchumi Africa ikageuzwa kuwa mji wa magofu (majumba chakavu) vipi kuhusu Iraq na Saddam Hussein, Au ndio ile mtenda akitendwa !? Kaeni kwa kutulia ubaya mliuanza nyinyi wenyewe [emoji16][emoji16][emoji16]

Mlianza wenyewe kumpa silaha Ukraine huku mkijaza upepo kuwa mtamsaidia kumpiga urusi Leo hii mmekua wamependa amani Tena !? Lol [emoji16][emoji16]
TEAM USA
1645699714384.png
 
Thread: Vladimir Putin Responds To Kenya Over UN Remarks. #UkraineRussiaCrisis

•Russian President Putin has rubbished the remarks by Kenya’s Permanent Representative to the UN as that of a young boy trying to shake a baobab tree but only ends up shaking his own buttocks.•
 
Sisi waafrika n wajinga Sana

Marekan alikuja hapa Africa akamuua muhamad gadafi lakn hakuna aliyepiga kelele

Leo wazungu wanataka kuuana wenyewe kwa wenyewe eti tunakuwa na huruma na kupiga kelele Kama jibwa kinalohtaji bwana

Kama tungekuwa tunapendana nadhan tungeungana kumpigania gadafi

WAAFRIKA AKILI ZETU TIMESHIKIWA NA WAZUNGU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Usiseme waafrika, sema wakenya! Wengine unatuonea bure. Hao wakenya hata jeshi watapeleka huko kama wakiombwa. Wanakiherehere sana

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Putin amerukwa na akili....

Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..

Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.

Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Kwani kuna tofauti na anavyofanya israel?au kwakuwa Israel ndio mnaliita taifa teule kwahiyo lifanye tu ni sawa.
 
Sisi waafrika n wajinga Sana

Marekan alikuja hapa Africa akamuua muhamad gadafi lakn hakuna aliyepiga kelele

Leo wazungu wanataka kuuana wenyewe kwa wenyewe eti tunakuwa na huruma na kupiga kelele Kama jibwa kinalohtaji bwana

Kama tungekuwa tunapendana nadhan tungeungana kumpigania gadafi

WAAFRIKA AKILI ZETU TIMESHIKIWA NA WAZUNGU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa,tena ni kiongozi alikuwa na msaada makubwa sana kwetu na muAfrika mwenzetu lkn mijitu ilinyamaza kimyaa..sasa katokea mbabe wa kubalance dunia eti inalalamika..Very stupid
 
Wangapi wamepigwa kibabe? Marekani alienda kumkanda mlibya kule, america kawakanda wangapi kwa uonevu? Hapa Urusi anafanya uonevu, lakini hao pro America wakae kimya, wakiligalambua dunia haitokalika
Ina maana uonevu wa Marekani huko Libya ndio una halalisha uonevu wa Urusi kwa Ukraine?

Putin ni mgonjwa wa akili, ila vikwazo vikali vya kiuchumi vitamnyoosha yeye na genge lake la wahuni
 
Kuna watu waridhani Putin anaiogopa NATO na waliomba avamie sasa kavamia, sijui mtapitaje hapa.

Kwa kifupi media zilizo Africa, Ulaya na america taarifa mnazipata moja kwa moja kwa kingereza au kifaransa muda mwingine hata kwa kiswahili.

Ila nauhakika kuna watu hawajui kama china alishatangaza yupo na urus, pamoja na north korea wapo pamoja kwa shida na raha.

Na moja kubwa kuna makampuni ya marekani yamewekewa vikwazo china ni siku tatu nne nyuma ila watu hawajui kama wanachaguliwa taarifa za kusikia.

"Mwisho russia sababu anazo, nguvu anayo na uwezo anao ".

Mpaka putin kaamua ndio mjue marekani wamevunja mikataba kupitiliza zaidi ya miaka kumi russia kavumilia na marekani anajifanya superpower kwa superpower mwenzake wakati ile ni ardhi ya mrusi subir muone hlf bado madude ya kiduku.

Kwa asiyejua na anaesikiliza media za magharibi lazima amchukie Putin na amuone dictator ila ukimfatilia unajua dunia bila yeye dunia itafika mwisho haraka sana.

Long live Vladimir Putin Chuma.
Mahaba haya.
 
Putin ni tishio kwa dunia,

Ndio maana wakati wote hataki kuondoka madarakani, Ila wa Russia wote ni ndezi tu, mtu mmoja anakuwaje na nguvu namna hiyo? Yaani hata alipompa madaraka ya urais Medvedev ulikuwa ni uhuni tu, bado yeye ndio alikuwa mtawala.
Jamaa amejimilikisha nchi hakutosheka....

Mwaka 2008 aliishambulia Georgia na kuyachukua majimbo yake mawilu kibabe, akaimega Crimea tena na Sasa ameamua kuivamia Ukraine kabisa.

Wengi wanaomshabikia humu wana chuki binafsi tu na nchi za magharibi, hawajui kama uovu ni uovu tu haijalishi umefanywa na nani.
 
Back
Top Bottom