Hata Bush alianza na Mikwara kabla ya kumbomoa Saddam Hussein! Hiyo ni Game plan... tukae kwa kutulizana sisi wa vichwa vya treni kuu kuuMWANAUME KAMILI HUWA HAPIGI MIKWARA YEYE ANGESHAMBULIA UKRAINE AFU ASUBIRI ATAKAEINGILIA
HANA LOLOTE
Chief unakumbuka Corona? Imeishaje?
Ubabe Kiongozi sio Vita.Kama dunia haitaki vita,hizo silaha zinazotengenezwa kila siku na akiongoza marekani ni za nini kama sio kwa ajili ya vita??
You said it.Kwa hiyo na sisi watz ni mandezi kwa kukubali ccm ituburute miaka yote?
TEAM USADunia ya wastaarabu hawapendi Vita my foot , ilikuaje kuaje mpaka Libya nchi ikiyokuwa imenyanyuka kiuchumi Africa ikageuzwa kuwa mji wa magofu (majumba chakavu) vipi kuhusu Iraq na Saddam Hussein, Au ndio ile mtenda akitendwa !? Kaeni kwa kutulia ubaya mliuanza nyinyi wenyewe [emoji16][emoji16][emoji16]
Mlianza wenyewe kumpa silaha Ukraine huku mkijaza upepo kuwa mtamsaidia kumpiga urusi Leo hii mmekua wamependa amani Tena !? Lol [emoji16][emoji16]
Usiseme waafrika, sema wakenya! Wengine unatuonea bure. Hao wakenya hata jeshi watapeleka huko kama wakiombwa. Wanakiherehere sanaSisi waafrika n wajinga Sana
Marekan alikuja hapa Africa akamuua muhamad gadafi lakn hakuna aliyepiga kelele
Leo wazungu wanataka kuuana wenyewe kwa wenyewe eti tunakuwa na huruma na kupiga kelele Kama jibwa kinalohtaji bwana
Kama tungekuwa tunapendana nadhan tungeungana kumpigania gadafi
WAAFRIKA AKILI ZETU TIMESHIKIWA NA WAZUNGU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwani kuna tofauti na anavyofanya israel?au kwakuwa Israel ndio mnaliita taifa teule kwahiyo lifanye tu ni sawa.Putin amerukwa na akili....
Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..
Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.
Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Kweli kabisa,tena ni kiongozi alikuwa na msaada makubwa sana kwetu na muAfrika mwenzetu lkn mijitu ilinyamaza kimyaa..sasa katokea mbabe wa kubalance dunia eti inalalamika..Very stupidSisi waafrika n wajinga Sana
Marekan alikuja hapa Africa akamuua muhamad gadafi lakn hakuna aliyepiga kelele
Leo wazungu wanataka kuuana wenyewe kwa wenyewe eti tunakuwa na huruma na kupiga kelele Kama jibwa kinalohtaji bwana
Kama tungekuwa tunapendana nadhan tungeungana kumpigania gadafi
WAAFRIKA AKILI ZETU TIMESHIKIWA NA WAZUNGU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ina maana uonevu wa Marekani huko Libya ndio una halalisha uonevu wa Urusi kwa Ukraine?Wangapi wamepigwa kibabe? Marekani alienda kumkanda mlibya kule, america kawakanda wangapi kwa uonevu? Hapa Urusi anafanya uonevu, lakini hao pro America wakae kimya, wakiligalambua dunia haitokalika
hiyo mbuzi ya Urusi haiwezi mfanya kitu marekani, tatizo inaongea sana wakati wenzie wanamuangalia tu aingie anga zaoTutaipiga Marekani mpaka isambaratike
Sadam Husain alifanya propaganda hivyohivyo baadae akaishia kula kitanzi ,Tutaipiga Marekani mpaka isambaratike
Mahaba haya.Kuna watu waridhani Putin anaiogopa NATO na waliomba avamie sasa kavamia, sijui mtapitaje hapa.
Kwa kifupi media zilizo Africa, Ulaya na america taarifa mnazipata moja kwa moja kwa kingereza au kifaransa muda mwingine hata kwa kiswahili.
Ila nauhakika kuna watu hawajui kama china alishatangaza yupo na urus, pamoja na north korea wapo pamoja kwa shida na raha.
Na moja kubwa kuna makampuni ya marekani yamewekewa vikwazo china ni siku tatu nne nyuma ila watu hawajui kama wanachaguliwa taarifa za kusikia.
"Mwisho russia sababu anazo, nguvu anayo na uwezo anao ".
Mpaka putin kaamua ndio mjue marekani wamevunja mikataba kupitiliza zaidi ya miaka kumi russia kavumilia na marekani anajifanya superpower kwa superpower mwenzake wakati ile ni ardhi ya mrusi subir muone hlf bado madude ya kiduku.
Kwa asiyejua na anaesikiliza media za magharibi lazima amchukie Putin na amuone dictator ila ukimfatilia unajua dunia bila yeye dunia itafika mwisho haraka sana.
Long live Vladimir Putin Chuma.
Bado wana safari ndefu sana, maana sio raisi Marekani aingie kwenye mtwgo wao, kama marekani angkua anataka hiyo vita angeshatinga kwenye ground ila kwa sababu anajua its a trap, ataikwepa kwa namna zoteChina, Urusi na Korea Kaskazini.
Warusi hawana tofauti na watanzania dhidi ya CCM !Putin ni tishio kwa dunia,
Ndio maana wakati wote hataki kuondoka madarakani, Ila wa Russia wote ni ndezi tu, mtu mmoja anakuwaje na nguvu namna hiyo? Yaani hata alipompa madaraka ya urais Medvedev ulikuwa ni uhuni tu, bado yeye ndio alikuwa mtawala.
Jamaa amejimilikisha nchi hakutosheka....Putin ni tishio kwa dunia,
Ndio maana wakati wote hataki kuondoka madarakani, Ila wa Russia wote ni ndezi tu, mtu mmoja anakuwaje na nguvu namna hiyo? Yaani hata alipompa madaraka ya urais Medvedev ulikuwa ni uhuni tu, bado yeye ndio alikuwa mtawala.
Changia mada mkuu...hayo ya Kibaigwa hayana umuhimu hapa.Hao raia ndio wamemuweka hapo,Bunge la Russia limemruhusu Putia kutumia jeshi ila wewe uliyepo huko Kibaigwa ndio unaumia na unajua zaidi sio?