STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Kama alivyorukwa BushPutin amerukwa na akili....
Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..
Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.
Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Changia mada boss.....akili ya mtu ni Mali yake binafsi.we unaakili kuwa shinda warusi walio muweka pale una akili kulishinda bunge la urusi lililo mruhusu kutumia jeshi nje ya nchi yao ikibidi
?
Kamuulize sadam Husain na gadaf waliishia wapi baada ya propaganda zao !Kuna watu waridhani Putin anaiogopa NATO na waliomba avamie sasa kavamia, sijui mtapitaje hapa.
Kwa kifupi media zilizo Africa, Ulaya na america taarifa mnazipata moja kwa moja kwa kingereza au kifaransa muda mwingine hata kwa kiswahili.
Ila nauhakika kuna watu hawajui kama china alishatangaza yupo na urus, pamoja na north korea wapo pamoja kwa shida na raha.
Na moja kubwa kuna makampuni ya marekani yamewekewa vikwazo china ni siku tatu nne nyuma ila watu hawajui kama wanachaguliwa taarifa za kusikia.
"Mwisho russia sababu anazo, nguvu anayo na uwezo anao ".
Mpaka putin kaamua ndio mjue marekani wamevunja mikataba kupitiliza zaidi ya miaka kumi russia kavumilia na marekani anajifanya superpower kwa superpower mwenzake wakati ile ni ardhi ya mrusi subir muone hlf bado madude ya kiduku.
Kwa asiyejua na anaesikiliza media za magharibi lazima amchukie Putin na amuone dictator ila ukimfatilia unajua dunia bila yeye dunia itafika mwisho haraka sana.
Long live Vladimir Putin Chuma.
Ina maana uovu wa hasimu wako ndio kunakupa haki na wewe kutenda uovu...?Kama alivyorukwa Bush
Jikite kwenye mada hayo ya ufaulu wa mtu muachie yeye.Form four division 0 zero ni kazi sana. Hivi vyakula vya kizungu vinaharibu akili watu wanakuwa mazezeta sana.
urusi ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi wake wana IQ kubwa bunge lao usilifananishe na hili la kina babu talebunge la urusi halina tofauti na bunge la Tanzania.
Huko Birmingham ni ghali hio[emoji23]Nina nyumba ya urithi apo magomeni, nitawapangisha kwa £400 kwa Mwezi
ulishawahi kusema haya kuhusu uvamizi wa marekani na washirika wake syria, iraq, afghanstan, libya, nk?Putin amerukwa na akili....
Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..
Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.
Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Yaani huwa ninashangaa kuona watu wanaanza kukuattack badala ya kuanalyse maada. Wapo wengi sana humu.Changia mada boss.....akili ya mtu ni Mali yake binafsi.
+IRANChina, Urusi na Korea Kaskazini.
ninaamini Putin ana sababu kama alizokuwa nazo Kruschev wakati cuban missile crisis, marekani ni mkorofi tu wakati alijaribu kumpindua CASTRO wa cuba kwa ku launch Bay of pigs war lakini akapigwa vibaya. walifikia makubaliano kwa Soviet kuondoa missiles cuba na marekani akahakikisha hataivamia tena cuba na akaondoa missiles uturuki. Na hata sasa Putin alikuwa anataka tu Ukraine asijiunge NATO ili asitumike na Marekani kusimika makombora ya kivita kule ambayo ni hatari kubwa kwa urusi. Kwa sababu ya ubabe wa marekani acha watwangane tu. Sisi tuandae tu mashamba na bora mama ameshatoka huko wakampa kampunga acha wazichape tu. ila kama mama hawakumpa hundi duuh hapo tumeliwa hawatatupa maana vita hii itaende muda mrefuPutin amerukwa na akili....
Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..
Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.
Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vita ya tatu ya Dunia ,si watakuwa wanapigana huko ulaya , ni wakati wa Afrika kuwa superpower
Sio PuttinSadam Husain alifanya propaganda hivyohivyo baadae akaishia kula kitanzi ,
Muamar Gaddafi aliongea utumbo matokeo yake akajificha kwenye mtaro wa majitaka !
Mmarekani akikuamaulia kung,oka utang,oka tu...
Chukua nilicho changia kuhusu mada kwenye hiyo comment yangu.Changia mada mkuu...hayo ya Kibaigwa hayana umuhimu hapa.
Kwani pale Syria ilikuwaje? Mmarekani akafanyeje? Assad akafanyweje na USA?hiyo mbuzi ya Urusi haiwezi mfanya kitu marekani, tatizo inaongea sana wakati wenzie wanamuangalia tu aingie anga zao
ukiona mtu anaongea sana jua hamna kitu, sasa hii mbuzi kila siku iko kwenye TV kupiga mikwara
Iran yupo kwenye vikwazo zaidi ya miaka 40 na maisha yanaendelea,vikwazo vingine huamsha zaidi akili kwa aliyewekewa hivyo vikwazo,pia kumbuka vikwazo huumiza pande zote mbili.Ina maana uonevu wa Marekani huko Libya ndio una halalisha uonevu wa Urusi kwa Ukraine?
Putin ni mgonjwa wa akili, ila vikwazo vikali vya kiuchumi vitamnyoosha yeye na genge lake la wahuni
Let him come and receive his rewardNot a cake walk job
Inaonekana anapigwa Ukraine ila maumivu unayapata wewe!Ina maana uovu wa hasimu wako ndio kunakupa haki na wewe kutenda uovu...?