Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,334
- 5,550
Sawa, na wewe usisahau kuja nuclear mkuu uisaidie urusiIngieni Ukraine mkatoe msaana nendeni na machuma yenu muone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, na wewe usisahau kuja nuclear mkuu uisaidie urusiIngieni Ukraine mkatoe msaana nendeni na machuma yenu muone
Yusuph, akili yako imeishia hapo, ndio mnapshadadia ukraine na Russia wapigane, low class na maskini wa kujitakia.Kuhusu uanaume wangu na mapumbu yangu muulize mama yako mzazi kwani ilikuwa starehe yake na kuhusu kubale muulize mama yako ninaye msuguaga kis*mi. Wee ni jibu kwa hoja sio matusi ila kwa kuwa unajifanya chizi mimi mwendawazimu.
propaganda !!Vita si lelema na havina macho!!!
Wanajeshi wa Urusi wakamatwa màteka Ukraine!
Russian soldiers captured by Ukraine.View attachment 2129840
We ndiye akili kisoda baada kudiscuss hoja unaanza matusi, hutulii kama umasokomezwa bunzi makalioni kima wee.Yusuph, akili yako imeishia hapo, ndio mnapshadadia ukraine na Russia wapigane, low class na maskini wa kujitakia.
Sasa Hapo Bado wanapambana na Tiny Ukraine Bado washirika hawajaingia!propaganda !!
unakamata masoldiers
wakati wenzako wanakamata AIRPORT na sekta muhimu za kimkakati
Anaogopa aibu ya kupewa kifiro hadhariKulikoni Mbabe wa vita Marekani mbona umeogopa kuinusuru Ukraine?
Una umwa wewe kama PutinHapa kinachotafutwa ni kuiondoa USA kwenye usupapowa. Hii ni njama ya China na Mrusi
We hujui Ghadafi jinsi alivyojitoa kwa ajili ya bara hili la Africa. Hata AU alikuwa anaifadhili yeye. Kama tatizo ni uarabu wake basi we hujielewi...wako weusi Africa wagapi wametumika kama vibaraka wa kuamisha mali za Afrika kama Mobutu. LIBYA iko Africa hivyo wakazi wake ni waAfrika bila kujali rangi zao. Kama walivyo wamarekani weusi..wao ni wamarekani tu siku zote watatetea maslah ya Amerika na si vinginevyo.Muarabu Gadaffi na Uafrika wapi na wapi? Gadafi alivyofurumushwa nilifurahi sana.
Something is realy cooking aisee...Hapa kinachotafutwa ni kuiondoa USA kwenye usupapowa. Hii ni njama ya China na Mrusi
Tulieni, si mlosema hawezi. Mara oooh mbele ya Nato atachakaa, mwanaume anafanya kweli huko.Putin amerukwa na akili....
Ni wakati muafaka kwa raia wa kawaida wa Urusi kukataa kutawaliwa na mgonjwa wa akili..
Huyu jamaa ataiharibu zaidi nchi yake kiuchumi, kijamii huku akiipaka matope nchi yake mbele ya ulimwengu.
Ni lazima dunia iungane kuzuia Vita ya kibabe huko Ukraine.
Marekani na washirika wake wamepigana miaka mi 3 zidi ya islamic state na bado wakawashindwa.mtu kaingiza jeshi tu siku moja mikoa zaidi za 10 kashachukua.je wiki moja ujajiuliza itakuwajeSasa Hapo Bado wanapambana na Tiny Ukraine Bado washirika hawajaingia!
Mi ni Mkatoliki ila Papa ni Mzinguaji, anatoa comment za upande mmoja Kama vile anadhani sisi wote ni pro USKwahiyo putin anampiga biti Papa aliye sema siku ya jumatano ya majivu tufunge kuiombea
Kawanyosha, Maneno ya wakosaji, si mlisema hawezi shambulia anaogopaMWANAUME KAMILI HUWA HAPIGI MIKWARA YEYE ANGESHAMBULIA UKRAINE AFU ASUBIRI ATAKAEINGILIA
HANA LOLOTE
Hawa madem wa ukraine naona wanasifiwa sanaBora tupate mademu wakali wa ki Ukraine tugonge,, hawa wabantu wenzetu wamezidi kuwa chuma ulete😂😂😂
Unakurupuka kwani hv nyinyi waswahili mbona ushenzi ukifanywa na marekanie hamzingumziulishawahi kusema haya kuhusu uvamizi wa marekani na washirika wake syria, iraq, afghanstan, libya, nk?
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji817][emoji817][emoji817]Sisi waafrika n wajinga Sana
Marekan alikuja hapa Africa akamuua muhamad gadafi lakini hakuna aliyepiga kelele
Leo wazungu wanataka kuuana wenyewe kwa wenyewe eti tunakuwa na huruma na kupiga kelele Kama jibwa kinalohtaji bwana
Kama tungekuwa tunapendana nadhan tungeungana kumpigania gadafi
WAAFRIKA AKILI ZETU TIMESHIKIWA NA WAZUNGU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app