Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Kwa lugha rahisi utakayoielewa:hebu tueleze ni kwanini Putin hataki Ukraine ajiunge NATO ?
Izo silaha ana peke yake. Akiwagonga na yeye anagongwa nazo
Aende akapate muongozo au sioGo - Russia...
Ndo Urusi waitumie Ukraine?Mass destruction weapon
ππππ sasa kama ni hivyo kwanini usimpige mwizi wa mkeo πΊπΈπΊπΈπΊπΈ +NATO badala yake unaishia kumpiga mkeo πΊπ¦πΊπ¦πΊπ¦.Kwa lugha rahisi utakayoielewa:
Ukraine kujiunga NATO na kumsogeza USA sebuleni ni sawa na mshkaji aliyekuwa amamgonga mkeo kabla hujamuoa kuhamia nyumba opposite kabisa na hapo kwenu huku wewe ukiwa mfanyabiashara unayesafiri sana.
Umenisoma au nifafanue zaidi?
Kihistoria NATO ina uhasama na Urusi.Kutafuta mataifa jirani na Urusi yajiunge NATO ni kufanikisha malengo ya muda mrefu kuishinda Urusi. Hatua ya mwanzo ya Marekani kumtumia kibaraka Gobachev kulifanikiwa nusu kwa nusu hatimae Urusi ikashtuka na kusimama tena.Safari wameamua kumtumia Yahudi aliye jirani na Urusi kurudia njama zao.hebu tueleze ni kwanini Putin hataki Ukraine ajiunge NATO ?
Hua natamani kujibu maswali yakohebu tueleze ni kwanini Putin hataki Ukraine ajiunge NATO ?
Mi nampenda Russia aliwachakaza sana hata kule Afghastan.Kihistoria NATO ina uhasama na Urusi.Kutafuta mataifa jirani na Urusi yajiunge NATO ni kufanikisha malengo ya muda mrefu kuishinda Urusi. Hatua ya mwanzo ya Marekani kumtumia kibaraka Gobachev kulifanikiwa nusu kwa nusu hatimae Urusi ikashtuka na kusimama tena.Safari wameamua kumtumia Yahudi aliye jirani na Urusi kurudia njama zao.
Ukiangalia upande wa pili ni akili gani za raisi wa nchi kukubali kuwa kama kuwadi wa nchi za Nato.Kwa faida ya nani.Kwani kubaki taifa huru kujiamulia upendavyo na ukabaki na ujirani mwema na jirani yako au hata kuunganisha udugu naye kwa kuoana au kuuzesha watoto wenu kuna ubaya gani ukilinganisha na vurugu la vita.
Yupo kama kawida anaongoza Syria yake bila zengweHivi bashar Al Assad bado yupo?
Haya mambo ya misululu mirefu ya vifaru ni mambo ya kizamani.Tena anafanya hivyo mchana kweupe anaonekana na satelite bila chenga. Droni za Uturuki zitakuwa zinamvizia wakati wa usiku.Hizi droni zimekuwa tishio sana mpaka inafanya vita ya vifaru na misafara ya kijeshi kuwa ni vita ya kishamba kwa sasa.Safari hii msafara ukipigwa bila kufanikisha lengo basi itakuwa ndio mwisho wake.Ajihadhari sana.[emoji23][emoji23] wameshakoma kupanga misululu ya vifaru kwenda kyiv!!, Hawajasahau moto uliowapata kwenye msululu ule wa kwanza [emoji2]
πππAfghanistan umesahau.Yeye ndiye aliyechakazwa.Isipokuwa tu Urussi na mambo ya vita hachoki na haishiwi na mbinu .tofauti na USA.
Msururu ulipigwa picha na mavideo kwa mbwembwe na TV za Urusi ukienda Ukraine .Kutoka Ukraine msururu Urusi hawakuonyesha tena kwa kipigo walichopata msafara huo[emoji23][emoji23] wameshakoma kupanga misululu ya vifaru kwenda kyiv!!, Hawajasahau moto uliowapata kwenye msululu ule wa kwanza [emoji2]
kiufup unamaanish Russia ni mdhaifuKwa lugha rahisi utakayoielewa:
Ukraine kujiunga NATO na kumsogeza USA sebuleni ni sawa na mshkaji aliyekuwa amamgonga mkeo kabla hujamuoa kuhamia nyumba opposite kabisa na hapo kwenu huku wewe ukiwa mfanyabiashara unayesafiri sana.
Umenisoma au nifafanue zaidi?
Kiuhalisia Hadi sasa ukrain hana jeshi lolote Zaid anatumia mamluki kutoka nje,mzee puto kapagawa mwezi na nusu sasa ameshindwa kumaliza mchezo, na majeshi yake yamekula mkong'oto yamerudi nyuma, sasa imebidi ajipange tena maana alifikiri vita ingekuwa rahisi kwake amebweeka mara ohh naweka makombora ya nyuklia kwenye high alert wanaume wanamtazama tu wala hawatishiki, mara ohh wanajeshi wa ukraine wajisalimishe wenyewe, wanaume wakakaza, mara ohh atakayemsaidia ukraine nitadeal nae, ukraine kasaidiwa na anaendelea kusaidiwa, sasa chawa wa russia wakasema ohh zelensky ashakimbia nchi, Boris jana alikuwa naye kyiev anagonga mvinyo huku wakilicheka babu puto kwa zerauu, na Italy ashasema soon anareopen ubalozi wake, huku finland na sweden inatarajiwa soon watajoin nato. Kwa kifupi putin kwa sasa anachezeshwa kama mwanasesere kufanya regime change aweke kibaraka wake ameshindwa, kwenye uchumi amefeli, rafikiye mchina amamtazama kwa mbaaaaali maana anajua kwa sasa russia ananuka nuksi na shombo laana so hataki kujiungamnisha naye kwa 100% maana anajua urusi kiuchumi si size yake yeye kwa sasa anataka ampiku US. Huku rafikiye Imran Khan wa pakistan naye kafurushwa yaan ni sheeeda. Sasa hapo anapambana na ukraine anatokwa na jasho la nywele halafu eti ndo awe na uwezo wa kuikabili nato thubutuuuu ingawa warusi wa mchambawima na matombo watabisha maana wana mahaba sana na babu puto na watakwambia babu puto ana akili nyingi sanaaaaa.
[emoji3][emoji3][emoji3]inafikia muda unacheka tu,ukisoma comment ndefu za Pro Russia humu unapata picha Jeshi la Ukraine lilishachakazwa vibaya ,ni Putin na jeshi lake tu ndiyo wanatamba kule Ukraine,njoo sasa kwenye uhalisia,Kremlin mambo mazito hadi wanabadili Kamanda wa kuongoza mapambano.Tafsiri yake ni kuwa yule wa mwanzo amefail."Haiwezekani nipeleke msafara wa vifaru wenye urefu wa km 64 kwenda kupigana na comedian harafu msafara wote uteketezwe . kuna hujuma nafanyiwa hapa.Nimeamua kubadirisha makamanda . kwa kweli msiniangushe " alisikika kichaa Putin wa[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635].[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwamba 'Russia anamuogopa US kuwa karibu yake'.Kwa lugha rahisi utakayoielewa:
Ukraine kujiunga NATO na kumsogeza USA sebuleni ni sawa na mshkaji aliyekuwa amamgonga mkeo kabla hujamuoa kuhamia nyumba opposite kabisa na hapo kwenu huku wewe ukiwa mfanyabiashara unayesafiri sana.
Umenisoma au nifafanue zaidi?