Vita yetu dhidi ya ushoga ni dhaifu sana

Hachana na Afrika tuizungumzie Tanzanania yetu....Unaijuishaje Tanzania inayojikongoja na mataifa mengine yaliyokwisha kupiga hatua?.
Mataifa yapi ya Africa yaliyopiga hatua, yanaweza kutunisha msuli kwa Europe??
 
Naungana na wewe kiongozi kwani mtu wa kwanza kulisimamia hili ni mzazi au mlezi katika familia ni ngumu sana kwa serikali kuingia mpaka kwenye malezi yetu
 
Wapi hao unao wajua wee?? Ushahidi unao??
 
Ngoma ishapitishwa sema na marekani washaibuka tena kuipiga biti Uganda,Nashangaa Marais wa Afrika mashariki wapo kimya,Tulipoteza chuma chetu kingeshatoa Tamko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaaa wee sanaaa. Lol
 
Sasa haya yote mnayajua, hizi kelele za nn??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwezi kupambana na ushoga kama sera zako nizakutegemea misaada na kutegemea mikopo ya beberu.

Ukiwa na mentality ya kujitegemea bila kuwaza kuombaomba misaada lazima uwe na nguvu na misimamo kwenye mambo kama haya.
 
KUNA NJIA MBILI ZA KUPAMBANA NA TATIZO, MOJA KUPAMBANA NALO KIMYA KIMYA NA KULIMALIZA KIMYA KIMYA, PILI, NJIA YA KUPIGA KELELE KUSHINDANA NA TATIZO, TANZANIA IMEAMUA KUSHINDANA NA SHETANI KIMYA KIMYA, HATUTUMII NJIA ZA WENGINE KUPIGA MAKELELE
Sawa, unamaanisha mashoga wote wataonekana kama vile wamejinyonga wenyewe?
 
Kilimo kwetu ni ndoto ya mchana, serikali haithamini kilimo Cha kibiashara, hata Yale mashamba makubwa aliyoyaacha mkoloni na Nyerere yanageuzwa makazi na kupewa wananchi walime kwa mkono kwa kutegemea mvua inyeshe. Halmashauri ziko bize kupima viwanja lakini haipimi ardhi ya kilimo na ufugaji, watu wanajijengea holela TU. Mkuu wa wilaya Hana uhakika ni wapi watu wataluma kwa miaka 100 ijayo na wapi ni makazi kwa miaka 100 inayokuja.

Msingi mkuu wa maamuzi yetu ni kuangalia uchaguzi ujao tutapataje kura za kusalia madarakani. Rais Magufuli aliweza kufanya baadhi ya maamuzi magumu tuliyoyaona kwakuwa alikuwa hatagemei kura kubaki madarakani. Hata hivyo hata yeye alishindwa kuwaondoa machinga mtaani kwa sababu ya kura ya 2015 iliyomuingiza madarakani. Tanzania tutapiga hatua kama tutaamini kwenye kushindwa na kushinda kihalali, hii itasaidia kuwaweka mbali mabepari na maadui wetu wanaotumia chaguzi zetu kutuibia,
 
Sawa, unamaanisha mashoga wote wataonekana kama vile wamejinyonga wenyewe?
Tunapambana nao kimya kimya, ikiwa ni pamoja na kuwapa elimu juu ubaya wa tabia hizi na athari zake, hivyo wanafundishwa kwanza kujitambua, this sometimes could be psychological problem, wanawekwa pahala panapofanania na sober house!
 

Umaskini Mbaya, ushoga ni Mbaya sana, ila Umaskini zaidi, Maana huna msimamo wakati hujiwezi, ni watu wachache sana kama Mugabe dunia hii, au Museven, na kizazi cha aina hiyo ndo kinaishilia hivyo
 
Umaskini Mbaya, ushoga ni Mbaya sana, ila Umaskini zaidi, Maana huna msimamo wakati hujiwezi, ni watu wachache sana kama Mugabe dunia hii, au Museven, na kizazi cha aina hiyo ndo kinaishilia hivyo
Njia za kupambana na tatizo hili kwa tanzania tumeliweka kwenye kundi la waathirika wa kisaikolojia hivyo ni watu wenye kuhitaji tiba za namna fulani za kiakili kwa kipindi fulani. Hivyo upambanaji wetu ni wa kipekee we solve the problem, HILI NI UGONJWA WA KIAKILI.
"Hivyo kumpa shoga haki kwetu ni sawa na kumpa mwendawazimu haki " kitu ambacho siyo sahihi. Hawa ni wagonjwa wa kiakili kama wagonjwa wengine ispokuwa ugonjwa wao umeriakti ktk kutamani Jamii yake!
 
Hata vitabu vya Mungu vilimtaka Mwanaume ale kwa jasho na mwanamke azae kwa uchungu. Maana yake kazi kuu ya msingi ya mwamke kwa mujibu wa maandiko ni kuzaa, kunyonyesha na kutunza/kulea familia na baba kazi yake ya msingi ni kujamiana na kutunza/kuilisha familia yake iwe jua iwe mvua. Mungu hakukosea kuagiza iwe hivyo, alijua hatari ya mama kuzaa kwa uchungu na kula kwa jasho kwa wakati mmoja. Mama zetu wa Sasa wanakula kwa jasho na kuzaa kwa uchungu, wako bungeni kwa miezi mitatu mfululizo, wako kazini kuanzia saa 11 alfajiri hadi saa 3 usiku wanaporudi kazini, wako china kufuata bidhaa za biashara mwezi mmoja. Watoto hawana mtu wanaemuogopa na kumtii pale nyumbani, wameachiwa pesa nyingi za matumizi na shule, Kuna tv, smart phone na hela za bundle masaa 24 ili wasomee na kuwasiliana na wazazi ambao hawako nyumbani.

Mama zetu hawakusoma lakini watoto wao ni maprofesor wa kutumainiwa Leo hii inagwa waliwazalia nyumbani kwa msaada wa wakunga wa hadi. Tumepotoka sana kwa kuwa zoazoa wa maelekezo na tamaduni za magharibi
 
Umagharibi umetuelemea skuizi kila mtu anapeleka mtoto english medium wanakofundishwa kiuzunguzungu mtoto anadekezwa kamayai hatajembe halijui bullshhh...!! Nikuchezea tuu intanet kudere maporno.
Serikali iingilie mitaala ya shule binafsi watoto wafundishwe kazi za mikono wasidekezwe kipumbafu tutaharibu kizazi chetu.
Mashoga yafungwe yakaharibuliwe gerezani sio uraiani
 
Tunapambana nao kimya kimya, ikiwa ni pamoja na kuwapa elimu juu ubaya wa tabia hizi na athari zake, hivyo wanafundishwa kwanza kujitambua, this sometimes could be psychological problem, wanawekwa pahala panapofanania na sober house!
Mhhh, isije ikawa mnawapa sumu wafe, maana nyie hamshindwi kitu! [emoji848]
 
Wewe una hasira kisa wanao wanasoma senti kajamba.

Na wewe pia ulisoma senti kajamba.

English medium ni shule za viwango, tafuta hela Kaka uachane na senti kajamba.
 
Umaskini Mbaya, ushoga ni Mbaya sana, ila Umaskini zaidi, Maana huna msimamo wakati hujiwezi, ni watu wachache sana kama Mugabe dunia hii, au Museven, na kizazi cha aina hiyo ndo kinaishilia hivyo
Njia za kupambana na tatizo hili kwa tanzania tumeliweka kwenye kundi la waathirika wa kisaikolojia hivyo ni watu wenye kuhitaji tiba za namna fulani za kiakili kwa kipindi fulani. Hivyo upambanaji wetu ni wa kipekee we solve the problem, HILI NI UGONJWA WA KIAKILI
Mhhh, isije ikawa mnawapa sumu wafe, maana nyie hamshindwi kitu! [emoji848]
HILI NI TATIZO KAMA YALIVYO MATATIZO MENGINE TATIZO HILI "PSYCHIATRIC DISORDER" HUTIBIWA INGAWA WENGINE HUONA JAMII HIYO IPEWE UHURU KITU AMBACHO HATUKIKUBALI NDIO MAANA KINATIBIWA TARATIBU KWA FARAGHA.
 
Sasa haya yote mnayajua, hizi kelele za nn??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Viongozi wetu wa afrika watumie akili ili kuishi kwenye dunia hii. Ulaya Magharibi zIko mbali sana na America lakini ziliamua kushirikiana na Marekani ili kupata ulinzi wa kijeshi na kibiashara. Nchi za Afrika ni lazima zifanye maamuzi magumu ya kuungana moja kwa moja na upande mmoja wenye nguvu kama uchina na urusi ili kutoa sauti ya pamoja. Hii tabia ya umalaya tunaofanya wa kutofungamana na upande wowote ndio chanzo Cha shida zetu nyingi. Tunajidhoofisha sisi wenyewe na tunadhoofisha china na urusi kuwa na nguvu sawa na Magharibi kwa manufaa ya usalama wa dunia.
 
Wapi hao unao wajua wee?? Ushahidi unao??
Mashoga mnawaweka hadi kwenye video zenu za miziki na wengine mmewaajiri kwenye radio huko mkiacha hao waliyojaa huko mitandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…