Vita yetu dhidi ya ushoga ni dhaifu sana

Vita yetu dhidi ya ushoga ni dhaifu sana

Njia za kupambana na tatizo hili kwa tanzania tumeliweka kwenye kundi la waathirika wa kisaikolojia hivyo ni watu wenye kuhitaji tiba za namna fulani za kiakili kwa kipindi fulani. Hivyo upambanaji wetu ni wa kipekee we solve the problem, HILI NI UGONJWA WA KIAKILI.
"Hivyo kumpa shoga haki kwetu ni sawa na kumpa mwendawazimu haki " kitu ambacho siyo sahihi. Hawa ni wagonjwa wa kiakili kama wagonjwa wengine ispokuwa ugonjwa wao umeriakti ktk kutamani Jamii yake!
Aliyekuambia ushoga ni ugonjwa wa akili nani? Hivi mnajua hata mnachokizungumza lakini???
 

Wote tunaupinga na kuukataa ushoga lakini kesi za watoto kulawitiwa zinazidi kuongezeka.

Kuna unafiki sehemu, wala tusiwasingizie wazungu.
Tulipokuwa tunasema na kufanya women empowerment hatukufikiria chochote kuhusu malezi ya familia. Wemen empowerment sio TU imeacha watoto bila usimamizi bali hata cheating, ndoa kuvunjika, na idadi ya ndoa kupunguza imeonhezeka sana, idadi ya single parents ni kubwa sasa kuliko zamani,

Vita ya ushoga inhepaswa kuwa ni agenda ya East African countries kuliko kuwa ya nchi moja moja. Tungetakiwa kuwa na Sheria moja ya ushoga ukanda mzima wa East African countries kama sio Africa yote. Hii ingeondoa Ile divide and rule inayotumiwa na wakoloni wanapotaka jambo lao.
 
Vita hii ya ushoga tuipigane kwa nguvu zetu zote leoleo kabla hatujakuwa na IGP ambae ni shoga, au waziri mkuu ambae ni shoga au Rais wa nchi ambae ni shoga au spika ambae ni shoga au jaji mkuu ambae ni shoga. Tukifika huko kazi itakuwa ngumu kwelikweli.
 
Msiwasingizie wazungu kwa ujinga wenu wa kupeana vifiro.

Kuna mzungu alikuja kukushikia matako ufirwe??

Mabichwa Komwe nyie!
Wakati ushoga ulikuwepo tokea enzi za taarabu na sahv wako kwenye miziki yao ya sasa

Ova
 
CCM na Serikali yake inaunga mkono ushoga

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Huwezi kuyakataa haya maoni yako kwa 100% hata kama hayana ushahidi wa kuthibitisha. Lakini serikali inavyopigana na ushoga ni kama Ile tunayowaambia watoto "tema mate tumpige" ili kumridhisha mtoto aone kwamba umempiga mchokozi wake. No seriousness kama Ile ya Mseveni
 
Homosexual is UN-NATURAL, UN-AFRICAN na ni utamaduni wa watu wa magharibi...
Kwanza ni kuhakikisha Tz hakuna mtu yoyote anayesapoti hivyo vitu kushika aina yoyote ya uongozi au madaraka, hata kama msemaji wa familia wala MC. Wasipate nafasi yoyote ya wadhifa katika jamii. Kwasababu watu kama hao wakishika madaraka ni rahisi kuruhusu hivi vitu kwakuwa wao wanavipenda au wanaona kawaida, na ndicho nchi nyingi zilichofeli
 
Silaha pekee ya kumaliza ushoga tanzania ni fatawa za dini akijulika asiamke kesho yake lkn kwa kutegemea serikali iliyonunuliwa vita hii itatushinda na tusubiri kufunikwa na udogo
 
Wananchi na raia mnapenda kujipa tabu na stress za buree.
Serikali ilishatoa msimamo na mtazamo wake kuhusu ushoga

Fanyeni mambo mengine, msijipe pressure buree.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2561515
CCM kupitia kwa mwenyekiti WAO wameruhusu kwa wakubwa wanaume kuoana[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Silaha pekee ya kumaliza ushoga tanzania ni fatawa za dini akijulika asiamke kesho yake lkn kwa kutegemea serikali iliyonunuliwa vita hii itatushinda na tusubiri kufunikwa na udogo
Shida hii imeanzia mbali, wanawake wamekuwa wakifirwa na wanaume tangu zamani bila kujali elimu, dini Wala kabila. Yaani wanaume wanakula pande zote za mwanamke lakini wanawake hawalalamiki, ni Siri Yao. Hata wanaume wako wanaofirwa lakini ni Siri Yao pia. Tunacholalamika hapa ni kulazimisha kufirana iwe ni mfumo rasmi wa maisha wenye mitaala ya kufundishia. Unawafundisha mpaka watoto wadogo wa chekechea na primary, hii sio sawa sawa na kujitangaza na kujionyessha hadharani kuwa wewe ni shoga. Ikumbukwe kuwa hawa wanaoeneza ushoga kwa kutumia zawadi (fedha, magari na maisha mazuri) ili kufanya uwe shoga hawatatoa hiyo zawadi siku zote na milele. Ukishakuwa shoga na ushoga kuenea watasitisha zawadi zao kama vile Pavlov alivyofanya kwenye theory yake ya classical conditioning wakati anafundisha mbwa kutii sauti ya kengele.
Pavlov (Mrusi) alitaka kufundisha mbwa wake aje kula chakula kila anapopiga kengele. Ili kumfundisha tabia hiyo alikuwa akimlisha akimpatia mbwa chakula (zawadi) pamoja na kugonga kengele (tabia mpya) kwa wakati mmoja (pairing), alifanya hivyo kwa muda mrefu kidogo hadi mbwa akafunganisha chakula na kengele, kila akiisikia kengele alihisi njaa. Mwishowe akaondoa chakula (zawadi) polepole alivyoona mbwa anaweza kuja hata bila ya chakula kwa kusikia sauti ya kengele TU. Vijana wetu wakishaizoea hiyo tabia ya ushoga wataendelea nayo hata wazungu wakisitisha misaada Yao huko mbele. Mwanamke aliyezoea kufirwa lazima umfire ndio aone Kuna jambo limefanyika, hata mwanaume ambae amezoea kufira hapendi ukeni tena, na hapo ndio lengo la kupunguza idadi ya watu litakapotokea. Yaani mwanaume hapendi ukeni na mwanamke anafurahia kufirwa zaidi.

Hii tabia ni mbaya sana kuliko vitta ya Kagera dhidi ya Idd Amin, nashangaa sana kuona serikali inapigana nayo kilegelege sana.
 
We mbona hujawa shoga after all modeling,inspirations and seduced behaviors towards lgbtq?
Hata mm ningekuwa shoga kama mazingira yangeruhusu. Enzi zangu Mimi mama ndiye aliyekuwa steringi wa mchezo, alikuwa na sisi muda wote kunusa mikono yetu kama tulienda kula nyumba ya jirani, hata ukichafuka alitaka kujua umechafukaje. Huko mtaani ulikuwa unachapwa na Mzee yeyote kama ukizingua, jamii yote ilikuwa inatulea kuponyoka ilikuwa vigumu sana. Raidio ilikuwa ni RTD TU na magezeti ya Kingo, Uhuru, mfanyakazi na mzalendo na majarida ya kichina na Iran yenye picha nzuri za rangi. Vijana wakubwa walikuwa wakiwafira wadogo kwenye michezo Yao lakini wakigundulika adhabu Yao ilikuwa ya kutisha mno.
 
Tusiwasingie wazungu kwamba ati wanatuletea ushoga , mishoga imejaa mtaani na sheria tunayo tunashindwa nini kuidhibiti? au wazungu hawa wanatuzuia?
 
Kama unadhani kuwa tuko serious kwenye kupiga vita ulawiti wa watoto basi serikali ilete mswada wa kuwahasi (castrate) wote wanaolawiti na mashoga.
Wale wanaoingilia wanawake kinyume na maumbile je? Tuwafanyaje? Wale wanaowaingilia wanaume je tuwafanyaje?
 

E_fZhzAXsAEBztN.jpg

Kuanzia mwaka 2019, jina Kigogo2014 lilijipatia umaarufu mkubwa na wafuasi wengi wa mtandaoni nchini Tanzania. Kigogo2014 ambaye jina lake halisi ni Didier Mlawa alijizolea umaarufu huo kwa machapisho yake ya utetezi wa demokrasia, haki za binadamu na ubadhirifu chini ya utawala wa Rais John Magufuli. Uanaharakati wake huo ukamjengea maadui wakubwa kwenye utawala wa Magufuli ikabidi aikimbie Tanzania na kupewa hifadhi ya ukimbizi nchini Uingereza. Kwa mujibu wa sheria za Uingereza, kiasi fulani cha fedha zake za kujikimu na kodi ya nyumba anakipata kutoka katika ruzuku ya serikali ya nchi hiyo ambayo kimsingi ni fedha za walipakodi wa Uingereza. Mbali na Uingereza, amepokea pia misaada kutoka shirika la Marekani la Ford Foundation.
Machi 17, 2021 Tanzania ilikumbwa na msiba mkubwa kitaifa Rais John Magufuli alipofariki akiwa madarakani. Siku mbili baadaye, Machi 19, Makamu wake, Samia Suluhu akaapishwa kuwa Rais na mambo yakaanza kubadilika. Rais mpya akaanza mazungumzo na wapinzani, akawatoa wengine gerezani na kuwafutia mashtaka. Wafanyabiashara ambao nao walikuwa wameteswa na kukwapuliwa hela zao wakati wa Magufuli pasi haki wakarudishiwa amana zao. Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa pia ikaruhusiwa tena. Kutokana na hatua hizi za Rais mpya kuipa nchi uponyaji wa kisiasa na haki, waliokuwa wameikimbia Tanzania wakaanza kurudi.
Hata hivyo licha ya maendeleo hayo mazuri kwenye haki za kibinadamu ambayo Rais Samia alikuwa ameanza kuonesha, Mlawa aliendelea kuipinga serikali ya Tanzania kama vile hakuna lililokuwa limebadilika. Mtazamo wake huo ukadumu kwa miezi michache kisha ghafla akaanza kuwa mtetezi wa serikali. Kutokana na umaarufu aliokuwa nao mtandaoni, kubadilika kwake huku kukaonekana kama usaliti na kuwa amefika bei na kununuliwa na serikali na wanasiasa Tanzania.
Licha ya kubadilika na kuwa mtetezi wa serikali, Mlawa hakurudi rasmi Tanzania kama vile ambavyo wakimbizi wenzake wa kisiasa walikuwa wanafanya na badala yake akaanza kuja Tanzania kisiri. Toka Rais Samia aingie madarakani, Mlawa amefika Tanzania mara tatu. Mara zote tatu amekuwa akikutana na wanasiasa mbalimbali, wafanyabiashara na viongozi wa serikali. Katika mikutano hiyo amekuwa anauza “kukusemea vizuri” mitandaoni kama bidhaa kwa kiasi kikubwa cha fedha. Unamlipa kukusema vizuri kwenye mitandao, kukupamba na pia kuwasemea vibaya mahasimu wako kwa propaganda mbalimbali.
Hata hivyo, wachambuzi wanauliza inakuwaje Mlawa anakuwa na uthubutu wa kuingia Tanzania nchi ambayo aliondoka na kuomba hifadhi Uingereza akisema si salama kwake? Je! Uingereza inachukuliaje mwenendo wake huu?
Jibu ni hilo kwamba amekuwa akiingia nchini kwa kificho, kuwaficha Idara ya Uhamiaji ya Uingereza kwamba haji Tanzania bali Kenya. Anachofanya ni kuwa huaga Uingereza kuwa anakwenda Kenya. Akifika Kenya anachukua usafiri wa gari na kuvuka mpaka wa Kenya na Tanzania mara nyingi mpaka wa Horohoro mkoani Tanga. Anapovuka mpaka huwa hagongi muhuri katika pasipoti ili asionekane alikuja Tanzania. Baadhi ya wanaharakati wanaona jambo hili na utapeli mkubwa na uhalifu na sasa wanaishinikiza Idara ya Uhamiaji ya Uingereza kumfutia Mlawa hisani ya ukimbizi kuishi nchini Uingereza. Shirika la Marekani la Ford Foundation ambalo awali lilikuwa likimpa misaada tayari limemuondoa katika orodha yake ya wanufaika. Awali lilimpa msaada wa zaidi ya dola 15,000 (shilingi milioni 35).
Safari yake ya mwisho kuja Tanzania ilikuwa Januari mwaka huu kama ifuatavyo; Januari 5 mwaka huu aliondoka katika uwanja wa ndege wa Heathrow London akiwa abiria kwenye ndege namba QR006 ya shirika la Qatar Airways kuelekea Doha. Doha akabadili ndege na kuelekea Nairobi, Kenya, ndege namba QR1335 ya shirika hilo hilo. Alitua Nairobi Januari 6 saa moja na dakika 20 asubuhi. Kutoka Nairobi alitumia usafiri wa gari binafsi na kuvuka mpaka wa Horohoro, Tanga kisha kuingia Tanzania, bila kugonga pasipoti muhuri mpakani. Alikuja moja kwa moja hadi Dar es Salaam na kati ya tarehe 7 hadi 13 mwezi huo huo wa Januari alifanya mikutano ya kificho na wanasiasa na viongozi mbalimbali. Baada ya mikutano hiyo akarudi tena Nairobi kwa barabara. Nairobi akapanda ndege ya shirika la Qatar kurudi Uingereza kwa kupitia Doha. Aliondoka Nairobi tarehe 14 Januari saa nne usiku katika ndege namba QR005.
Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita Mlawa (Kigogo) amejibadili toka kuwa mwanaharakati hadi kuwa tapeli na mhalifu wa mtandaoni. Mfano katika akaunti yake rasmi ya Twitter ya Kigogo2014 amejitangaza kwamba anazisemea vizuri kazi za Rais Samia Suluhu. Hata hivyo, uchunguzi unaonesha anazo akaunti zaidi ya 100 zikiwemo TanzaniaLeaks, Insightfactortz na Tanzania Whistleblowers Group ambazo amekuwa akizitumia kumshambulia Rais Samia, familia yake na serikali ya Tanzania. Utaratibu wake ni kwamba akishakushambulia katika akaunti hizo kwa propaganda huja kwa mlango wa nyuma na kuwaomba watu hao hao wampe fedha ili azishughulikie akaunti hizo ikiwemo kuzidukua kana kwamba si zake. Vyanzo vinaeleza kwamba huchukua kati ya shilingi milioni 10 hadi 50 na zaidi kwa vitendo hivyo ambavyo kimsingi ni uhalifu dhidi ya wahanga wake.
Pia anatoa huduma za kuwasemea vibaya maadui za wanasiasa. Anachofanya ni kupendekeza kwako kwamba fulani ni adui, au kupata taarifa za fulani ni adui yako kisha hukuomba fedha ili aweze kueneza propaganda na uongo dhidi ya huyo adui yako kisiasa au kwenye biashara. Mbali na haya, amevujisha pia taarifa nyingi za wanaharakati aliokuwa akifanya nao kazi na baadhi hivi sasa wanahofia uhai wao.
Ni dhahiri kwamba Kigogo sasa anajiingizia fedha kutoka kwa kazi hii aliyochagua na hatahitaji hisani ya kuishi Uingereza kwa msaada za walipakodi wa nchi hiyo. Pengine ni wakati sasa wa vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania na Uingereza kuanza uchunguzi juu ya Mlawa ili hatua zichukuliwe ikiwemo Uingereza kumfutia hadhi ya ukimbizi wa kisiasa inayompa haki ya kuishi nchini Uingereza hivi sasa. Ni wakati pia wa umma kumpuuza jambo ambalo lilianza pale tu ilipoonekana wazi amenunuliwa na serikali.

Imran Mjanenga
Safarini Dodoma Tanzania
Havari na afisa kipenyo wetu msalimie musiba! Mwambie zile yale makande aliyokuwa anakula pale huku akilindwa na wale madogo bado yapo are tu hamna shida!
 
Mm nilianza kuwaona mashoga mwaka 2000,jamii imekata kimya muda mrefu,wanapiga makalele wameshajazana mtaani,ila lesbians ndo wako wengi kuliko mnavyodhania,wanasingizia wazungu wakati mambo yalianzishwa na waarabu.Zenj ushoga umepamba moto.
 
Maamuzi ya viongozi sio maamuzi yetu, so far wanatu betray na kuabuse power tuliyowapa, kama ma chief walivyouza mababu zetu utumwani, we haven't changed.

Kuanzia mikataba na makampuni hewa, mikopo yenye riba ya kutuumiza, mikopo yenye masharti yanayotuletea mabalaa kwenye jamii na family zetu...

Aliyesema system ya kumpata rais ibadilike asikilizwe

 
Back
Top Bottom