Vita za Afrika zinaendeshwa kiuchawi kwa asilimia kubwa- Yericko Nyerere

Vita za Afrika zinaendeshwa kiuchawi kwa asilimia kubwa- Yericko Nyerere

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Ikulu ya Kinshasa DRC, Rais Felix Tsheked baada ya kushika kiti aliwahi kuwaalika Wachawi maarifu wote Nchini DRC kufika Ikulu na kusaidia kuongeza nguvu kuwakabili M23 muhula wake wa pili!

Wachawi hawa kwa pamoja waliahidi kushinda Vita na walisema wako pamoja na Rais Tsheked.

Usilolijua Vita vya Afrika ukiondoa uwezo wa kijeshi kibajeti nk, Basi elewa kuwa 99.9% huamuliwa na uwezo wa Uchawi wa upande mmoja.

Vita vya Uganda vs Tz ilifika kipindi Mwalimu Nyerere akaenda kuwachukua washirikina wa Kimakonde Msumbiji wakaenda kutoa msaada mkubwa sana kwenye uwanja wa vita kazi kuu yao ikiwa ni kuwapiga usingizi mzito majeshi ya amini mchana kweupe!

Hii ni Afrika na Afrika ni mimi na wewe! Heshimuni Mti.
 
Ikulu ya Kinshasa DRC, Rais Felix Tsheked baada ya kushika kiti aliwahi kuwaalika Wachawi maarifu wote Nchini DRC kufika Ikulu na kusaidia kuongeza nguvu kuwakabili M23 muhula wake wa pili!

Wachawi hawa kwa pamoja waliahidi kushinda Vita na walisema wako pamoja na Rais Tsheked.

Usilolijua Vita vya Afrika ukiondoa uwezo wa kijeshi kibajeti nk, Basi elewa kuwa 99.9% huamuliwa na uwezo wa Uchawi wa upande mmoja.

Vita vya Uganda vs Tz ilifika kipindi Mwalimu Nyerere akaenda kuwachukua washirikina wa Kimakonde Msumbiji wakaenda kutoa msaada mkubwa sana kwenye uwanja wa vita kazi kuu yao ikiwa ni kuwapiga usingizi mzito majeshi ya amini mchana kweupe!

Hii ni Afrika na Afrika ni mimi na wewe! Heshimuni Mti.
SunTzu hakukosea.

Vita ni akili. Ni sawa na kusema "Uwezo wa Uchawi" walioutumia JWTZ ni akili mukubwa sana.😅🤣🤣🤣

Huo uchawi aliuita psychological warfare.
 
Kwa hiyo mnataka kusema uchawi nao ume advance kwenye mambo ya vita. Zipo drone za kichawi kumlenga adui, vifaru vya kichawi vinavyoonekana na kupotea kimiujiza?
 
Ikulu ya Kinshasa DRC, Rais Felix Tsheked baada ya kushika kiti aliwahi kuwaalika Wachawi maarifu wote Nchini DRC kufika Ikulu na kusaidia kuongeza nguvu kuwakabili M23 muhula wake wa pili!

Wachawi hawa kwa pamoja waliahidi kushinda Vita na walisema wako pamoja na Rais Tsheked.

Usilolijua Vita vya Afrika ukiondoa uwezo wa kijeshi kibajeti nk, Basi elewa kuwa 99.9% huamuliwa na uwezo wa Uchawi wa upande mmoja.

Vita vya Uganda vs Tz ilifika kipindi Mwalimu Nyerere akaenda kuwachukua washirikina wa Kimakonde Msumbiji wakaenda kutoa msaada mkubwa sana kwenye uwanja wa vita kazi kuu yao ikiwa ni kuwapiga usingizi mzito majeshi ya amini mchana kweupe!

Hii ni Afrika na Afrika ni mimi na wewe! Heshimuni Mti.
Na huo uchawi haukuwasaidia kuwashinda wakoloni. Leo hii hadi condom mnapewa msaada. Kuna vitu vya kujisifia africa lakini sio uchawi.
 
Ni kweli kabisa,haya mambo yapo makomandoo wengi wanayafahamu
 
Ikulu ya Kinshasa DRC, Rais Felix Tsheked baada ya kushika kiti aliwahi kuwaalika Wachawi maarifu wote Nchini DRC kufika Ikulu na kusaidia kuongeza nguvu kuwakabili M23 muhula wake wa pili!

Wachawi hawa kwa pamoja waliahidi kushinda Vita na walisema wako pamoja na Rais Tsheked.

Usilolijua Vita vya Afrika ukiondoa uwezo wa kijeshi kibajeti nk, Basi elewa kuwa 99.9% huamuliwa na uwezo wa Uchawi wa upande mmoja.

Vita vya Uganda vs Tz ilifika kipindi Mwalimu Nyerere akaenda kuwachukua washirikina wa Kimakonde Msumbiji wakaenda kutoa msaada mkubwa sana kwenye uwanja wa vita kazi kuu yao ikiwa ni kuwapiga usingizi mzito majeshi ya amini mchana kweupe!

Hii ni Afrika na Afrika ni mimi na wewe! Heshimuni Mti.
Siyo dhambi, muhimu kupata ushindi.

Kwenye kila vita, kila mbinu hutumika ilimradi ushindi.

Kwenye uchumi watu huiba iwe kiofisa au ujambazi, muhimu ni kushinda vita ya umaskini.

Kwenye ndoa nako si haba. Wanawake hupata vichaa kisa kapigwa juju na mkemwenza. Muhimu ushindi wa kumiliki ndoa.

Tuendelee kuroga hadi tupate ushindi, ingawa nashangaa hawa warogaji wameshindwa kuroga hela za wazungu zenye Afrika na sisi tuwe matajiri kama wazungu.

Safari wakiweza wamroge Trump aongeze bajeti WHO.
 
Siyo dhambi, muhimu kupata ushindi.

Kwenye kila vita, kila mbinu hutumika ilimradi ushindi.

Kwenye uchumi watu huiba iwe kiofisa au ujambazi, muhimu ni kushinda vita ya umaskini.

Kwenye ndoa nako si haba. Wanawake hupata vichaa kisa kapigwa juju na mkemwenza. Muhimu ushindi wa kumiliki ndoa.

Tuendelee kuroga hadi tupate ushindi, ingawa nashangaa hawa warogaji wameshindwa kuroga hela za wazungu zenye Afrika na sisi tuwe matajiri kama wazungu.

Safari wakiweza wamroge Trump aongeze bajeti WHO.
Sijui Zanzibar ilitumia uchawi GANI kuiroga Tanganyika? Yaani tumepigwa na kitu kizito sana
 
Back
Top Bottom