Vita za Afrika zinaendeshwa kiuchawi kwa asilimia kubwa- Yericko Nyerere

Vita za Afrika zinaendeshwa kiuchawi kwa asilimia kubwa- Yericko Nyerere

Sijui Zanzibar ilitumia uchawi GANI kuiroga Tanganyika? Yaani tumepigwa na kitu kizito sana
Unaweza kunifanya nilie asubuhi. Hii kitu huniuma sana kila ninapokumbuka.

Ila hawa washikaji majini sana, wanatufinya halafu tunachekelea. Hakuna cha msomi wala mjinga, wote hatushtuki.

Nyerere alituponza.
 
Unaweza kunifanya nilie asubuhi. Hii kitu huniuma sana kila ninapokumbuka.

Ila hawa washikaji majini sana, wanatufinya halafu tunachekelea. Hakuna cha msomi wala mjinga, wote hatushtuki.

Nyerere alituponza.
Hako kababu sioni hata umuhimu wake.
 
Kuna watu watabisha kutokana na kujiona wao ni too smart kichwani.

Tafuta movie ya kiafrika inaitwa 'War Witch'.
 
Kwanini tusiutumie huo uchawi kuifanya Tanzania iwe na uchumi mkubwa duniani?
 
Na Vile Vita vya Maji Maji kuna watu mpaka leo wanajua ni uongo,
 
Ikulu ya Kinshasa DRC, Rais Felix Tsheked baada ya kushika kiti aliwahi kuwaalika Wachawi maarifu wote Nchini DRC kufika Ikulu na kusaidia kuongeza nguvu kuwakabili M23 muhula wake wa pili!

Wachawi hawa kwa pamoja waliahidi kushinda Vita na walisema wako pamoja na Rais Tsheked.

Usilolijua Vita vya Afrika ukiondoa uwezo wa kijeshi kibajeti nk, Basi elewa kuwa 99.9% huamuliwa na uwezo wa Uchawi wa upande mmoja.

Vita vya Uganda vs Tz ilifika kipindi Mwalimu Nyerere akaenda kuwachukua washirikina wa Kimakonde Msumbiji wakaenda kutoa msaada mkubwa sana kwenye uwanja wa vita kazi kuu yao ikiwa ni kuwapiga usingizi mzito majeshi ya amini mchana kweupe!

Hii ni Afrika na Afrika ni mimi na wewe! Heshimuni Mti.
Yeriko mengele ay nyenyere?
 
Ya Majimaji yanafahamika. Haya ya JKN kutumia tunguli ili kumuondoa Nduli ni chai nzito sana.
 
Vita vya Uganda vs Tz ilifika kipindi Mwalimu Nyerere akaenda kuwachukua washirikina wa Kimakonde Msumbiji wakaenda kutoa msaada mkubwa sana kwenye uwanja wa vita kazi kuu yao ikiwa ni kuwapiga usingizi mzito majeshi ya amini mchana kweupe!
Ulikuwa umeshazaliwa wakati huo? Maana haijaandikwa mahali kwamba utasoma kama historia!
 
Back
Top Bottom