Unaweza kunifanya nilie asubuhi. Hii kitu huniuma sana kila ninapokumbuka.Sijui Zanzibar ilitumia uchawi GANI kuiroga Tanganyika? Yaani tumepigwa na kitu kizito sana
Hako kababu sioni hata umuhimu wake.Unaweza kunifanya nilie asubuhi. Hii kitu huniuma sana kila ninapokumbuka.
Ila hawa washikaji majini sana, wanatufinya halafu tunachekelea. Hakuna cha msomi wala mjinga, wote hatushtuki.
Nyerere alituponza.
Asante kwa mwaliko nitarejea hapa💪🏿
Mulozi= mchawi🤣🤣🤣
Balozi wote walikuwamo kwa mu state house.🤣🤣🤣
Walozi=Waganga, wachawi kwa muluga ya mucongo yetu.
Usitake kuniloga asubuhi hii.Mulozi= mchawi
Mfumu = Mganga ..
Weka vzr hy lingala yako
hahahahaUsitake kuniloga asubuhi hii.
Ww ni mucongo ya wapi, ya akina mfilisi?
Wewe bado unaamini uchawi na mizimu, naona ukipigwa na gono lingine labda akili itarudiGeneral. Silas Mayunga a.k.a Mti Mkavu hauchimbwi dawa alitenda muujiza huo.
Yeriko mengele ay nyenyere?Ikulu ya Kinshasa DRC, Rais Felix Tsheked baada ya kushika kiti aliwahi kuwaalika Wachawi maarifu wote Nchini DRC kufika Ikulu na kusaidia kuongeza nguvu kuwakabili M23 muhula wake wa pili!
Wachawi hawa kwa pamoja waliahidi kushinda Vita na walisema wako pamoja na Rais Tsheked.
Usilolijua Vita vya Afrika ukiondoa uwezo wa kijeshi kibajeti nk, Basi elewa kuwa 99.9% huamuliwa na uwezo wa Uchawi wa upande mmoja.
Vita vya Uganda vs Tz ilifika kipindi Mwalimu Nyerere akaenda kuwachukua washirikina wa Kimakonde Msumbiji wakaenda kutoa msaada mkubwa sana kwenye uwanja wa vita kazi kuu yao ikiwa ni kuwapiga usingizi mzito majeshi ya amini mchana kweupe!
Hii ni Afrika na Afrika ni mimi na wewe! Heshimuni Mti.
wa buji bujiSijui Zanzibar ilitumia uchawi GANI kuiroga Tanganyika? Yaani tumepigwa na kitu kizito sana
Ulikuwa umeshazaliwa wakati huo? Maana haijaandikwa mahali kwamba utasoma kama historia!Vita vya Uganda vs Tz ilifika kipindi Mwalimu Nyerere akaenda kuwachukua washirikina wa Kimakonde Msumbiji wakaenda kutoa msaada mkubwa sana kwenye uwanja wa vita kazi kuu yao ikiwa ni kuwapiga usingizi mzito majeshi ya amini mchana kweupe!
Mimi ni askari mstaafuUlikuwa umeshazaliwa wakati huo? Maana haijaandikwa mahali kwamba utasoma kama historia!