Vitabu 14 viliondolewa kwenye biblia, Vatican imeficha nini, ilikusudia Dunia isijie nini?

Vitabu 14 viliondolewa kwenye biblia, Vatican imeficha nini, ilikusudia Dunia isijie nini?

Unajua vitu vingine bwana vinachekesha sana.....kabla ya kuwalaumu Vatcan kwa kupunguza kwanza wapongeze kwa kukuletea biblia. Biblia ipi unayoijua wewe iliyokuwa na vitabu vyote hivyo mpaka useme walipunguza?
Aliepunguza vitabu ni Martin Luther, huyo ndio wakumlaumu, wakristo wamekuwa na vitabu 72/73 kwa miaka yote na wakiitumia bibilia hadi 1517 muasi alivyoamua kuyakoroga.
 
Ndio hii dini siyo ya halali wanaogopa ukweli utafichuka yesu siyo mungu
 
Ndio hii dini siyo ya halali wanaogopa ukweli utafichuka yesu siyo mungu
Wewe yakwako ya majini mtu mmoja kawadanganya ndio dini? Yani miaka 636 baada ya Yesu ndio atokee chizi mmoja ajifanye anajua kuliko aliowakuta. False prophet. Kachanganya mafile ya vitabu vilivyokuwa reject injili feki kabeba na hadithi zake kachanganya na mambo ya wasalafi , c'mon. Embu tulia.
 
Kabla ya kiwalaumu wavatican kumbuka bibilia yao Ina vitabu 72. Wahoji kwanza wasabato na madhehebu ya prostant yenye bibila ya vitabu 65 tu ambavyo wamefuta vitabu 7 vya
1.Tobiti
2.Yudithi
3.Hekima ya seleman
4.Yoshua bini Sira
5.Baruku
6. Makabayo 1&2

Je wanania gani na waumini wao?
Waafrika mnaobishania vitabu vya masimulizi ya watu wa kale wa Mashariki ya Kati😂😂😂😴
 
Mary makdalena alikuwa na Gospel yake kweli? Basi itakuwa na mambo ndio maana ikafichwa.
 
Niende kwenye hoja.

Historian ya Vatican inafahamika wajuzi wanajua yakiyomo lkn ama wanajua au hawajui kwamba Vatican iliviondoa vitabu 14 kwenye biblia maafuru "the hidden books".

Ingawa Bible secret inaonesha Kuna vitabu Zaid ya 70 havimo niwaletee majina ya vitabu 14 vilivyoondolewa kwenye bibilia
Biashara ya wazee ulaya
 
Vilikosa authenticity. Hakuna cha kufichwa hapo mzee. Hiyo Vatican ndiyo imekupa hiyo bibilia unayoisoma. Kama hutaki, ichane unda yakwako.
Kama authenticity haipo why vimekua cited na manabii kwenye Bible?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Dini ni "Utaratibu" wa binadamu aliojiwekea katika kumtafuta Mungu, Tatizo la wengi mna amini kwenye DINI,
Watu mnaabudu katika dini mkiamini kuwa ndipo alipo Mungu,
Mungu haangalii dini ya mtu, anaangalia Moyo wenye kuamini katika YEYE (Mungu).
Kwanini Ukristo umegawanyika kwa kuwepo wanaomini Yesu ni Mungu na wengine wakiamini Si Mungu bali ni Mwana wa Mungu na kwa mujibu wa kitabu cha Mwanzo kimeelezea Mungu hajazaliwa wala kuzaa ?
Uwezo aliopewa Binadamu unamfanya ajaribu kutengeneza theory na mafundisho kwa namna ya upeo wake..
Ulishawahi jiuliza kwann watu walimuamini na wanaendelea kumuamini Luther baada ya kuviondoa hivyo vitabu ?

Naona kitu cha msingi cha kuzingatia ni zile AMRI/KANUNI 10 ndio muongozo kamili na kanuni hizo hazijataja DINI(utaratibu wa kumtafuta Mungu), bali zimesisitiza IMANI
Mengineyo ni stori tu za kujaza kitabu kinachoitwa biblia
 
Book of Jasher kimekua cited na muandishi wa kitabu Cha Joshua kwenye Ile story ya Jua kusimama mpaka vita ikaisha. Vile vile Book of Enoch kimekua cited kwenye kitabu cha Yuda mstari wa 13.

Why wao waki quote ni halali ila sie tunaambiwa haramu?
Umevuta nini? Kitabu cha Yuda? Unasoma biblia gani labda?
 
Vilikosa authenticity. Hakuna cha kufichwa hapo mzee. Hiyo Vatican ndiyo imekupa hiyo bibilia unayoisoma. Kama hutaki, ichane unda yakwako.
We unaongea kama nani? Eti authenticity...
Piga chini the entire bible, mammae
 
Back
Top Bottom