Vitabu 14 viliondolewa kwenye biblia, Vatican imeficha nini, ilikusudia Dunia isijie nini?

Vitabu 14 viliondolewa kwenye biblia, Vatican imeficha nini, ilikusudia Dunia isijie nini?

Biblia imeshinda vita vingi kuanzia waliozuia isitafsriwe, waliozuia watu wasiwe nayo waisome. Sababu ni ujumbe wa Mungu Kwa wanadamu wote..hakuna Mtu anaweza kuificha kamwe hakuna
Ni sahihi. Hizi zingine ni blah blah tu.
 
Mkisoma yalio andikwa wengi mtabaki midomo wazi kama Shilingi tatu!
Mengine mtatubu na kuwa waislam..
 
Tulia Kuna vitabu na mafaili mfano yenye taarifa

Mfalme akiitisha faili wakalimani walitafsiri kama kitabu

Mfano mfalme akataka taarifa ya mtu Fulani alichofanya utaita hicho ni kitabu Mfano zimeitishwa taarifa zako za faili ofisini utaita kitabu? Kuwa kama ilivyoandikwa kwenye kitabu?

pili kitabu Cha Mwanzo wapi kinasema Malaika walizaa na wanadamu? Nionyeshe huo msitari
Kwanza kabisa Mkuu..

Vitabi vyote nilivyotaja Si vitabu vya mfalme akiitisha mkalimani kama unavyosema..
Kumbuka Vitabu hivyo kuna Baadhi ya Hadithi walijaribu Kuelezea Mitume wa Yesu zilizopo humo..

Kwa mfano hadithi ya Yame na Ombre Walivyomsumbua Musa (Hii imetolewa kama rejea Ila huikuti Kwenye agano la kale lolote)..

Vitabu vya Unabii, vitabu vya Ufalme, Kitabu cha yashari ambacho kinaelezea Siri za Ulimwengu na Kuumbwa kwake mbona Hakipo??

Pili Inaonekana Sio Msomaji Mzuri wa Biblia kuhusu Kupatikana kwa Manefili Kitabu cha mwanzo kimeandika..

Unajua kwanini Gharila ya Nuhu Ilitokea? Kwa mujibu wa Kitabu cha Henoki na Mwanzo??
Soma mwanzo 6..

Sasa Niambie Kilichoandkwa hapa Kinatofauti gani na Kitabu cha Henoki au kwa kuwa henoki imeenda Into details

Special kabisa Soma mwanzo 6:4
Screenshot_20240531_182748_Biblia.jpg
 
Kwanini Roho Mtakatifu aruhusu ukumbe wake uondolewe na Vatican chini ya binadamu? Atakuwa Roho Mtakatifu mfu huyo.
Agano la kale linahusu wayahudi na wako ndio Wenye Hilo agano la kale vitabu 39 hawajawahi maisha Yao yoye kutambua hivyo vitabu sijui vya Henoko Nk na wayahudi walijua kusoma na kuandika kutoka enzi za Musa huko na Wana maandishi Yao hivyo vitabu hawavitambui

Sasa how comes mndengereko Leo aibuke aseme navutambua kazaliwa kwenye upagani huko Babu yake alikuwa mpagani yeye ndie kajua dini leo
 
Agano la kale linahusu wayahudi na wako ndio Wenye Hilo agano la kale vitabu 39 hawajawahi maisha Yao yoye kutambua hivyo vitabu sijui vya Henoko Nk na wayahudi walijua kusoma na kuandika kutoka enzi za Musa huko na Wana maandishi Yao hivyo vitabu hawavitambui

Sasa how comes mndengereko Leo aibuke aseme navutambua kazaliwa kwenye upagani huko Babu yake alikuwa mpagani yeye ndie kajua dini leo
Lakini Kitabu Cha Henock kinatambuliwa na Wayahudi sasa Sijui weewe Unazungumzia wayahudi wapi
 
Mkuu Hebu tuingie Kwenye Mjadala usioumiza Sasa!..
Unapimaje Authenticity ya Vitabu kwenye Biblia?

Pili unaposema hakukuwa na biblia yenye Vitabu zaidi ya 73 Unarefer kutoka kwenye History ipi ya kanisa?

Maana Churches History Inasuggests Vitabu vilipunguzwa (Kasome Churches History Iliyoandikwa na Churches Fathers)..

Kingine Miongoni mwa makanisa Yote ya Mwanzo Early churches kama Orthodox (early Eastern Church) na Roman Catholic (Early Western churches) Yaliyoanza karne ya 4 mpaka 7 yote yana Biblia Yenye Vitabu sawa au zaidi Ya 73..

Lakini makanisa Mengi yaliyoanza karne ya 17 mpaka 19 Mengi yana biblia Yenye Vitabu 66 Unaweza kusema neno kwenye hilo???
Yani ni hivi, hakujawahi kuwa na bibilia isiyokuwa na vitabu 73. Yani vitabu vilikuwa scattered, St Jerome Ali spearhead compilation lakini ni magisterium ya kanisa , ndio ilikuwa na jukumu la kufanya authentication chini ya Roho Mtakatifu. Rejea pale Yesu alipopaa alisema maneno gani. Ukitaka Church history tafuta kitabu kinaitwa Didache!! Hii kabla ya bibilia ilikuwa ni kama bibilia.
Orthodox sio early church. Schism ilikuwa 1053.
Catholic church Lina eastern na western(latin) rites. Orthodox pia wana east na west. Roman ni neno jipya la 17th century, hakuna kanisa linaitwa Roman catholic.
Bibilia ya vitabu 66 alivichoropoa Martin Luther 1500s, na alitaka pia kutoka James na revelation kama hujui, na walibishana na Ulrich Zwingli. Mababa wa reformation. Alivitoa kisa haviendani na matakwa na mafundisho yake. Alijipa mamlaka juu ya kanisa. Ila wakristo kabla ya huo uasi bibilia ilikuwa ni vitabu 73 au 72 (kama makabayo 1 na 2) utaita kitabu kimoja.
 
Yani ni hivi, hakujawahi kuwa na bibilia isiyokuwa na vitabu 73. Yani vitabu vilikuwa scattered, St Jerome Ali spearhead compilation lakini ni magisterium ya kanisa , ndio ilikuwa na jukumu la kufanya authentication chini ya Roho Mtakatifu. Rejea pale Yesu alipopaa alisema maneno gani. Ukitaka Church history tafuta kitabu kinaitwa Didache!! Hii kabla ya bibilia ilikuwa ni kama bibilia.
Orthodox sio early church. Schism ilikuwa 1053.
Catholic church Lina eastern na western(latin) rites. Orthodox pia wana east na west. Roman ni neno jipya la 17th century, hakuna kanisa linaitwa Roman catholic.
Bibilia ya vitabu 66 alivichoropoa Martin Luther 1500s, na alitaka pia kutoka James na revelation kama hujui, na walibishana na Ulrich Zwingli. Mababa wa reformation. Alivitoa kisa haviendani na matakwa na mafundisho yake. Alijipa mamlaka juu ya kanisa. Ila wakristo kabla ya huo uasi bibilia ilikuwa ni vitabu 73 au 72 (kama makabayo 1 na 2) utaita kitabu kimoja.
Vizuri Sana kabla ya Kuendelea Kujenga Hoja Nataka Kusafisha Baadhi ya Vitu..

Kwanza kabisa Maybe Huijui Story Vizuri Ya Biblia Nachozungumzia Sizungumzii Tafsiri ya Biblia Nachozungumzia Ni Manuscript pamoja na Codex mbalimbali.. (Nikisema Hivi sijui unanielewa)..

Manuscripts Za biblia Zinatofautiana wingi wa Vitabu na Hata Codex pia..(Hapa tutaendelea Kudiscuss Kama tu Utakuwa unajua)..

Pili Didache sio Miongoni mwa Vitabu vya Church's History..

Didache Ni kitabu kama Muongozo wa Mafundisho ya Mitume 12 (Wale wanafunzi wa yesu)..

Didache haitofautiani sana na Matendo ya Mitume humo kuna maswala ya Ubatizo, Ekaristi, maadili na Miongozo ya Kanisa..

Tatu authentification Ya Biblia haikufanywa na Roho mtakatifu Ilifanywa chini Ya utawala wa Roma baada ya kuonekana Mpasuko Baina ya Kanisa la Magharibu (Western churches) na kanisa la Mashariki (Eastern churches) ambalo lilikuwa linamuunga mkono Arius..

Na ndipo Zilipoanza Ecumenical councils (zile Main 7 na zingine za Ziada)..kuanzia kwa Council of Naecea...

Nne
kuhusu Churches History I suggests Usome Vitabu vya Church's Father...Eusebius of Caesarea. Ambaye Anafahamika kama Father of Church History na kwa kuanzia Soma Ecclesiastical History...ambacho kimeandikwa Kati ya mwaka 260 Mpaka 340 AD..
msome Pia Socrates Scholasticus, Sozomen na Theodoret of Cyrus...

Hapa utakuwa Umejua Historia Yote tena Iliyotukuka


Tano Kuhusu Early churches na orthodox unaweza ukapitia Watu hao juu na vitabu vyao ukajifunza zaidi ila nitakuelimisha kidogo..

Ukisoma Doccuments Zote za Early churches Utagundua kanisa Lilikuwa Moja licha ya Kuwa Na Pande mbili ambazo ni Eastern Church na Western churches of the Roman Empire..

nimeshangaa sana hujui Western church Of the Roman Empire was actually Recognised As Catholic churches?

Na pia Hujui wanaposema Early Eastern Churches wanamaanisha Orthodox churches?..

Kwanza kabisa hakuna Western Orthodoc Churches...

Kuanzia karne ya Kwanza kulikuwa na Kanisa Moja Ambalo waliliita Kanisa La mitume likiwa Lina mafundisho yanayofanana kama ya kwenye Didache ila baadaye Kutokana na upande Kila mmoja akawa na mafundisho yake Wa Magharibu na wa Mashariki pia..

Ilikuwa Kuwashinda kuendelea Kuwa pamoja kwa sababu ya Utofauti wa Kimafundisho na Rasmi mwaka uliotaja 1054 AD ndo kulitokea Great schisms Na wakagawanyika Mara Mbili western ambayo ikawa catholic na Eastern ambayo ikawa Eastern Orthodox..


sasa tuchane na hayo Imenishangaza sana Kussma kuwa Biblia ilikuwa Hivyo Hivyo na vitabu 73..

Umesahau Hata Tanakh (Agano la kale) au Vitabu vya Kiyahudi viilikuwa canonised na Council of Jamnia (or Yavne) na ilifanyika Baada ya Kubomolewa kwa Hekalu (Kulikotokea mwaka 70 AD) council ilikaa mwaka 90 CE.(90 AD)..

"Sawa hii unaweza usiikumbuke sababu Inahusisha sana maswala ya Masomo ya Textual analysis ya OT (old Test...)"

Ila nimeshtuka Kugundua Hata Canonisation ya NT (New Testa..) pia Hujui ilifanyika Lini?..

Canonisation Ilianza mwaka 325 AD Chini Ya council of Naecea ambapo hapa ndo kulitungwa Sheria za Canon (kuvuviwa) au Pigrapha Law..

Ndo zilizotumika na Council of Rome (382 CE): chini ya Pope Damasus I, hii council ndo ili produced a list of canonical scriptures, ambayo ndo ilitupatia vitabu vya agano Jipya baadae Synod of Hippo (393 CE) ndo walipitia maamuzi ya Council of Rome na wakaviconfirm hivyo Vitabu na Kudecree kuwa ndivyo Canon na baadae Councils of Carthage (397 and 419 CE) ndo liliviweka Pamoja vyote Vitabu Vya agano Jipya kwenye Mkusanyiko Mmoja..

Kuhusu Kuviunganisha Vitabu vyote kati ya Agano Jipya na agano la Kale hapa ndo kuliibuka Mtiti mwingine Kati ya Makanisa hapa Nitaelezea Siku nyingine nikihitajika Japo Ilikuja kufanikiwa Kuunganishwa na kukawa kitabu kimoja..

But Hiyo ilikuwa ni Kazi ya Councills Ila kulikuwa na Manuscripts Zaidi ya 500 na Codex kibao tu na sio vitabu 73 kama unavyosema...

Asante na karibu kwenye mjadala
 
Niende kwenye hoja.

Historian ya Vatican inafahamika wajuzi wanajua yakiyomo lkn ama wanajua au hawajui kwamba Vatican iliviondoa vitabu 14 kwenye biblia maafuru "the hidden books".

Ingawa Bible secret inaonesha Kuna vitabu Zaid ya 70 havimo niwaletee majina ya vitabu 14 vilivyoondolewa kwenye bibilia
Kavirudishe
 
Vizuri Sana kabla ya Kuendelea Kujenga Hoja Nataka Kusafisha Baadhi ya Vitu..

Kwanza kabisa Maybe Huijui Story Vizuri Ya Biblia Nachozungumzia Sizungumzii Tafsiri ya Biblia Nachozungumzia Ni Manuscript pamoja na Codex mbalimbali.. (Nikisema Hivi sijui unanielewa)..

Manuscripts Za biblia Zinatofautiana wingi wa Vitabu na Hata Codex pia..(Hapa tutaendelea Kudiscuss Kama tu Utakuwa unajua)..

Pili Didache sio Miongoni mwa Vitabu vya Church's History..

Didache Ni kitabu kama Muongozo wa Mafundisho ya Mitume 12 (Wale wanafunzi wa yesu)..

Didache haitofautiani sana na Matendo ya Mitume humo kuna maswala ya Ubatizo, Ekaristi, maadili na Miongozo ya Kanisa..

Tatu authentification Ya Biblia haikufanywa na Roho mtakatifu Ilifanywa chini Ya utawala wa Roma baada ya kuonekana Mpasuko Baina ya Kanisa la Magharibu (Western churches) na kanisa la Mashariki (Eastern churches) ambalo lilikuwa linamuunga mkono Arius..

Na ndipo Zilipoanza Ecumenical councils (zile Main 7 na zingine za Ziada)..kuanzia kwa Council of Naecea...

Nne
kuhusu Churches History I suggests Usome Vitabu vya Church's Father...Eusebius of Caesarea. Ambaye Anafahamika kama Father of Church History na kwa kuanzia Soma Ecclesiastical History...ambacho kimeandikwa Kati ya mwaka 260 Mpaka 340 AD..
msome Pia Socrates Scholasticus, Sozomen na Theodoret of Cyrus...

Hapa utakuwa Umejua Historia Yote tena Iliyotukuka


Tano Kuhusu Early churches na orthodox unaweza ukapitia Watu hao juu na vitabu vyao ukajifunza zaidi ila nitakuelimisha kidogo..

Ukisoma Doccuments Zote za Early churches Utagundua kanisa Lilikuwa Moja licha ya Kuwa Na Pande mbili ambazo ni Eastern Church na Western churches of the Roman Empire..

nimeshangaa sana hujui Western church Of the Roman Empire was actually Recognised As Catholic churches?

Na pia Hujui wanaposema Early Eastern Churches wanamaanisha Orthodox churches?..

Kwanza kabisa hakuna Western Orthodoc Churches...

Kuanzia karne ya Kwanza kulikuwa na Kanisa Moja Ambalo waliliita Kanisa La mitume likiwa Lina mafundisho yanayofanana kama ya kwenye Didache ila baadaye Kutokana na upande Kila mmoja akawa na mafundisho yake Wa Magharibu na wa Mashariki pia..

Ilikuwa Kuwashinda kuendelea Kuwa pamoja kwa sababu ya Utofauti wa Kimafundisho na Rasmi mwaka uliotaja 1054 AD ndo kulitokea Great schisms Na wakagawanyika Mara Mbili western ambayo ikawa catholic na Eastern ambayo ikawa Eastern Orthodox..


sasa tuchane na hayo Imenishangaza sana Kussma kuwa Biblia ilikuwa Hivyo Hivyo na vitabu 73..

Umesahau Hata Tanakh (Agano la kale) au Vitabu vya Kiyahudi viilikuwa canonised na Council of Jamnia (or Yavne) na ilifanyika Baada ya Kubomolewa kwa Hekalu (Kulikotokea mwaka 70 AD) council ilikaa mwaka 90 CE.(90 AD)..

"Sawa hii unaweza usiikumbuke sababu Inahusisha sana maswala ya Masomo ya Textual analysis ya OT (old Test...)"

Ila nimeshtuka Kugundua Hata Canonisation ya NT (New Testa..) pia Hujui ilifanyika Lini?..

Canonisation Ilianza mwaka 325 AD Chini Ya council of Naecea ambapo hapa ndo kulitungwa Sheria za Canon (kuvuviwa) au Pigrapha Law..

Ndo zilizotumika na Council of Rome (382 CE): chini ya Pope Damasus I, hii council ndo ili produced a list of canonical scriptures, ambayo ndo ilitupatia vitabu vya agano Jipya baadae Synod of Hippo (393 CE) ndo walipitia maamuzi ya Council of Rome na wakaviconfirm hivyo Vitabu na Kudecree kuwa ndivyo Canon na baadae Councils of Carthage (397 and 419 CE) ndo liliviweka Pamoja vyote Vitabu Vya agano Jipya kwenye Mkusanyiko Mmoja..

Kuhusu Kuviunganisha Vitabu vyote kati ya Agano Jipya na agano la Kale hapa ndo kuliibuka Mtiti mwingine Kati ya Makanisa hapa Nitaelezea Siku nyingine nikihitajika Japo Ilikuja kufanikiwa Kuunganishwa na kukawa kitabu kimoja..

But Hiyo ilikuwa ni Kazi ya Councills Ila kulikuwa na Manuscripts Zaidi ya 500 na Codex kibao tu na sio vitabu 73 kama unavyosema...

Asante na karibu kwenye mjadala
Hakuna kitu unajua, kama Didache tu imekushinda.
Orthodox hujui ni Nini,!?
Roma? Roma? Aisee, confidence in error or rather stupidity equals pride. Satan's pride helped him.
 
Hakuna kitu unajua, kama Didache tu imekushinda.
Orthodox hujui ni Nini,!?
Roma? Roma? Aisee, confidence in error or rather stupidity equals pride. Satan's pride helped him.
I think kama una kitu lets Discuss Together!

Kuhusu Error!
Kama unaweza onyesha Mahali Nimesema Uongo kwenye maelezo yangu au Nimeonyesha even slightly misleading..
Nitapokea

Kuhusu Didache nimekujibu..
NA nachoshangaa kuwa kuna hoja nyingi nimeandika na hujajibu hata moja hiyo inaonyesha umezikubali na haziitaji clarification, Thanks


Na as Theologian Church history Ilikuwa Among My specialty so If ukitaka We May discuss It Pia..

Nina Confidence kwa Sababu Ninachokiandika Licha ya Kukisoma Ni kuwa nakijua Vizuri sana..

Nilikujibu Kuwa Didache Ni kama Tu mwendelezo wa Matendo ya Mitume (Acts of Apostle) na ndo maana huwa haviwi Considered as Churches History Though Inacontain History ya mwanzo kabisa ya Mitume na Mambo yao yote..

Usisahau Didache Imekuwa Compiled Before 300AD..Wakati Much of Churches History and Evolution started 325 AD on council of Naecea and Other Ecumenical Council Follow up..

Mwisho am not Pride for What i Know, I just Expressed so Others will not be deceived..

Kingine to declare interests, Am not A catholic or Any other Religion As for Now..
 
Niende kwenye hoja.

Historian ya Vatican inafahamika wajuzi wanajua yakiyomo lkn ama wanajua au hawajui kwamba Vatican iliviondoa vitabu 14 kwenye biblia maafuru "the hidden books".

Ingawa Bible secret inaonesha Kuna vitabu Zaid ya 70 havimo niwaletee majina ya vitabu 14 vilivyoondolewa kwenye bibilia
Ewe msabato ujinga huu wakuupinga ukatoliki itakusaidia lini?
 
Hivi kunacho kinataja ujio wa Uislamu, maana huwa najiuliza hawa watu na mabomu yao walitoka wapi, hawajatajwa au kubashiriwa na andiko lolote kihistoria, muarabu aliibuka Jangwani akaandika kitabu na kuanza kulazimisha watu wengine wakikatwa vichwa.
 
Hivi kunacho kinataja ujio wa Uislamu, maana huwa najiuliza hawa watu na mabomu yao walitoka wapi, hawajatajwa au kubashiriwa na andiko lolote kihistoria, muarabu aliibuka Jangwani akaandika kitabu na kuanza kulazimisha watu wengine wakikatwa vichwa.
KAMA HUYU NABII SAMWELI WA WAYAHUDI ALIVYOMKATA AGAGI VIPANDE VIPANDE KAMA NYAMA YA MBUZI

Lakini Samweli akamjibu, Kama upanga wako ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto wao, vivyo hivyo mama yako atafiwa miongoni mwa wanawake. Basi Samweli akamkata Agagi vipande mbele za Bwana huko Gilgali.

1 Samueli 15:33
 
Agano la kale vitabu vyote hakukuwa Wala na ubishani
Wakristo wali copy na ku paste tu kutoka kwenye Biblia ya kiyahudi yaani Jewish Bible ambayo inaanzia kitabu Cha Mwanzo na Kuishia Malaki

Jewish Bible waweza download Ina vitabu 39

Mtu akisema ohh kanisa Katoliki lilificha uongo

Vitabu hivyo vingine watu waliokota majalalani huko na wanajaribu kupigania virudi vimejaa mafundisho ya mashetani vinapingana Hadi na Yesu mwenyewe

Yesu akisema Malaika Hawaoi Wala kuolewa wala kuzaa lakini kitabu Cha Henoko kinasema Malaika walioa na walizaa na wanadamu wakazaliwa majitu wanefili ambayo ndio Goliath alitokea
Kuoa na kuzaa ni issue mbili tofauti so hakuna contradictions hapo unaweza zaa na mwanamke hata kama hujamuoa.. pengine ndio Mungu alikasirika akawaangamiza vizazi hivyo japo nasikia kuna vilivyosurvave gharika hata huyo Goliath
 
Havikuwa na Roho Mtakatifu ndio maana. Alafu vilijaa errors kibao. Kuna kitu kinaitwa magisterium kipo tangu agano la kale agano jipya ilianzia na wale mitume 12, hao ndio walikuwa wanakaa wanasali na kupewa sauti na roho wa Mungu.

Sasa hao watu walikuwa katika kanisa la kwanza ambalo ndio katoliki na ndio maana vitabu vikawa 72. Sasa viranga ni kina Luther na waliofuata maana aliviondoa vitabu 6 ambavyo watu walikuwa wakivitumia kwa miaka 1500 Yani. Hakuwa na mamlaka wala nini ,kisa aliona havifuati mafundisho yake. Kwahiyo waprotestanti wanasoma kipande cha biblia tu.
Kwa hiyo wazungu wa Rome walikuwa wanamjua zaidi Yesu kuliko wale wayahudi ambao alizaliwa kwao?
 
Mkisoma yalio andikwa wengi mtabaki midomo wazi kama Shilingi tatu!
Mengine mtatubu na kuwa waislam..
Uislamu ulianzishwa na hao hao Latin Romans church wakiwatumia puppets kama
Monk Bahira,Walaqa bin Nauf na Mohammad Abdula bin Mutalib

Kiufupi haujui inside job ya hizi unazoziita dini
Walitumia kanuni ya

Mvinyo mpya chupa ya zamani!
 
Back
Top Bottom