Vitabu 14 viliondolewa kwenye biblia, Vatican imeficha nini, ilikusudia Dunia isijie nini?

Vitabu 14 viliondolewa kwenye biblia, Vatican imeficha nini, ilikusudia Dunia isijie nini?

Ila Christ katik mafundisho yake alikuwaga kwa baba tangu milele yote, fahar ya suleman, ibrahamu, Eliaya hata kabla ya dunia yeye alikuwepo
 
Kuna uwezekano havikuwa Sahihi.. Kuna ambavyo Quran imevichukua kama cha Alexander the Great mtume wa Waislam aliyefanikiwa kufika eneo lenye matope na ndio Jua lipozama kila siku kwa amri ya Allah na Hadith za watoto za Mfalme Suleiman Mwenye Flying Carpet eti alibeba falme yake yote kwenye carpet akasafiri kwa muda wa Mwezi mmoja angani. Fairy tale story.
 
Niende kwenye hoja.

Historian ya Vatican inafahamika wajuzi wanajua yakiyomo lkn ama wanajua au hawajui kwamba Vatican iliviondoa vitabu 14 kwenye biblia maafuru "the hidden books".

Ingawa Bible secret inaonesha Kuna vitabu Zaid ya 70 havimo niwaletee majina ya vitabu 14 vilivyoondolewa kwenye bibilia
vatican ni upagani ndani ya ukristo,biblia ni adui yao mkubwa, wanafanya juu chini kuingamiza
 
Luther ni star wa wakati wake, alifanya utume wake na nyakati zake zilipita. Sasa hivi nuru ya jioni wanakuambia ni wakati wa willium mario branham ndio star wa nyakati hizi na wanakuambia ni mjumbe wa mwisho. Hizo ni hatua za kukua kwa kanisa tangu kale kutoka kwa wana wa israel
 
Vatican hawana mwongozo sahihi wa vitabu vya biblia maana hata Yesu Kristo wa galilaya hawamwamini na wao ndio waliomsulubisha na kulibomoa hekalu la Mfalme Suleimani 40 A.D.
Hiyo biblia yao sio biblia halisi ya kikristo ni ya kidini, itikadi na siasa.
 
Vatican hawana mwongozo sahihi wa vitabu vya biblia maana hata Yesu Kristo wa galilaya hawamwamini na wao ndio waliomsulubisha na kulibomoa hekalu la Mfalme Suleimani 40 A.D.
Hiyo biblia yao sio biblia halisi ya kikristo ni ya kidini, itikadi na siasa.
Uzuri wa RC Wapo wazi kwa hilo. wakati watu wengine (makanisa) wakisema imani yao ni inatokana na kilichopo kwenye biblia na biblia pekee, wakatolik wanasema imani yao si kwenye biblia tu bali pia wana vyanzo vingine vya imani yao
 
Niende kwenye hoja.

Historian ya Vatican inafahamika wajuzi wanajua yakiyomo lkn ama wanajua au hawajui kwamba Vatican iliviondoa vitabu 14 kwenye biblia maafuru "the hidden books".

Ingawa Bible secret inaonesha Kuna vitabu Zaid ya 70 havimo niwaletee majina ya vitabu 14 vilivyoondolewa kwenye bibilia
Anayeamua vitabu viwrpo au visiwepo ni nani?
 
Hakuna sifa ya wachache kwaajili ya wengi. Hivi vilivyopo sasa wamefanya modification kwasababu IQ ya wale wahusika ilikuwa ndogo hivyo vimekuwa hijacked. Ila vile vingine vilivyoondolewa hamna namna ya kumodify kwasababu IQ ya wale ni bestest of the bestest.

#learnthefact
Wamemodifify ili kuruhusu kuabudu majini na mapepo au ili kuiongeza Habari yaupendo na imani?

Nyie shida yenu muone sehemu imeandikwa kuabudu majini ruksa hamna kingine

Kama Habari za kuacha dhambi na kumcha bwana kwa roho na kweli zimo kwenye biblia hii shida yako Nini !?
 
Sijui MTU anapata wapi nguvu ya kufuta maneno ya Mwenyezi Mungu
Hakujawahi kuwa na bibilia iliyozidi vitabu 73. Wakati kanisa linaunda bibilia, vingi havikuwekwa sababu ya kukosa authenticity, vina story za uongo nk. Ndio hivyo vingine Muhammad alibeba story za uongo huko. The false gospels.
 
Hakujawahi kuwa na bibilia iliyozidi vitabu 73. Wakati kanisa linaunda bibilia, vingi havikuwekwa sababu ya kukosa authenticity, vina story za uongo nk. Ndio hivyo vingine Muhammad alibeba story za uongo huko. The false gospels.
Mkuu Hebu tuingie Kwenye Mjadala usioumiza Sasa!..
Unapimaje Authenticity ya Vitabu kwenye Biblia?

Pili unaposema hakukuwa na biblia yenye Vitabu zaidi ya 73 Unarefer kutoka kwenye History ipi ya kanisa?

Maana Churches History Inasuggests Vitabu vilipunguzwa (Kasome Churches History Iliyoandikwa na Churches Fathers)..

Kingine Miongoni mwa makanisa Yote ya Mwanzo Early churches kama Orthodox (early Eastern Church) na Roman Catholic (Early Western churches) Yaliyoanza karne ya 4 mpaka 7 yote yana Biblia Yenye Vitabu sawa au zaidi Ya 73..

Lakini makanisa Mengi yaliyoanza karne ya 17 mpaka 19 Mengi yana biblia Yenye Vitabu 66 Unaweza kusema neno kwenye hilo???
 
Biblia takatifu ina vitabu 66. Vitabu 39 kutoka agano la kale na 27 katika agano jipya
Agano la kale vitabu vyote hakukuwa Wala na ubishani
Wakristo wali copy na ku paste tu kutoka kwenye Biblia ya kiyahudi yaani Jewish Bible ambayo inaanzia kitabu Cha Mwanzo na Kuishia Malaki

Jewish Bible waweza download Ina vitabu 39

Mtu akisema ohh kanisa Katoliki lilificha uongo

Vitabu hivyo vingine watu waliokota majalalani huko na wanajaribu kupigania virudi vimejaa mafundisho ya mashetani vinapingana Hadi na Yesu mwenyewe

Yesu akisema Malaika Hawaoi Wala kuolewa wala kuzaa lakini kitabu Cha Henoko kinasema Malaika walioa na walizaa na wanadamu wakazaliwa majitu wanefili ambayo ndio Goliath alitokea
 
Biblia takatifu ina vitabu 66. Vitabu 39 kutoka agano la kale na 27 katika agano jipya
Wewe sawa na mimi tu, tumezaliwa tumekuta vipo hivyo na vinatumika na baada ya hapo hatukuwahi kutafuta ukweli wala kuhoji kisa tumejazwa hofu kwamba mambo ya Mungu hayahojiwi.
 
Agano la kale vitabu vyote hakukuwa Wala na ubishani
Wakristo wali copy na ku paste tu kutoka kwenye Biblia ya kiyahudi yaani Jewish Bible ambayo inaanzia kitabu Cha Mwanzo na Kuishia Malaki

Jewish Bible waweza download Ina vitabu 39

Mtu akisema ohh kanisa Katoliki lilificha uongo

Vitabu hivyo vingine watu waliokota majalalani huko na wanajaribu kupigania virudi vimejaa mafundisho ya mashetani vinapingana Hadi na Yesu mwenyewe

Yesu akisema Malaika Hawaoi Wala kuolewa wala kuzaa lakini kitabu Cha Henoko kinasema Malaika walioa na walizaa na wanadamu wakazaliwa majitu wanefili ambayo ndio Goliath alitokea
Usisahau Kitabu cha mwanzo pia Kinasema Malaika wanaoa na wanazaa, Vipi na chenyewe Mbna hakikuondolewa??..

Kama Kitabu cha Henok hakikufaa kuingia kwenye Biblia Kwanini Baadhi ya Maandiko Yanavitaja Na maandiko hayo yakiwa Ndani ya Vitabu hivyo viitwavyo vitakatifu..?

Vipi Kuhusu vitabu Vingine Vinavyotolewa Reffetence au kitajwa na Biblia ila Havipo kwenye Biblia Vimeenda wapi??
  • KITABU CHA YASHARI (THE BOOK OF JASHER)
Yoshua 10:13

"Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao. Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima...."

Pia Unaweza kusoma
2 Samweli 1:18

"(kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Yashari), akasema, Wana wa Yuda na wafundishwe haya,

(Also he bade them teach the children of Judah the use of the bow: behold, it is written in the book of Jasher.)"


  • Book Of the Wars Of the Lord (Kitabu cha Vita Ya Bwana?
Hesabu 21:14

"Kwa hiyo imesemwa katika chuo cha Vita vya BWANA, Wahebu katika Sufa, Na bonde za Arnoni,

Wherefore it is said in the book of the wars of the LOR
D, What he did in the Red sea, and in the brooks of Arnon,"

  • The Chronicles of the Kings of Israel and Chronicles of the Kings of Judah(Kitabu vha Historia ya Wafalme wa Yuda na israel)

1 Wafalme 14:19,29

[19]Na mambo yake Yeroboamu yaliyosalia, ya kupigana na ya kutawala, tazama, yameandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Israeli.

[29]Na mambo yake Rehoboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Yuda?

And the rest of the acts of Jeroboam, how he warred, and how he reigned, behold, they are written in the book of the chronicles of the kings of Israel.

Now the rest of the acts of Rehoboam, and all that he did, are they not written in the book of the chronicles of the kings of Judah?

  • KITABU CHA MATENDO YA UZZIAH kilichoandikwa na Isaya
2 Chronicles 26:22

  • KITABU CHA MWONAJI (NABII) ,The book of saying of seers
2 Chronicles 33:19


  • Kitabu cha Maombolezo Kilichotajwa Kwenye Biblia Ni tofauti na Kitabu cha Maombolezo Tulicho Nacho sisi...

2 Mambo ya Nyakati 35:25

Naye Yeremia akamlilia Yosia; na waimbaji wote waume kwa wake wakamtaja Yosia katika maombolezo yao, hata leo; hata wakayafanya kuwa ada kwa Israeli; nayo, tazama, yameandikwa katika maombolezo.


  • Kitabu cha Taarifa Mbele ya Mfalme..
Esta 2:23
Na jambo hilo lilipochunguzwa, na hakika ikapatikana, hao wote wawili wakatundikwa juu ya mti. Hayo pia yakaandikwa katika kitabu cha taarifa mbele ya mfalme.

And when inquisition was made of the matter, it was found out; therefore they were both hanged on a tree: and it was written in the book of the chronicles before the king.


Soma na Esta 6:1, Esta 10:2


VITABU VINGINE AMBAVYO HAVIPO KWENYR BIBLIA...
  • The Book of Shemaiah the Prophet and Story of the Prophet Iddo (Soma 2 Nyakati 9:29, 2 Nyakati 12:15 pia 2 Nyakati 13:22)

Na Vingine Vingi ila Tuishie hapo kwanza..
 
Usisahau Kitabu cha mwanzo pia Kinasema Malaika wanaoa na wanazaa, Vipi na chenyewe Mbna hakikuondolewa??..
Kama Kitabu cha Henok hakikufaa kuingia kwenye Biblia Kwanini Baadhi ya Maandiko Yanavitaja Na maandiko hayo yakiwa Ndani ya Vitabu hivyo viitwavyo vitakatifu..?

Vipi Kuhusu vitabu Vingine Vinavyotolewa Reffetence au kitajwa na Biblia ila Havipo kwenye Biblia Vimeenda wapi??
  • KITABU CHA YASHARI (THE BOOK OF JASHER)
Yoshua 10:13

"Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao. Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima...."

Pia Unaweza kusoma
2 Samweli 1:18

"(kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Yashari), akasema, Wana wa Yuda na wafundishwe haya,

(Also he bade them teach the children of Judah the use of the bow: behold, it is written in the book of Jasher.)"


  • Book Of the Wars Of the Lord (Kitabu cha Vita Ya Bwana?
Hesabu 21:14

"Kwa hiyo imesemwa katika chuo cha Vita vya BWANA, Wahebu katika Sufa, Na bonde za Arnoni,

Wherefore it is said in the book of the wars of the LOR
D, What he did in the Red sea, and in the brooks of Arnon,"

  • The Chronicles of the Kings of Israel and Chronicles of the Kings of Judah(Kitabu vha Historia ya Wafalme wa Yuda na israel)

1 Wafalme 14:19,29

[19]Na mambo yake Yeroboamu yaliyosalia, ya kupigana na ya kutawala, tazama, yameandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Israeli.

[29]Na mambo yake Rehoboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Yuda?

And the rest of the acts of Jeroboam, how he warred, and how he reigned, behold, they are written in the book of the chronicles of the kings of Israel.

Now the rest of the acts of Rehoboam, and all that he did, are they not written in the book of the chronicles of the kings of Judah?

  • KITABU CHA MATENDO YA UZZIAH kilichoandikwa na Isaya
2 Chronicles 26:22

  • KITABU CHA MWONAJI (NABII) ,The book of saying of seers
2 Chronicles 33:19


  • Kitabu cha Maombolezo Kilichotajwa Kwenye Biblia Ni tofauti na Kitabu cha Maombolezo Tulicho Nacho sisi...

2 Mambo ya Nyakati 35:25

Naye Yeremia akamlilia Yosia; na waimbaji wote waume kwa wake wakamtaja Yosia katika maombolezo yao, hata leo; hata wakayafanya kuwa ada kwa Israeli; nayo, tazama, yameandikwa katika maombolezo.


  • Kitabu cha Taarifa Mbele ya Mfalme..

Na Vingine Vingi ila Tuishie hapo kwanza..
Tulia Kuna vitabu na mafaili mfano yenye taarifa

Mfalme akiitisha faili wakalimani walitafsiri kama kitabu

Mfano mfalme akataka taarifa ya mtu Fulani alichofanya utaita hicho ni kitabu Mfano zimeitishwa taarifa zako za faili ofisini utaita kitabu? Kuwa kama ilivyoandikwa kwenye kitabu?

pili kitabu Cha Mwanzo wapi kinasema Malaika walizaa na wanadamu? Nionyeshe huo msitari
 
Biblia imeshinda vita vingi kuanzia waliozuia isitafsriwe, waliozuia watu wasiwe nayo waisome. Sababu ni ujumbe wa Mungu Kwa wanadamu wote..hakuna Mtu anaweza kuificha kamwe hakuna
 
Back
Top Bottom