Wazungu gani wa rome? Mnaongea vitu bila kujua facts. Kwanza magisterium ilijaa wayahudi wafuasi wa Yesu. Hii propaganda ya kudhani roma sijui Rome ndio wameandaa vitabu sijui Nini. Ni ujinga na uvivu wa kusoma. Dola ya Rumi ndio ilikuwa inawaua wakristo kuliko kitu kingine chochote.