Asante ndugu ngoja nikitafuteMind wars.. interesting.
Check ni hiki cha Singer. Hiki kinaelezea mbinu sita zinazotumiwa na taasisi au watu 'wapigaji' na wanavyowarubuni watu na jinis ya kujinasua. View attachment 1864992
Kama jina la kitabu lilivyo. Kinahusu jinsi simba wa miaka ya 80's wakivyosumbua Mikoa ya kusini.Kina husu nini hiki kaka?
Kitabu moja kizuri sana mdau hiki[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji120]Interesting. Reminding me of this!View attachment 1865543
Kinavutia sana. Shukrani kwa kukitaja hapa.Kwa wapenzi wa classic novels kama hizi don't mess with this one.kitabu kina mchanganyiko wa psychology loneliness suspense na mambo kibao ..
Inshort kinahusu mwana mama ambaye ameajiriwa kama house keeper kwenye jumba moja la kitajiri pekee yake ..but guess what ..vitu vinaanza ku unfold ..siri nzito zinajulikana ...by the way hiki kitabu nlikwapuaga kwenye stoo ya shule way back huko nikiwa secondary early 2013View attachment 1865872
Asante kaka. Nitavitafuta pia!Mkuu hongera sana kwa kusoma Guns Germs and Steel. Binafsi nimekisoma pia. Ukitaka kusoma kazi nyingine za aina hiyo tafuta.
1. The Seven Daughters of Eve cha Bryan Sykes
2. The Journey of Man cha Spencer Wells
Hivi nimevisoma vyote vitatu. Cha Wells hapa sina kwa sasaView attachment 1865114
[emoji2]Naam. Hii inakuja kwenye mzizi wa 'hofu'. Katika mazingira kama haya, je mwanadamu atakuwa na dhumuni gani tena katika enzi hizo za AI?Artificial Inteligence!!?,hii imenikumbusha biashara ambayo juzi nimeiona ya midoli ya kike ambayo inauzwa laki 7 na kitu kwa ajili ya wanauwe kupunguza mawazo kwa kusex nayo...Ina sifa ya kutomasika au kubonyea pale unapoigusa iwe kifuani au titi,kifupi unafeel kama uko na mtu na sio mdoli tena.
Aise. Kisa cha Joseph, kinafanana sana na Muktadha wa Adili, kwenye Adili na Nduguze!Ni kwamba jamaa alitambua purpose ya yeye kuwa duniani.
Alipata maono (vision) au ndoto ya wapi apitie kufikia hayo makusudi (purpose).
Wanasema hivi ukitaka kujua maono yako yametoka kwa Mungu juu ya ndoto yako ya kimaisha basi kila mtu atakuona mwehu au mjinga au kichaaa.
Hata Nduguzo na wazazi wako wote watakupinga au kukudharau juu ya hiyo ndoto yako.
Unakumbuka jinsi Yusuf (Joseph) alivyoota ndoto atailisha famila yake yote?
Yaani baba , mama na kaka zake. Nao wote watakuwa chini yake?
Kaka zake walimchukia na kumuuliza unadhani wewe ni bora kuliko sisi? Wakamuita the dreamer. Mwishowe kwa chuki wakamtumbukiza kwenye kisima afe, baadaye wakamtoa na kumuuza utumwani Misri. Kule akapitia jela na mwisho akaishia kuishi nyumba ya mfalme Farao akiwa na mamlaka makubwa.
Baadaye akawasaidia nduguze na kuwalisha na kuwaleta Misri....
Ushauri:
1.Tafuta makusudi(purpose) ya maisha yako hapa duniani kisha utapata maono(vision)/ndoto za nini ufanye kutimiza ndoto zako.
2. Siyo kila mipango yako au ndoto zako zote za kimaisha uwashirikishe watu au nduguzo. Unaweza kujenga chuki kati yenu wakawa kikwazo cha kutimiza ndoto zako.
Soma Biblia Mwanzo 37:1-36..(Bible read Genesis 37:1-36..)
CC: Saint Anne Mshana Jr Carleen Paula Paul nisaidieni kumtag Davinci
nipe bando nikutumieAsante ndugu ngoja nikitafute
nipe bando nikutumieAsante kaka. Nitavitafuta pia!
Umenikumbusha mbali sana, miaka ya 70 huko. Bila ya kusahau kuwa tulianza kufundishwa Fasihi ya Kiswahili . Hapo mwalimu akatueleza kuwa fasihi ni hisi, na kwamba hisi ni mguso. Sisi wajuvi wa Hesabu tukafikia uamuzi kwamba fasihi ni mguso QED.Things fall apart
The river between
Mine boy
No longer at ease
Song of Lawino and Song of Ocol
Is it possible
The African child
Passed Like a shadow
Mabala The farmer
Hawa the bus driver
Nakumbuka nilikuwa napenda sana Literature. Siku moja nikamfuata mwalimu kumuuliza 'What career should I pursue?' akanijibu nakuona kuwa mkalimani au mkutubi. Dah!
Vitabu vya sharma vingi vina lugha nyepesi bt hki aisee ukae na dictionary karibu kina lugha ngumu kimtindo.THE MONK WHO SOLD HIS FERRARI
Moja ya vitabu vizuri sana kwa ajili ya kubadili mindset...A must read naweza kusema.View attachment 1865979
Nakusaidia kumtag Da'VinciNi kwamba jamaa alitambua purpose ya yeye kuwa duniani.
Alipata maono (vision) au ndoto ya wapi apitie kufikia hayo makusudi (purpose).
Wanasema hivi ukitaka kujua maono yako yametoka kwa Mungu juu ya ndoto yako ya kimaisha basi kila mtu atakuona mwehu au mjinga au kichaaa.
Hata Nduguzo na wazazi wako wote watakupinga au kukudharau juu ya hiyo ndoto yako.
Unakumbuka jinsi Yusuf (Joseph) alivyoota ndoto atailisha famila yake yote?
Yaani baba , mama na kaka zake. Nao wote watakuwa chini yake?
Kaka zake walimchukia na kumuuliza unadhani wewe ni bora kuliko sisi? Wakamuita the dreamer. Mwishowe kwa chuki wakamtumbukiza kwenye kisima afe, baadaye wakamtoa na kumuuza utumwani Misri. Kule akapitia jela na mwisho akaishia kuishi nyumba ya mfalme Farao akiwa na mamlaka makubwa.
Baadaye akawasaidia nduguze na kuwalisha na kuwaleta Misri....
Ushauri:
1.Tafuta makusudi(purpose) ya maisha yako hapa duniani kisha utapata maono(vision)/ndoto za nini ufanye kutimiza ndoto zako.
2. Siyo kila mipango yako au ndoto zako zote za kimaisha uwashirikishe watu au nduguzo. Unaweza kujenga chuki kati yenu wakawa kikwazo cha kutimiza ndoto zako.
Soma Biblia Mwanzo 37:1-36..(Bible read Genesis 37:1-36..)
CC: Saint Anne Mshana Jr Carleen Paula Paul nisaidieni kumtag Davinci