Vitendo hivi vya Viongozi wetu wakuu vinaibua harakati za kikabila Tanzania

Vitendo hivi vya Viongozi wetu wakuu vinaibua harakati za kikabila Tanzania

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kama kuna barabara, daraja, kiwanja cha mpira, benki, uwanja wa ndege, kiwanda, shule, chuo, umeme, maji, au kikosi cha jeshi havikujengwa kwenye kijiji, kata, wilaya, mkoa au kanda kabla ya mtu wa kutoka kabila lao, kijiji chao, kata yao, wilaya yao, mkoa wao au kanda yao hajakuwa kiongozi mkubwa kwenye nchi na vikajengwa vyote baada ya mtu wao huyo kushika nafasi kubwa ya uongozi wa kitaifa.

Hii inachochea na kuamsha hisia za ukabila na ukanda kwenye nchi hasa wakati wa kuwatafuta viongozi wakubwa wa kitaifa.

Mwl Nyerere, Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa walikiepuka kikombe hicho lakini wengine waliyanywa maji ya kikombe cha ukabila, ukijiji, uwilaya, umkoa na ukanda kwa lugha ya walituonea sana na sasa ni zamu yetu.

Watanzania sio wapumbavu, wanaona na taratiiibu wataelekeza vichwa vyao kwenye kampeni za kikabila, kimkoa na kikanda nyakati za chaguzi.

Tuache kufukua mizizi ya mti wa umoja wa nchi iwe hata kwamakusudi au bahati mbaya, kwa kujua au kwa kutokujua.

Haiwekani upande mmoja kuna barabara ya vumbi inayounganisha wilaya na wilaya lakini kiongozi anatumia madaraka yake kujenga barabara kwao inayounganisha kijiji na kijiji kwa lami, watu hawana maji ya kunywa wewe kiongozi unajenga airport kijijini kwako, upande ule wa nchi hakuna umeme kabisa wewe unajenga uwanja wa kisasa wa mpira kwako, mkoa ule hakuna shule kabisa lakini wewe unajenga Ikulu kijijini kwako, watu wa kanda ile hawana hospitali kubwa lakini wewe unajenga barabara ya lami ya mkato kwenda kijijini kwenu.

Vitendo hivi kidogokidogo vinarejesha fikra za ukabila kwenye nchi.

Mfano, kiongozi mmoja ameitambua Israel ambayo ilikuwa hatuitambui kwasababu za kuikalia Palestina, kwanini kiongozi mwingine nae asiitambue OIC? mwingine kamwaga ugali makusudi, mwingine ataogopa nini kumwaga mboga makusudi?

Halahala kidole na jicho
 
Kwani wanachato hawakustaili maendeleo?

Mnataka maeneo yetu tu ndio yazidi kuendelezwa, mmejaza chuki na ubinafsi tu, kipindi cha msuya, sumaye, sokoine na lowasa walikuwa wanapeleka barabara za lami adi vijijini kwao waliweka umeme adi migombani watu wengine walikuwa ni kama mazuzu tu,

sasa keki ya taifa inagawanywa kwa kila eneo mnaanza unafiki na uzandiki.
 
Kwani wanachato hawakustaili maendeleo? Mnataka maeneo yetu tu ndio yazidi kuendelezwa, mmejaza chuki na ubinafsi tu, kipindi cha msuya, sumaye, sokoine na lowasa walikuwa wanapeleka barabara za lami adi vijijini kwao waliweka umeme adi migombani watu wengine walikuwa ni kama mazuzu tu, sasa keki ya taifa inagawanywa kwa kila eneo mnaanza unafiki na uzandiki.

Sijui hujaelewa anachokimaanisha, au ni UBISHI tu asilia!?
 
Kama kuna barabara, daraja, kiwanja cha mpira, benki, uwanja wa ndege, kiwanda, shule, chuo, umeme, maji, au kikosi cha jeshi havikujengwa kwenye kijiji, kata, wilaya, mkoa au kanda kabla ya mtu wa kutoka kabila lao, kijiji chao, kata yao, wilaya yao, mkoa wao au kanda yao hajakuwa kiongozi mkubwa kwenye nchi na vikajengwa vyote baada ya mtu wao huyo kushika nafasi kubwa ya uongozi wa kitaifa hii inachochea na kuamsha hisia za ukabila na ukanda kwenye nchi hasa wakati wa kuwatafuta viongozi wakubwa wa kitaifa.
Ila tungeendelea na mwendazake iko siku chato ingekuwa ndio ikulu, lihimidiwe jina la Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo
 
Kama kuna barabara, daraja, kiwanja cha mpira, benki, uwanja wa ndege, kiwanda, shule, chuo, umeme, maji, au kikosi cha jeshi havikujengwa kwenye kijiji, kata, wilaya, mkoa au kanda kabla ya mtu wa kutoka kabila lao, kijiji chao, kata yao, wilaya yao, mkoa wao au kanda yao hajakuwa kiongozi mkubwa kwenye nchi na vikajengwa vyote baada ya mtu wao huyo kushika nafasi kubwa ya uongozi wa kitaifa hii inachochea na kuamsha hisia za ukabila na ukanda kwenye nchi hasa wakati wa kuwatafuta viongozi wakubwa wa kitaifa.

Mwl Nyerere, Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa walikiepuka kikombe hicho lakini wengine waliyanywa maji ya kikombe cha ukabila, ukijiji, uwilaya, umkoa na ukanda kwa lugha ya walituonea sana na sasa ni zamu yetu. Watanzania sio wapumbavu, wanaona na taratiiibu wataelekeza vichwa vyao kwenye kampeni za kikabila, kimkoa na kikanda nyakati za chaguzi.

Tuache kufukua mizizi ya mti wa umoja wa nchi iwe hata kwamakusudi au bahati mbaya, kwa kujua au kwa kutokujua. Haiwekani upande mmoja kuna barabara ya vumbi inayounganisha wilaya na wilaya lakini kiongozi anatumia madaraka yake kujenga barabara kwao inayounganisha kijiji na kijiji kwa lami, watu hawana maji ya kunywa wewe kiongozi unajenga airport kijijini kwako, upande ule wa nchi hakuna umeme kabisa wewe unajenga uwanja wa kisasa wa mpira kwako, mkoa ule hakuna shule kabisa lakini wewe unajenga Ikulu kijijini kwako, watu wa kanda ile hawana hospitali kubwa lakini wewe unajenga barabara ya lami ya mkato kwenda kijijini kwenu.

Vitendo hivi kidogokidogo vinarejesha fikra za ukabila kwenye nchi. Mfano, kiongozi mmoja ameitambua Israel ambayo ilikuwa hatuitambui kwasababu za kuikalia Palestina, kwanini kiongozi mwingine nae asiitambue OIC? mwingine kamwaga ugali makusudi, mwingine ataogopa nini kumwaga mboga makusudi?

Halahala kidole na jicho
Unateseka ukiwa wapi mkuu?
 
Kwani wanachato hawakustaili maendeleo? Mnataka maeneo yetu tu ndio yazidi kuendelezwa, mmejaza chuki na ubinafsi tu, kipindi cha msuya, sumaye, sokoine na lowasa walikuwa wanapeleka barabara za lami adi vijijini kwao waliweka umeme adi migombani watu wengine walikuwa ni kama mazuzu tu, sasa keki ya taifa inagawanywa kwa kila eneo mnaanza unafiki na uzandiki.
Wanastahili maendeleo kuliko wapi?

kwahiyo walistahili uwanja wa ndege, benki, standi kubwa ya kisasa, hospitali kubwa, ikulu, barabara zenye taa za kuongoza magari, shule za museven, na uwanja wa mpira kama jimbo gani Tanzania?
 
Wanastahili maendeleo kuliko wapi? kwahiyo walistahili uwanja wa ndege, benki, standi kubwa ya kisasa, hospitali kubwa, ikulu, barabara zenye taa za kuongoza magari, shule za museven, na uwanja wa mpira kama jimbo gani Tanzania?
Stendi kubwa ya kisasa kwa milioni 17?
 
Kwani wanachato hawakustaili maendeleo? Mnataka maeneo yetu tu ndio yazidi kuendelezwa, mmejaza chuki na ubinafsi tu, kipindi cha msuya, sumaye, sokoine na lowasa walikuwa wanapeleka barabara za lami adi vijijini kwao waliweka umeme adi migombani watu wengine walikuwa ni kama mazuzu tu, sasa keki ya taifa inagawanywa kwa kila eneo mnaanza unafiki na uzandiki.
Inawezekana una tatizo la kuelewa haraka, maendeleo lazima yawe balanced Nchi mzima.

Ndani ya miaka 5 chato imepata miradi ambayo hakuna wilaya yeyote imepata.

Hii sio sawa
 
Sijui hujaelewa anachokimaanisha, au ni UBISHI tu asilia!?
Ata chato ni sehemu ya Tanzania, pigeni kazi msitegemee huruma ya serikali, ata Dodoma inajengwa kuliko sehemu yoyote ya Tanzania mbona hamsemi.
 
Inawezekana una tatizo la kuelewa haraka, maendeleo lazima yawe balanced Nchi mzima. Ndani ya miaka 5 chato imepata miradi ambayo hakuna wilaya yeyote imepata. Hii sio sawa ...
Nawe kuwa Rais kajenge kwenu.
 
Kumchagua raisi kwa misingi ya dini hilo tumefanikiwa.

Sasa tutaanza kumchagua raisi kwa misingi ya ukanda, hili lilianzishwa kwa mafanikio na raisi mstaafu jpm.

Lazima tuendeleze legacy yake
 
Nilitegemea jibu dhaifu kama hili coz IQ yako ni kiduchu. Jibu hoja acha makasiriko kama Mungu mtu wenu.
Kipindi mlichokuwa mkipewa maendeleo kila uchwao, na sehemu nyingine zikibaki nyuma mlikuwa mnafurahi na kugongeana glass.

sasa kila sehemu inapelekewa mendeleo ili wananchi wapate mahitaji yao wakiwa karibu kuliko kwenda Dar na sehemu nyingine sasa imekuwa nongwa.
 
Back
Top Bottom