Vitendo hivi vya Viongozi wetu wakuu vinaibua harakati za kikabila Tanzania

Ata chato ni sehemu ya Tanzania, pigeni kazi msitegemee huruma ya serikali, ata Dodoma inajengwa kuliko sehemu yoyote ya Tanzania mbona hamsemi.
Watu Wana haki yakusema kuwe na uwiano sawa wa kimaendeleo Nchi nzima na sio upuuzi wakupeleka maendeleo sehemu Moja, unawezaje kufananisha makao makuu ya Nchi na Kijiji kama chato??.

Chato hata uchangiaji wa Pato la Taifa ni 0.01% sasa kuweka mabilion ya pesa nikuzitupa.
 
Ccm hii imepeleka maendeleo wapi?
 
Nitajie sehemu ya Tanzania ambayo haikuguswa na mkono wa jemedari JPM.
 
ni mtu mjinga tu anaweza kuichukia Israel au kutoitambua, nchi ambayo inatambuliwa na Umoja wa Mataifa.

Wakristo wote Tanzania wanaitambua Israel.

sasa wewe mwarabu mweusi kwa chuki zako dhidi ya Israel unataka kutulazimisha tuichukie?

akili gani hizo? kati ya vitu vya ajabu nyerere alivifanya ni kujifanya anaichukia israel na kufukuza ubalozi wao, na ninajua alifanya tu hivyo ili kuwaridhisha watu fulani.

hilo jambo Nyerere alikufa nalo na litaendelea kumtafuta kwenye historia yake.
 
Suluhisho ni serikali za majimbo tu.
 
Inawezekana una tatizo la kuelewa haraka, maendeleo lazima yawe balanced Nchi mzima. Ndani ya miaka 5 chato imepata miradi ambayo hakuna wilaya yeyote imepata. Hii sio sawa ...
Hahahaha jinyonge mzee ishatoka hiyo! Mama kaahidi kumalizia miradi!
 
Haya mafuasi ya Magufuli ni mazezeta... mtoa mada kaeleza vizuri ila yalivyo na IQ ndogo yanaanza kumshambulia eti mbona kwao walikuwa wakipendelea...unamjua mtoa mada ni wa wapi?

Ndio maana lile zee lenu sijui huko CCM wenyewe waliliondoa uhai, lilizalisha mazezeta mengi sana
 
Tuambie wewe pimbi hao watu wa Magufuli unawazidi nini?
 
Sibishani na punguwani, nenda kabishane na vichaa wenzio.
 
Anayepanga mipango ya maendeleo ni nani na anatumia vigezo vipi?

Wanaopanga ni binadamu na wana makabila yao kwahiyo upendeleo wa kijiji na kikanda hauepukiki

Zama hizi ni za uwazi na ukweli. Huko nyuma ilikuwa ngumu sana kujua kiongozi mkuu anafanya nini- siku hizi huwezi kuficha habari au maendeleo yanayoendelea sehemu ambazo wakuu wanatoka.

Huko nyuma tulikuwa tunadanganywa tu- kuna viongozi walikuwa hawaendelezi walikotoka lakini wanaendeleza sehemu ambazo wake zao wametoka.

Njia ya kuondoa ukabila na udini ni watanzania tuendeleze utamaduni wa kuoawana bila kujali dini au kabila.

Mawazo kwamba kiongozi akiendeleza sehemu anayotoka ni ukabila si sahihi kwasababu mtanzania yeyote hakatazwi kwenda sehemu hiyo ya maendeleo na kufanya shughuli zake.

Maendeleo yanaongeza mzunguko wa pesa mifukoni mwa watu wanaokaa maeneo hayo.

Tuwasihi viongozi waendelee kuleta maendeleo vijijini hasa walikotoka kuliko kupeleka na kuficha pesa zao kwenye mabenki ya Uswisi.

Tushangilie maendeleo na si kuyapiga vita- nchi inaendelea kwa hatua ndogo ndogo.
 
Suluhisho la kudumu na lilo pana ni serikali za majimbo.
 
akili yake yote aliielekeza chato, huku kwingine kote alikuwa anazunga tu kuepuka lawama. Mzee wa msoga ndiye aliyeasisi balaa hili.
Maza kutwa yupo Zanzibar, Mwingine toka amekuwa makamo ziara zake zote Kigoma, mwingine naye kila wiki Lindi
 
Ata chato ni sehemu ya Tanzania, pigeni kazi msitegemee huruma ya serikali, ata Dodoma inajengwa kuliko sehemu yoyote ya Tanzania mbona hamsemi.
Haina tija kuhamia dodoma katika zama hizi za tehama, lakini sio mbaya sana kujenga dodoma sana kwakuwa tulikubaliana makao makuu ya tanzania yawe dodoma tangu zamani.
 
Elimu inayotafutwa kwa ugumu wa kukesha usiku kucha mtu akisoma, ndio mkombozi wa makabila yanayoonekana ni madogo.

Pia umoja huanzia katika maisha ya kawaida kabisa ya kila siku ya makabila mbalimbali, kama kabila lako halina moyo wa umoja basi imekula kwenu.

Wachagga wanayo maendeleo kwa sababu hawatupani, katika shida za Covid 19 katika raha na starehe za mwisho wa mwaka wapo pamoja siku zote.
 
Onyesha upendeleo aliofanya Mwl Nyerere, Mzee Mwinyi ma Mzee Mkapa kwao.
 
Iko siku wagombea watazunguuka kwa kanda.

Awamu hii kiongozi atatoka kanda ile na dini ile, akimaliza huyu ajae atakuwa wa kanda ile na dini ile.

Tukifika hapo tumekwisha, lakini haiwezekani hadi leo kuja vijiji na kata havina umeme wala maji wala zahanati wakti vijiji vingine wanajenga uwanja wa ndege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…