Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Ahsante bi mkubwa
 
Unajua kwenye dini hatusemi uasherati tunapiga vita uzinzi, kwa sababu uasherati umbo ndani yake.

Uasherati ni kitendo cha kuto tulia na mpenzi mmoja, na utaona serikali inapigana na tabia ya uasherati siyo uzinzi, ndiyo wanasema acha uasherati baki na mmoja, ila kwenye dini hata mmoja kama hakuna ndoa hafai.
 
Mmh kaka uko motooo...hebu angalia aliyejibiwa kwa hilo andiko alisema nini basi..khee
 
Dunian dhambi ni Moja tu hayo mengine yoote ni matokeo ya dhambi Hiyo ambayo ni kuishi kinyume na maagizo yale.
Msikomae tu ushoga mkapotezea uzinzi kana kwamba hauna madhara na unapoandika punguza mihemko babu.
Swali ni jepesi ww unaufanya huo uzinzi wa ushoga?.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karma
Ukawaza ya nini kujitafutia kwenda motoni kwa dhambi za bei rahisi ukakutane na wenye dhambi zao za gharama huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hapo sasa.
Nimekumiss pia jamani, ulipotea au kwa sababu id hii sikuizingatia
 
Sasa kama hufanyi ushoga unawezaje kuusapoti?.
Ebu nitolee upumbavu hapa kuna sehemu nimeunga mkono ushoga?

Tunawakumbusha kuwa uzinzi umekatanzwa kama ulivyo katazwa ushoga hivyo kama ww ni mzinzi huna haki ya kumcheka shoga maana siku ya hukumu mtakuwa sehemu moja.

Shoga motoni na mzinzi motoni vilevile.
 
Dahh,,

Yaani Kuna ambao wamekupa LIKE kabisa,,

Hapa ndy mashoga tutawajuwa straight..

Mlaaniwe KAUMU LUTI.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Yaan mkuu umefeli yaan anayechakata mbususu unamfananisha na anayechakatwa 0715
Unapofanya tendo hilo na mtu ambaye sio mwenza wa ndoa ni chukizo Kwa MUNGU na hukumu yako haitakua ya tofauti na hukumu atakayopata huyo shoga yaani wote wawili ni chukizo mbele za MUNGU Kwa mujibu wa maandiko matakatifu
 
Kazi kwao wanaojidanganya kuwa wataiona pepo wakati nafsi zao zinawasuta.
Mie nafsi yangu inaniambia kabisa mzabzab wee ni motoni moja kwa moja maana jtendayo ni kinyume na maagizo ya muumba wako.
Ongezaaa sautiiiii bablaiiiiiii, huna bayaaaa.
 
Mimi nazungumzia kimaandiko sio Kwa mtazamo wetu wa kibinadamu, mbele za MUNGU yote hayo ni machukizo Kwa mujibu wa maandiko matakatifu ninayoyaamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…