Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 519
Kiasili binadamu kaumbwa na utashi wa kutofautisha jema na baya sema ni ule ukaidi tu wa nafsiKuna mtu haamini katika dini, ila ushoga anaupinga, anakwambia amemzaa mwanawe wa kiume, akitemea kuwa mwanamme.
Alafu mzazi huyo huyo asiemini katika dini, anafurahi sana anaposhuhudia binti yake, akipata mwenza.
Nipe ushahidiAmefeli pakubwa sana.
Hakuna sehemu kwenye andiko langu nimetetea ushoga kama kama hujanisoma vizuri labda nikwambie tu kwamba tunahubiria watu waachwe uovu na wapatanishe maisha yao na maamrisho ya MUNGU sasa kama wewe ni mzinifu huna tofauti na huyo shoga nyie wote ni chukizo mbele za MUNGU, tubuni muache njia zenu mbaya la sivyo mtakutana na hukumu Kali mbele za MUNGUJitambulishe kwanza kama wewe ni shoga. Wewe utakuwa Mnyiramba wa kwanza kutetea ushoga
Asante Kwa mtazamo wako ila Mimi nazungumzia kuhusu maandiko sio mtazamo wangu/wakoMimi naamini dhambi sio zote sio Sasa ktk gravity na consequently effect. Pia punishment zake hazilingani. This both logically and faithwise
Asante Kwa maoni yako nayaheshimu pia MWENYEEZI MUNGU akubariki, ila Mimi nahubiri kile maandiko matakatifu yanachofundisha, ikiwa u mzinifu huna tofauti na huyo shoga Kwa mujibu wa maandiko matakatifu. Asante karibu sanaWewe endelea kufokolewa mavi kwa Raha zako
Duuh Dunia Inaenda Kasi Sana Hii...ANYWAY, MI TOKA NILIPOKUWA MTU MZIMA UZURI NISHA ONA KABISA WAPI PATANIHUSU......ILA KM NIKIJIKUTA NAENDA KULA UPEPO MBINGUNI SIO MBAYA..Uzuri hakuna Nyani Atachagua Maembe Mbele ya NDIZI😎Salaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Nipe andiko wewe unayetetea zinaaSodoma iliponzwa na nyie machoko na sio wazinzi
Bishana Kwa hoja za kimaandiko basi Ili tupate faidaHakuna wewe hawezi kuwa sawa, tunajifanganya, kudhani dhambi zote ni sawa.
Ok it's fine ni mtazamo wako ila mm nazungumzia maandiko na nimeweka ushahidi 1korintho 6:9-10 labda ninukuu kama ilivyoandikwa WAASHERATI, WAZINZI, WAABUDU SANAMU, WAFIRAJI, WEZI, WAUAJI N.K hawataingia katika ufalme wa MUNGU.Mtoa mada ni Shoga na anatetea mashoga wenzake
Vyema ila mm naongea Kwa mujibu wa imani yangu ya kikristo ambayo msingi wake ni neno la MUNGUKwenye uafrica bora muuaji kuliko shoga .Africa sio ya kiislamu wala kikristo ni ya kiafrica
Mimi ni mkristo sifanyi ushoga Wala uzinifu maana yote hayo ni uchafu mbele za MUNGU wangubabu vp mbna sikuelewi au na wewe ndo mmoja kati ya wale askari wa tatu wa zanzibar?
Msijifiche kwenye kichaka cha uzinifu,,Mimi ni mkristo sifanyi ushoga Wala uzinifu maana yote hayo ni uchafu mbele za MUNGU wangu
Mimi ni mkristo sifanyi ushoga Wala uzinifu maana yote hayo ni uchafu mbele za MUNGU wangu, nimeoa Nina ndoa na familia. Kwa mujibu wa Imani yangu napaswa kuhubiri na kufundisha yalivyo matakwa ya MUNGU ambayo ni watu wa namna zote (wakiwemo wazinifu na hata hao mashoga) waachwe njia zao mbaya na waishi kulingana na mapenzi ya MUNGUWewe kama ni Muumini mkristo ama Muislamu, utakubaliana nami, hakuna maandiko yanayo kubaliana na ndoa ya jinsia moja.
Ila Mwamme na Mwanamke Mungu amekuonyesha amezuia njia hii, kulifikia tendo ila amekufungulia njia nyingine, yaani sawa mtu anaepita pasipo mlango, wakati mlango anauona.
Hivyo ukizani uzinzi na ushoga ni kitu kimoja pole sana.
Huzuiwi kupiga vita ushoga, njia nzuri ni kuwahubiria na kuwasaidia waachwe njia zao mbaya na wapatanishe maisha yao na maamrisho ya MUNGU, na hii sio Kwa hao tu Bali hata Kwa watenda dhambi wengine. tujifunze neno la MUNGU jamaniTatizo mnataka tusipige vita, ushoga, eti kwa sababu tu kunachangamoto zingine.
Baadhi ya Nchi za afrika, zina adhabu ya kunyongwa hadi kufa, ukipatikana na kosa la kuua kwa kukusudia, nitajie makosa mengine mtu akipatikana na kosa hunyongwa.
Hukumu yao ni Moja mbele za MUNGU, dhambi ni dhambianayeua watu kwa makusudi kwa kuchinja vichwa vyao kila siku ni sawa na yule anayetukanatukana hovyo, au ni sawa na muongo tu..
Weka ushahidi wa kimaandikodhambi haziwezi kuwa sawa, zipo zambi ambazo kwenye vitabu ziko highlighted kabisa..
Shoga akihubiriwa akakubali na akaacha njia zake mbaya MUNGU anamsamehe kabisa hakuna dhambi isiyosameheka mbele za MUNGUWazinzi wakiona, jina wazinzi lina koma, ila mashoga hawana mbadala.