Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 519
Hakuna dhambi isiyosameheka mawazo ya MUNGU sio ya mwanadamu kikubwa ni kutubu na kubadilikaAcha mambo yako?kuna dhambi utatubu,ila shoga hata akitubu na akasamehewa?radius ya kunduz inabaki vilevile!marinda hayarudi hata kwa dawa.
Sisi tunafuata maamrisho ya MUNGU sio maoni au mitazamo ya watuUnajua kwenye dini hatusemi uasherati tunapiga vita uzinzi, kwa sababu uasherati umbo ndani yake.
Uasherati ni kitendo cha kuto tulia na mpenzi mmoja, na utaona serikali inapigana na tabia ya uasherati siyo uzinzi, ndiyo wanasema acha uasherati baki na mmoja, ila kwenye dini hata mmoja kama hakuna ndoa hafai.
Ni kweli mm mgeni hapa ila Toka 2010 hua napita kuwasoma wadau hapa ila Kwa sasa nimeamua kujumuika nanyi hapa, asanteNilianza kuandika 'nimekumiss pia mdogo wangu kipenzi' nikaona hebu nisiwe muongo na vile mdau mwenye huu uzi kasema dhambi zote ni sawa ikabidi nifute kwanza niulize maana hii Id naona ngeni[emoji16][emoji16]
Wapi kausapoti na wewe mbona unalisha watu maneno?Sasa kama hufanyi ushoga unawezaje kuusapoti?.
Nyani haoni nonihino lake. Una pwenti ingawa kutetea mashoga kwa Afrika ni kupoteza muda. Wazinzi waliamriwa wapigwe mawe hadi kufa. Ushoga ulipofanyika Sodoma na Gomora, wote waliangamizwa. Hivyo, unaweza kuona mantiki ya watu kutaka mashoga wauawe. Mie naona heri hata wasagaji. Kwani, wakipata wa kuwabaka wanaachana na wehu waoSalaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Wapi nimeunga mkono ushoga kwenye bandiko langu hili? Mbona unanilisha maneno kiongozi? Nimesema wakati mnapinga ushoga msisahau kukemea na dhambi nyingine na nikaweka maandiko matakatifu ambayo bila shaka hamkusoma, 1korintho 6:9-11, "JE HAMJUI KWAMBA WADHALIMU HAWATAURITHI UFALME WA MUNGU? MSIJIDANGANYE, WAASHERATI WALA WAZINZI, WALA WALEVI,, WALA WAFIRAJI, WALA WALAWITI, WALA WAGOMVI WALA WAONGO HAWATAURITHI UFALME WA MUNGU". Mimi nazungumzia maandiko ndugu sio mitazamo yenu kukemea ushoga huku unazini ni kukosa uelewa wa neno la MUNGUDahh,,
Yaani Kuna ambao wamekupa LIKE kabisa,,
Hapa ndy mashoga tutawajuwa straight..
Mlaaniwe KAUMU LUTI.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Hujui madhara ya ulevi kiongozi tabia za kishenzi zinaanzia huko acha ulevi tunza jamii yakoAcha ufala wewe Yan dhambi ya kulewa sawa naya ushoga dah
Ukishazima sasa? Si watakufukua tu? Acha ulevi tunza jamii yako shoga atubu atasamehewa ikiwa atabadilika na kuacha dhambi hiyo tatizo mnafikiri dhambi zenu ni halali ila za wenzenu ndio mbayaUmechanganya uji na mchanga sijui unachuja vipi!
Yaani shoga alietatuliwa marinda, kalegea anatembea kama gari limekatika center bolt unataka umlimganishe na mlevi??? Sasa mlevi si anauwezo wa kwenda kutubu na atabaki kuwa mwanaume ila shoga aiseee once a gay always a gay utakujaje kuwa straight tena?
Hatuhukumu as if sisi ni wasafi ila acha tuikemee kwasababu shoga hafanyi peke yake anamtafuta na asiefanya ili afanye nae ila pombe si unakunywa mwenyewe unazima mwenyewe!
Hakuna kitu kibaya kama kutenda dhambi huku unakua ni dhambi halafu mbaya zaidi unahamasisha na wengine kiongozi [emoji24][emoji24][emoji24]Acha uzembe mzinzi mwenzangu. Labda ufe kwa ajali... Ila hivi vifo vingine wajuda tunatumia dakika za mwisho kuomba msamaha kwa Maulana.
Hivi sasa tuzichakate papuchi huku tukiomba tusife mavifo ya ghafla ya ajali.
AMINA, HALELUYA
Una maana Gani mkuu?Duuh Dunia Inaenda Kasi Sana Hii...ANYWAY, MI TOKA NILIPOKUWA MTU MZIMA UZURI NISHA ONA KABISA WAPI PATANIHUSU......ILA KM NIKIJIKUTA NAENDA KULA UPEPO MBINGUNI SIO MBAYA..Uzuri hakuna Nyani Atachagua Maembe Mbele ya NDIZI[emoji41]
Nazungumzia kimaandiko wewe unazungumza kimtazamo wako, ipo hivi: Mwizi motoni, muuaji motoni, mfiraji motoni mzinifu motoni usijidanganye kusema dhambi unayoifanya wewe ina unafuu soma 1Wakorintho 6:9-10Msijifiche kwenye kichaka cha uzinifu,,
Ushoga ni Zaidi ya UZINIFU.
Ushoga nii LAANA..
Kuzini ni jinsia tofauti ambao hawana ndoa kufanya sex.
Lakini jinsia moja kufanya sex ni SODOMA NA GOMOLA TYPE..
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Nipe andiko linalosema hivyoBora uzinzi ni dhambi tu kuliko ushoga ni dhambi lakini unalaaaniwa kabisa.
Tuungane kupiga vita ushoga ktk taifa letu hata kama ni wazinzi.
Kupata mwenza ni dhambi 🤣🤣Kuna mtu haamini katika dini, ila ushoga anaupinga, anakwambia amemzaa mwanawe wa kiume, akitemea kuwa mwanamme.
Alafu mzazi huyo huyo asiemini katika dini, anafurahi sana anaposhuhudia binti yake, akipata mwenza.
Ok ni mtazamo wako AsanteMnapoteza muda tuu, mkifa mmekufa tuu hakuna cha moto wala pepo. mashoga, wezi , mnaojiona hamna makosa na perfect, wazinzi etc wote sawa tuu, kama mnawaona mashoga wana dhambi kuna society nyingine ni wa kawaida sana, China ukila rushwa au madawa unapigwa kitanzi lakini bongo ndio unaonekana mjanja, judgement mnazowapa hawa mashoga ni za kwenu na zinaishia hapo hapo, pepo au moto ni imagination zenu
Mhhhh wewe unaona hivyo ila Kwa MUNGU ni tofauti huruhusiwi kubaka Wala kuua kinachotakiwa ni kuwahubiria waovu wa namna zote waache uovu wao watubu na Kwa njia hiyo wapate wokovuNyani haoni nonihino lake. Una pwenti ingawa kutetea mashoga kwa Afrika ni kupoteza muda. Wazinzi waliamriwa wapigwe mawe hadi kufa. Ushoga ulipofanyika Sodoma na Gomora, wote waliangamizwa. Hivyo, unaweza kuona mantiki ya watu kutaka mashoga wauawe. Mie naona heri hata wasagaji. Kwani, wakipata wa kuwabaka wanaachana na wehu wao
Una imani ndogo ya dini, ushoga mbaya kwasababu dini hairuhusu dini hata ikiruhusu Leo ushoga unakuwa sikitu kibaya tena,...namaanisha kufanya mapenzi ya dadayako wa tumbo moja vibaya kwasababu ya dini imekataza ila endapo ikoruhusu Leo hii hakuna ubaya tena.Hata maandiko yangeruhusu ushoga ungeupingwa tu. Kabla dini hazijaja mababu zako walikuwa mashoga? Waliuruhusu?
Huwezi weka ushoga na uzinifu kundi moja.Mkuu ushoga uko kwenye kundi la uzinifu yaani shoga na mzinzi mbele ya mwenyezi mungu wana daraja moja.