Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Huyu Dada ni mwehu sijawahi ona, hiyo spray ya Axe ndio inabadilisha hormone....
Anawaharibia wamasai wa watu kaz kwa upumbavu wake

Too emotional and senseless Jinga sana .. labda wapumbavu wenzake
 
Huyu Dada ni mwehu sijawahi ona, hiyo spray ya Axe ndio inabadilisha hormone....
Anawaharibia wamasai wa watu kaz kwa upumbavu wake

Too emotional and senseless Jinga sana .. labda wapumbavu wenzake
Kakwambia alimconsult naibu waziri.....Pili hizo spray zimeingia kimagendo kosa hili pia
Tatu vipi we ni mwezetu au tiari ushaleft?
 
Sikuelewa kwa nn watu kwenye uzi ule mwingine walikua wanamshambulia Mwakyembe badala ya hoja... hv vitu vinakua kwa kasi sana...tatizo sio ushoga ila tatizo ni watu kuingizwa kwenye ushoga bila utashi wao/yani bila wenyewe kupenda...na mbaya zaid usipostuka utakuta na ww ushaingia uko....tujiulize swali moja,ni kwa nini siku hzi tatizo la nguvu za kiume linakua kwa kasi??n thn tutafakari ....hii kampeni ya kuingiza watu kwenye ushoga ni kubwa zaid ya tunavyodhan....hii inaenda kuwa zaid ya drug cartels
 
Huyu hii kazi alitumwa na nani? Nani anamlipa
Ukiwa mwandishi ethics zinaruhusu kufanya research ili taarifa yako ijitosheleze


Ndio maana unaonaga hata BBC wanatoaga makala nyeti sana....

Kiufupi ukiwa mwandishi wa habari lazma uwe na ujuzi kidogo wa intelligence

Kiufupi
 
Huyu Dada ni mwehu sijawahi ona, hiyo spray ya Axe ndio inabadilisha hormone....
Anawaharibia wamasai wa watu kaz kwa upumbavu wake

Too emotional and senseless Jinga sana .. labda wapumbavu wenzake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu kajichubua kawa mwekundu kama tuzi ya panya.

Mchunguzi mwenyewe ni mentally retarded. Huwezi kuwa na akili timamu ukajikoboa sura ukawa mithili ya TUZI.
 
Sikuelewa kwa nn watu kwenye uzi ule mwingine walikua wanamshambulia Mwakyembe badala ya hoja... hv vitu vinakua kwa kasi sana...tatizo sio ushoga ila tatizo ni watu kuingizwa kwenye ushoga bila utashi wao/yani bila wenyewe kupenda...na mbaya zaid usipostuka utakuta na ww ushaingia uko....tujiulize swali moja,ni kwa nini siku hzi tatizo la nguvu za kiume linakua kwa kasi??n thn tutafakari ....hii kampeni ya kuingiza watu kwenye ushoga ni kubwa zaid ya tunavyodhan....hii inaenda kuwa zaid ya drug cartels
Mm huwa nawasiwasi sana hata na haya mauzazi ya mpango ila mungu anisamehe
 
Mjinga sana huyu mchunguzi uchwara aliyejikoboa uso kawa kama TUZI.

Tangu lini pafyumu ikaongeza hormone bwana!! [emoji1787][emoji1787] analeta conspiracy theories za kubumba anafikiri watu wote machizi!

Kwanza kabisa kabla ya yote, huyu ni mentally retarded. Huwezi kujichubua juso likawa kama TUZI YA PANYA.

Wameongozana na hako kagenge chao cha kupinga vinyesi wanawahadaa watanganyika kwa stori za kuokoteza wakisaidiwa na kiranja wao ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE.
 
Mjinga sana huyu mchunguzi uchwara aliyejikoboa uso kawa kama TUZI.

Tangu lini pafyumu ikaongeza hormone bwana!! [emoji1787][emoji1787] analeta conspiracy theories za kubumba anafikiri watu wote machizi!

Kwanza kabisa ni mentally retarded. Huwezi kujichubua juso likawa kama TUZI YA PANYA.

Wameongozana na hako kagenge chao cha kupinga vinyesi wanawahadaa watanganyika kwa stori za kuokoteza wakisaidiwa na kiranja wao ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE.
Tatizo ni kwamba hawajui wanacho report na pia audience hawajui kwamba wanadanganywa kwa kiasi gani, too sad.
 
Unafuata maudhui au personality ya mtu ......nyie watu ndio mnatutia mashaka
Pamoja na yote, huwezi kuwa na akili timamu ukajichubua JUSO LOTE likawa jekundu kama TUZI YA PANYA.

Mchunguzi wetu huyu wa vinyesi ni MENTALLY IMPAIRED, in which case, hayo yote aliyoyasema yanakuwa NULL AND VOID AB INITIO.

Na jinsi alivyo chizi zaidi, anawahadaa watu kwamba pafyumu inaongeza homoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilipomuangalia tu lile JUSO LAKE alivyojikoboa KAMA TUZI YA PANYA nikajua shida iko.
 
Back
Top Bottom