Ukiitazama asili,inaongea lugha kinzani kuhusiana na uwiano wa wanawake na wanaume katika idadi.
Ndiyo maana asili yenyewe imekazana kuongeza idadi ya wanadamu wenye jinsia ya kike kuliko kiume.
Sababu Kiasili na mahitaji ya asili Wanawake ni wachache na wanaume ndo wengi,ndio maana asili inazidi kuongeza idadi ya wanawake kuliko wanaume.
Duniani na hata Tanzania tunajua kuwa idadi ya jinsia ya kike ni kubwa kwa mujibu wa namba za sensa kuliko idadi ya wanaume.
Kwa muktadha wa manufaa na tija za asili mtizamo ya hesabu na idadi hiyo ni kinyume chake.
Kwa mahesabu madogo ya asili na kibaolojia kila mwanaume mmoja anahitaji kuoa au kumiliki kimahusiano wanawake 72 hadi 100 kuleta tija ya kiasili.
Kibaolojia mwanaume anauwezo wa kuzalisha wote hao ndani ya mwaka 1 wa siku 365.
Hii ikizingatia busara za kibaolojia za kuamini kwamba huyu mwanaume atakua angalau anakaa siku 3 hadi 5 bila kushiriki tendo hivyo kwa siku 365 anauwezo wa kuzalisha wanawake 72 hadi 100.
Sasa kama leo kila mwanaume atapewa wanawake 72 au 100 kama asili inavyotaka unadhani wanawake watatosha...???
Hivyo bado wanawake ni bidhaa adimu ndiyo maana Asili inaendelea kuwazalisha zaidi.
Ubongo wa asili haujui mambo ya mke mmoja au wake wanne,Asili haijui mambo ya sheria za kibinadamu,asili inaangalia sheria za asili...
Ndio maana asili imemuumba mwanaume as a "human production machine" Always men are sexally Lust...
Sheria ambazo zimemgeuza mwanaume a-behave tofauti,ndio maana ubakaji,ushoga,kujichua,mapenzi na wanyama vimeshamili.
Hivyo ikitokea kwa sasa mwanamke akakosa mume hilo sio kosa la asili ni kosa la sheria za kibinadamu.
Baada ya asili kuingiliwa haya yakatokea
"contraception, celibacy, marriage, adultery, casual sex, flirting, prostitution, homosexuality, masturbation, seduction, rape, sexual harassment, sadomasochism, pornography, bestiality, and pedophilia."
Na hatari ya ushoga inaweza kuja kua janga kuu kama mifumo ya sayansi za kidunia na binadamu wataendelea kuichezea asili.
Kwasababu sasa hivi kuna sayansi ambazo zinaruhusu hadi wanandoa kuchagua jinsia ya mtoto,na wengi wanachagua jinsia ya kiume.
Sasa kama kila ndoa kupitia sayansi itachagua mtoto wa kiume,kwasababu wengi huamini mtoto wa kiume ndiyo ufahari,hawa watoto wakiume wakiwa wengi watakuja kuwaoa kina nani?????
Sayansi hizo zinakinzana na asili,itafika wakati wanawake watazidi kupungua zaidi na hapo ndo italazimu wanaume kugeuzana.
Swali la kujiuliza kama mpango wa asili ulikua mwanaume mmoja mke mmoja au wanne kwanini huyu mwanaume asili isinge muumba awe na kipindi cha heat cha mara moja kama wanawake walivyo...
Kwanini mwanaume kila siku yupo katika heat harafu apewe mke mmoja au wanne??!
Sababu asili imemuwezesha mwanaume kuzalisha wanawake 72 hadi 100 kwa mwaka na mwanamke kuzaa mtoto mmoja kwa mwaka.
Na kwa mujibu wa Asili tendo la ndoa sio kwasababu ya starehe ni kwasababu ya uumbaji..
Immanuel Kant said "sexual desire is morally wrong, sex is for reproduction not for a preasure"
Sasa kwa mke mmoja au wanne je kila tendo lako lina lengo la uumbaji au starehe...
Je ni viumbe wangapi wamepotea kwa sheria hizi za kibinadamu zinazopingana na asili?
Anyway kwa mujibu wa Asili na tungeishi vile asili inavyotaka Wanawake ni wachache zaidi kuliko wanaume..
Kwa asili mwanamke anahitajika zaidi duniani kuliko mwanaume,ndio maana katika uumbaji mbegu ya kike iko fast kuliko yabkiume kufikia yai kufanya uumbaji,na pia baada ya kuzaliwa mwanamke yuko fast kukua kufikia majukumu yake.....because nature need more women as you think...
Kutumia sayansi na kusababisha watu wakawa na maamuzi dhidi ya asili harafu mnakuja kushangaa matokeo ya asili kuharibiwa huo ni ujinga ulio pitiliza...
Kama kila familia itataka kua na mtoto wa kiume nini kitatokea??????
Na kama binadamu ataendelea kupingana na asili, basi fahamu kuanzia sasa ukimuona changudoa au mchepuko jua huyo ni mke wa mtu kiasili,ila kwa klhali aliyonayo sasa ni matokea ya uharibifu wa asili ya mahusiano ya kijamii yaliosababishwa na kanuni,sheria na utaratibu wa kanuni hovyo za kibinadamu....
Na tatizo hili halita isha milele kama tu binadamu akiendelea kipingana na asili....
Kibangubangu present.