Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Noma sana,juzi kati yaliweka party yao mtaan dah...
Inatakiwa kujitoa sana ndio tutaweza kudhibiti
Sisi tuko tayari kama WANANCHI....tatizo lipo kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama.

Leo hii ukimtoa ngeu shoga mmoja....unaishia kuswekwa ndani kolokoloni.

#SerikaliInawalindaMashoga
 
We kwenu Zenjibar si ndiyo lango lililoingiza laanatulah hii bara? Maingiliano ya Tigo Channel si yalianzia huko Mchambawima, Bububu na Chokocho.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mwoga maisha ni ungekuwa sio mwoga usingepost hapa ungekuwa kama Samia huyu mama kaongea hadharani wewe umejificha kwenye hii ID yako tu unaongea wanaume marijali wanajitokeza wanaongezeka wanapiga marufuku kitu au jambo linalo adhiri kitu Fulani .

Mashoga watakuwepo na wataendelea kuwepo wanaume marijali watakuwepo na wataendelea kuwepo so utajijua .
 

Psychological abuse (Unyanyasaji wa kisaikolojia)​


Psychological abuse, often called emotional abuse, is a form of abuse characterized by a person subjecting or exposing another person to a behavior that may result in psychological trauma, including anxiety, chronic depression, or post-traumatic stress disorder

Naomba wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum itoe ufafanuzi ni kwani mashirtika yaliyobanika kufundisha ,kushawishi watoto wetu wa kiume kuwa mashoga ,wasichukuliwe hatua za kisheria ?
 
Kama Taifa lipo Salama na litaendelea kuwa salama kwa kua na Ulinzi wa namna ya hao na Nguvu kazi kwa ujumula wake. Serikali ilipuuze suala hili manake kulisemea na kulichukulia hatua ni kulitangaza na kulipa nguvu.
.
.
.
Afande wa Zenj Field Force Unit
 
LGBTQ community is real and serious, na wapo chini uongozi wa Taifa lenye nguvu pia wanaosapoti harakati zao wana influence kubwa.

Lengo letu ni kulinda tamaduni zetu na kwamba hili swala hatulitaki basi msimamo wetu ujulikane, kupuuzia uwepo wa hii kitu haitafanya kipotee. Maana kabla halijaletwa Bungeni tulkuwa tumelpuuzia ila nd kpindi hiko lilkuwa lnasambaa kwa kasi.
 
Tundu lissu akiwa katika mahojiano na Jambo tv amesema:
"Mapenzi ya jinsia moja sio haki za binadamu, nchi hii tulitungiwa sheria na Waingereza mwaka 1934 ya kupiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, hiyo sheria ikaongezwa makali mwaka 1959, 1998 ikaongezwa makali zaidi na kuongeza vifungu maalum vya makosa ya ngono"
 
Habari kutoka vyanzo vya uhakika zinasema huko mjini hakuna kificho tena.

Hata sensa ikipita leo nchi itakuwa ya wanawake almost all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…