Upo sahihi kiongozi.Niliwahi kusema na narudia tena, woote wanaokataa ndoa hawana marinda
Mbona Kuna mliooa na mshatatuliwa marinda?Niliwahi kusema na narudia tena, woote wanaokataa ndoa hawana marinda
Wote? Hahaha! Na kuna wengi tu wakio kwenye ndoa zao lakini hawana rinda hata moja...tena hao ndio wanatumia kivuli cha ndoa kujificha, hasa wasomi na wenye nafasi nzuri za kazi.Niliwahi kusema na narudia tena, woote wanaokataa ndoa hawana marinda
Kakudanganyaaa huyo mtoto anachat na wanaume wenzie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juzi mke wangu alinilalamikia kwamba mwanangu wa kiume anachat na mademu, hakujua moyoni nilivyoshukuru maana siku hizi ukiwa na mtoto wa kiume unaomba umkute na demu yaani, unatamani sana kusikia ni mwanaume wa kawaida ambaye hajalemazwa na huo ujinga wa mashoga.
Zamani ilikua ukiskika umeonwa na demu unasutwa sana na mzazi, ila siku hizi mambo yamebadilika.
Haswaaaaaah!!!!Hizi sheria za kupinga ushoga ziwe tu kwa kwa under 16 lakini kwa watu wazima iwe ni juu yao kuamua kuitumia miili yao wakiamua kufira hewalaa wakiamua kufirwa hewalaa.
Sheria ziwe kali dhidi ya wezi na wabadhirifu pamoja na wale waliozoea ku abuse power.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi ni vichekesho.Sheria ziko wazi zinapinga USHOGA, JF itoe ushirikiano Kwa Jeshi la polisi kuwapata na kuwapima na wakithibitika wanajihusisha na vitendo hivyo wachukuluwe hatua za kisheria.
Wapo members humu JF wanaojinadi waziwazi kufanya uchafu huu.
Tafadhali, viongozi wa JF mtakapotembelewa toeni ushirikiano Ili kutokomeza LAANA hii katika JAMII yetu.
Boraa wee usemeee.Wote? Hahaha! Na kuna wengi tu wakio kwenye ndoa zao lakini hawana rinda hata moja...tena hao ndio wanatumia kivuli cha ndoa kujificha, hasa wasomi na wenye nafasi nzuri za kazi.
Sio banks tyuuh, ktk taasisi nyingi tena waanze na pale Mjengoni.Telesis zinasema kwenye mabenki mengi wamejaa watu wa aina hii, ila ngumu kuwajua. Wana group zao na wanakulana wao kwa wao.
Kakudanganyaaa huyo mtoto anachat na wanaume wenzie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutawakamata tu na kuwapiga nyundo 30Chawa mnajaza sana server za JF.
Samia hakuthubutu kufungua mdomo kuhusu ushoga alivyokuja Makamu wa Rais wa Marekani, kisa aliona kibunda mbele yake.
Nenda kajaribu kuigiza hata ushoga uone kitakachokukuta awamu hiiChawa mnajaza sana server za JF.
Samia hakuthubutu kufungua mdomo kuhusu ushoga alivyokuja Makamu wa Rais wa Marekani, kisa aliona kibunda mbele yake.
nimekuwekea case kama nne hivi za mashoga kufungwa kifungo kirefu jela kwa kufanya ushoga, ndani ya mwaka huuPale unapojidai unakichukia kitu kumbe unapiga promo! Sasa hapa tujadili nn zaidi ya promo ya hilo jambo? Tukilijadili kwa tunavyojua na kuamini mnatutukana matusi ya nguoni