Unatetea wachaga wenzakoMi sijafunzwa matusi... nimekuuliza swali dogo tu, Naomba vifungu vya sheria naona unarukaruka... wewe unadhani bila sheria hawa watu wataadhibiwa?
Yetu macho, huu uzi upo hapa, kama sheria haijafuatwa hawa watu hawawezi kutiwa hatiani..
Wameachiwa huruuu mbna mdaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi sijafunzwa matusi... nimekuuliza swali dogo tu, Naomba vifungu vya sheria naona unarukaruka... wewe unadhani bila sheria hawa watu wataadhibiwa?
Yetu macho, huu uzi upo hapa, kama sheria haijafuatwa hawa watu hawawezi kutiwa hatiani..
Ni sawa na kuuliza ni kifungu gani kinazuia kitimoto kisiuzwe OmanObjective dialogue imepotea jamii forum.... naona napokea matusi badala ya vifungu vya sheria.
Na mimi ndo ninetaka kujua hiyo sheria ni kufungu kipi.... naona kama tunafanya assumption sana kwenye hili suala nyetiMkuu
Mahakama ndiyo chombo pekee chenye kutoa amri za kisheria.
Labda katika ile hati ya amri ya mahakama ya kuwapima uimara wa marinda watuhumiwa waliofikishwa mbele yake hawwkuweka vifungu kubackup ile agizo. Lakini kisheria Mahakama ina uwezo wa kuamuru upimwe bila ridhaa yako.
Watakuja wenye vifungu hapa lakini nadhani tuangalie kwa kina, kwa nini mabasha hawaguswi? Je wanatambuliwaje bila kukutwa kwenye tukio?
Sheria ina vikona kona vingi vinavyohitaji Mahakama kuvitafsiri.
Ni kweli wameachiwa ????GOOD NEWZ!!!
Noel na Kelvin wameachiwa huruuuuu,
David aliachiwa tangu janaaa.
Ahsantee Jah kwa kuletaa Amani tenaaa.
Hakuna cha uchaga, wewe ndo unaleta story za uchaga kwenye uzi..... nimetaka vifungu vya sheria unaleta habari za uchaga... havihusiani kabisaUnatetea wachaga wenzako
Lakini Quran ina vifungu vinavyokataza kitimoto...Ni sawa na kuuliza ni kifungu gani kinazuia kitimoto kisiuzwe Oman
Wameachiwa huruuu ndiyooooo.Ni kweli wameachiwa ????
wamesha pimwa lakiniGOOD NEWZ!!!
Noel na Kelvin wameachiwa huruuuuu,
David aliachiwa tangu janaaa.
Ahsantee Jah kwa kuletaa Amani tenaaa.
Hujanielewa, mim sikatai order ya mahakama, nilichohoji mimi ni sheria ipi imetumika kuipa mahakama nguvu kumuamuru mtu akapimwe ushoga?Kwanini ukatae kupimwa hali ya kuwa unajijua 100% wewe sio shoga ?
Sababu yako ya kukataa inaweza kuwa ni nini mkuu ?
Hata hivyo hio njia ya upimaji ya kupitisha vidole una uhakika ndio njia inayotumika kubaini mashoga huk wanakopelekwa (hospital) ?.
What if kuna njia nzuri tu ya kutambua Mwanaume/Mwanamke anaeingilia kinyume. Hapo pia bado patakua panahitaji idhini yako ?
Wapiga nyeto wamejaa humu, unajisumbua mkuuObjective dialogue imepotea jamii forum.... naona napokea matusi badala ya vifungu vya sheria.
Haijalishi km wamepimwa au hawajapimwaa, kikubwaa wameachiwa na wako huruuu.wamesha pimwa lakini
Ukiona mtu anapenda sana kwenda Kulazwa Rumande kila mara tambua marinda yake yana walakinikuna jamaa wa chadema nao ni wakupimwa haraka