HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Unatetea wachaga wenzakoMi sijafunzwa matusi... nimekuuliza swali dogo tu, Naomba vifungu vya sheria naona unarukaruka... wewe unadhani bila sheria hawa watu wataadhibiwa?
Yetu macho, huu uzi upo hapa, kama sheria haijafuatwa hawa watu hawawezi kutiwa hatiani..