Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kwani James delicious analala na hao wanao msupport?? Sio mabasha zake?
Ila mkubali wanawake mnachangia kwa upande fulani kuenea kwa mashoga

Jamaa kaeleza vizuri sana mfano malezi ya wanawake wa siku hizi hasa baadhi ya singo maza ni hatarishi kwa mtoto wa kiume wanalelewa kikike sana

Na ushahidi ninao watoto waliolelewa kikike na masingo maza fulani ninaowafahamu sasa hivi ni mashoga
 
Muongo mkubwa weee khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli mkuu, narudia tena ni kweli abisa. Boda wengi sana wametongozwa na mashoga. Shoga anakodi boda kama abilia nipeleke mahala labda ni usiku. Wakifika anamlipa na kumuomba namba luwa akiwa anarudi amshtue amfuate, kinachofuata hapo na sms za kumshawish amkune
 
Du mkuu wewe ni mnoma. Unawajua hadi majina na ubin
 
Kwann boda atoe namba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…