Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Si mnasemaga pafyumu ndo zinasababisha ushoga, asa.mnashangaa nini pakiwa na mashoggah
 
Yaan wabongo bila kuwasakama mashoga, hawana amani wala hawajisikii poa.
Hao mashoga wanawazuia nn kufanya mambo yenu binafsi? Au mnawaonea wivuu??

Hebu muwapumzishee kwani bhanaa khaaaah.
Kila mtu ana uhuru wa kutumia mwili wake atakavyoo. Lol
 
Yaan wabongo bila kuwasakama mashoga, hawana amani wala hawajisikii poa.
Hao mashoga wanawazuia nn kufanya mambo yenu binafsi? Au mnawaonea wivuu??

Hebu muwapumzishee kwani bhanaa khaaaah.
Kila mtu ana uhuru wa kutumia mwili wake
Nyinyi ndo mashoga zenu hawa watu na mnawapenda Sana hata sielewag kwann au kwann au wanakusaidieni kipind cha kusagana
 
Mashoga ni mashoga tu hatakama wanawake wakiamua kuwatenga watabaki hivyohivyo.... Unajisumbua
Kabsa sema hawa dada zetu wapo karibu nao sana yan, mm kuna mmoja alikua anakopesha sabuni alikua ananiogopa balaa nilimtoleaga panga mbele za watu maskani bas ilikua nikikutana nacho tu nikiambia aya leta buku 2 chap aping anatoea hapohapo usela raha
 
Back
Top Bottom