Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Tatizo leko unaleta mashindano.
Hivi vitu usivifanyie mashindano bro, unaweza kukumbusha jamii kukemea wasagaji na wafiraji bila kushindanisha.
Nimeuliza tu maana sisi wasomi hatuishi maswali hasa katika issues zenye ukakasi.
 
Ila wabongo mda wotee ku zungumzia ushogaa hamchokii? Hamjisikii tabu? Hamna mambo yenu ya msingi ya kufanyaa?

Tumechokaaaa khaaaaah.
 
Kwa upande wangu Bora usagaji kuliko ushoga Ukivishindanisha,

ila bila kushindanisha hakuna chenye ubora mkuu.
 
Hakuna kelele Anna kuhusu wasagaji na wafiraji... Kelele ni kuhusu wafirwaji tu huku wafiraji wakionekana mabingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kwa Machangudoa, wanasakamwa ni machangu, waache uchangu.

Sijui umefikilia nini hadi kuja kuandika hapa, naona kama hii inakukukera wewe binafsi, dawa ni kujiondoa huko bado una nafasi.
 
Hivi hawa wanawake wanaocheza mpira wa miguu ambao kimsingi ni mchezo wa wanaume, ni wanawake kweli au ni wasagaji? Wanawake gani wale wamekakamaa misuli na wana haiba za kiume? Tuseme ukweli tu pale kuna wasagaji kindakindaki ila jamii imeamua kupotezea tu upande ule
 
Vinaongezeka Kwa sababu ya nyakati tulizopo
Tunaelekea mwisho w dunia hivyo kuna baadhi ya vitu lazima vitimie ndio ule mwisho ufike hio ni kwa kifupi tu
 
Hata kwa Machangudoa, wanasakamwa ni machangu, waache uchangu.

Sijui umefikilia nini hadi kuja kuandika hapa, naona kama hii inakukukera wewe binafsi, dawa ni kujiondoa huko bado una nafasi.
Machangu mbona hawawasakami wateja wao mkuu????? Kinachonikera ni kwa wasagaji na wafiraji kujiona untouchable.........Jamii haiwasakami
 
Write your reply...dah hizi mambo nilikuwa siziamini kama zipo ila nijuzi juzi hapo imenitokea..kuna njemba moja sijui ilipataje namba yangu ikawa ina nichatisha minajua nachati nademu..nikaipigia simu sauti inaongea kama piskali ikanielekeza nikaifata nishapiga vitu vyangu kichwani nikajua leo naenda kupeleka moto..kufika lahaula mtume nikijeba kimepanda hewani ngozi nyeusi kina nisalimia sauti kimebana nilitoka mbio..pombe zote zikaisha kila siku chemba inanisumbua nikaifukue tope na ahadi kedekede nikaiblock lakin wapi ina nitegea mpaka maskani nikaona ujinga huu nikaishikia panga nikasema ukinifata tena nakuparasa mabega kidogo ikasaidia..hyo njemba ni jitu la mwanza lime panda hewani ukiliona huwezi zania
kwanzia hapo nikasema kweli bongo kama mbele kummk
 
............salamu........

Adui wa Afrika wa kwanza ni ujinga, si wa viongozi bali wa raia wao, ulioletwa kwa makusudi na viongozi ili raia watawalike. Elimu mbovu pia, ili kuwafanya raia wasijitambue na watawalike kirahisi

Umasikini, ufisadi nk
Adui mkubwa aliyelipiga bara la Afrika enzi na enzi ni UMASIKINI, umasikini huu umechangiwa kwa makusudi na watawala wa kiafrika

Agenda za ushoga ni muhimu kuongelea ila zinatutoa kwenye mizizi hasa ya matatizo ya bara la Afrika na kuujadili ushoga...

Ushoga si mzuri,tuna vita mbili,moja na iliyo kuu ni umasikini wa Afrika,rushwa,ufisadi,huduma mbovu nk

Vita ya pili ni ushoga,huwezi kupigana vita ya 2 wakati ya kwanza imekutoa kamasi,

Tuungane WatZ tuanze kupigana vita namba moja... tumishinda twende namba 2,,tusitolewe mchezoni na wajanja wachache... vipo vingi mno vya kuvipinga kwa sasa...

Tusitolewe mchezoni,adui zetu wa kweli ni wanasiasa na viongozi WETU wanaotutawala...

Naruhusu ukosoaji,ni mtazamo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…