Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Endelea kutifuliwa SGR Peke yako mkuu usituingize mkenge wengine.

wakurya waliposema vita ni vita hawakuwa wajinga
Sawa,mchango wako nimzuri tuvipige vyote siyo?je tuna uwezo huo wa kupigana vita mbili na tukashinda zote?
 
Wewe endelea na huo utamu wako unaouona ,ila kumbuka watu wa Rutu walifanywaje na huo usheitani wao
 
Dunia hii Ina wenyewe,..sisi tule zetu tu ugali na mnafu Kisha twende kwenye kijiwe cha kahawa tubishane kuhusu Simba na yanga,huku tukisogeza siku za kudedi
 
Kwahiyo mkuu wewe unaona vita kubwa zaidi ni SGR na mengine lakini mwanaume mzima kuinama Kisha kupakwa mafuta kuingiziwa mjegejo unaona ni Kavita kadogo?

Hivi Kuna situation iliyo ngumu na kakasi kwa mwanaume kuliko kuchezewa kinyeo?

Asee we endelea tu kuona ni madogo hayo ila kwa sisi wengine ni hakuna lililo baya zaidi ya ushoga. Kingine chochote kjnaweza kusubiri ila sio kupenyezewa gegedo asee
 
Liko Chugga nnq
 
Nimechekaa mbavu cnaaa, ila watu mnakutana na visangaa huko mitaani Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni mwanasayansi daktari bingwa wa magonjwa ya kinamama.nimemsoma mwanadamu kuanzia kuumbwa kwake .na kwenye somo hili ( embryology ) nilipata marks 93 Yani excellence au A+.

Kwa kawaida mwanadamu hawezi kujiamlia kwamba yeye ni mwanamke au mwanaume bila ya vitu viwili kumwambie hivyo.maumbile ya ndani na nje ( physiology ) na walezi wake ndiyo vinaweza kumwambia kuwa Wewe ni mwanaume au mwanamke.

Wazazi na jamii kwa ujumla ndiyo yenye kumwandaa mtoto kuelekea mwelekeo ya kuwa mwanaume au mwanamke( sexual orientation) .Mtoto wa kike ukimlea katika mwelekeo wa kutaka kuwa wa kiume atakuwa hivyo hasa kwa wale ambao wamezaliwa na njinsi yeye kutatanisha ( ambiguous genitalia) ! Kabla ya kufikia umri wa puberty ni rahisi Sana kumbadirisha mtoto mwelekeo wake wa jinsia.Ndiyo maana hawa wanaofundisha ushoga wametageti na watoto kwa sababu ubongo wao haujakomaa kuweza kujitambua.Ukimfundisha mtoto matendo ya kulawiti wenzake ataamini hivyo kwamba ni kitendo Cha kawaida.Niliwahi kuwaona watoto wa kiume wa kiwalawiti wenzao.

Mawazo ya kutaka kufanya mapenzi yanatokana na kukomaa kwa ubongo ( sexual maturity ) ambayo inaanza pindi anapopevuka na kufikia adolescence.Zile homononi za kike au za kiume zinamfanya awaze kujihisi kufanya mapenzi na njinsia tofauti.Yani Kuna mvutano kati ya hormone za kike na za kiume .Mawazo hayo yako kwenye tezi linaloitwa hypothalamus ambayo Ina mawasiliano ya ndani na nje! Mawazo yanayotoka kwenye tezi la hypothalamus yanaendeshwa na mtazamo au mazingira ya ndani na nje!!
Mfano : jicho la mwanaume linapomuona mwanamke maumbile yake na sura yake mawazo hayo yanapelekwa kwenye ubongo kwamba mwanamke huyu ni mzuri na yanapelekwa kwenye sexual center ambayo inaendeshwa na hypothalamus unatafisiriwa kuwa mwanamke huyu kwamba lazima atakuwa mtamu japo haya ni mawazo tu .Hakuna mwanamke mtamu au asiye mtamu kwa maumbile yake au sura yake.

Wakati wa kufanya mapenzi Kuna sehemu za mwili zenye msisimko mkali yenye kumfanya mtu kufika kileleni haraka.Anapofika kileleni kwa muda aliyoupangia au anao utamani hii ndiyo inawafanya watu kusema kuwa mwanamke huyu au mwanaume huyu ni mtamu.Kinachomfanyia mtu kufika kileleni ni mawazo yenye kutafsiri kuwa huyu ni mzuri na lazima atakuwa mtamu na ule msuguano kwenye kichwa Cha uume na uke ( G spot) ,ubaridi au joto kwenye uke au kwenye haja kubwa ( rectum) ,ugumu au softness kwenye uke au haja kubwa ( rectum kwa mashoga) .

Ukitaka kuamini haya ninayokuambia ,waulize wanao piga punyeto ,wanaofanya mapenzi na midoli au roboti!! Kama utamu wa mapenzi ungetokana na maumbile au sura ya mtu basi watu wasingepiga punyeto au kufanya mapenzi na midoli au roboti!!

Kwa nini watu wanaofanya mapenzi na watu wajinsi Moja?

1.wasagaji :

Hawa ni sawa na kufanya mapenzi na roboti na midoli.kinachotakiwa ni kuingiza kitu sehemu za Siri na kuweza kusugua G spot na kuweza kumfikisha kileleni .kitu hicho kinaweza kuwa kidole,mdoli ,ndizi nK.

Kushika sehemu za mwili ,kunyonyana ndimi ni vikorombezo vya kumsaidia msaagaji afike kileleni.

Usagaji hauna madhara makubwa kimaumbile isipokuwa kisaikologia na kijamii.Wasagaji ni watu wavivu .Hawataki kuolewa na mwanaume kwa sababu hawataki kutawaliwa na mwanaume,hawataki kuwa na jukumu la kuwalea watoto wao wenyewe ( biological kids).

2.mashoga

Mashoga wao wanaitaji sehemu ya kuingiza uume wao na kitu hicho kisugue kichwa Cha uume na kuweza kumwaga mbegu . mwanaume anapokuwa amemwaga mbegu basi ameridhika.mwanaume anavyo vitu anavyovipendelea .mwingine anataka uke wenye kumwaga maji mengi,mwingine uke mwenye kumwaga maji kidogo, mwingine anataka uke unaobana uume, mwingine anataka uke wenye joto au wenye baridi.
Kwenye haja kubwa Kuna vitu vitatu wanaume mashoga wanatafuta.kubana ( anal sphincter) ,joto,na softness.

Madhara ya ushoga ni makubwa sana kwa wote wawili.Huyu mwenye kumfira mwenzake anapoteza mbegu ambazo zingetumika kuendeleza uzao wa binadamu,na mwenye kuingiliwa anashindwa kubana haja kubwa na pia anapoteza uwezo wa kujamiana maana sasa mawazo yake yanageuzwa kuwa ni mwanamke wa kuolewa na siyo kuwa eye ni mwanaume wa kuoa.

Mashoga ni watu wavivu .Hawataki kuwa na majukumu ya kumtunza mwanamke ,na kuwatunza watoto wao wa kuwazaa( biological kids) .

Nimalizie kwa kusema kuwa ushoga na usagaji siyo sexual deviation in natural way but self induced sexual deviation by teaching ,drugs and human practice .

Matokea ya ushoga na usagaji na kukataa majukumu tuliyopewa na Mungu kuendeleza uumbaji wa Mungu ,kulea na kutunza watoto wetu ( biological kids) ,kusababisha madhara makubwa kiakili na kimwili .

Kukataa majukumu ya kuzaa watoto Ili kuendeleza kazi ya Mungu ya kuwaumba wanadamu ,kusababisha madhara ya kiafya kiakili na kimwili hakuwezi kuwa haki za binadamu ( human right)!!

Mashoga ,wasagaji na watetezi wao wanatakiwa kupingwa kwa nguvu zote na njia yoyote Ile.Atakayepiga ushoga atabarikiwa na Mungu sana hapa dunia na ahela!!


Niwatakie jumapili njema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…